Connect with us

Magonjwa

KUOTA KINYAMA UKENI-MASUNDOSUNDO/GENITAL WARTS

Avatar photo

Published

on

  KUOTA KINYAMA UKENI-MASUNDOSUNDO/GENITAL WARTS

SUMMARY

Katika Makala Ya leo,tutaangalia vipengele vifuatavyo,kuhusu Ugonjwa huu wa kuota Kinyama Ukeni;
 
(1) Utangulizi/introduction kuhusu tatizo hili la kuota Kinyama ukeni
 
(2) Chanzo cha Tatizo hili la Kuota kinyama Ukeni
 
(3) Kundi ambalo lipo kwenye hatari ya Kupata ugonjwa huu wa Masundosundo
 
(4) Dalili za Ugonjwa huu wa masundosundo/Genital warts
 
(5) Madhara ya kuwa na Tatizo hili la Kuota kinyama Ukeni
 
(6) Tiba ya Ugonjwa huu wa masundosundo
 
(7) Maelekezo kuhusu kupata ushauri,elimu au Tiba kama unahitaji.

? MAELEKEZO KAMILI

Masundosundo-Ni ugonjwa wa kuota kinyama au viupele upele katika ngozi laini ya sehemu za siri za mwanamke(ukeni) ambapo kwa kitaalam hujulikana kama Genital warts.
Vinaweza kutokea katika maeneo kama,Uke,uume,shingo ya uzazi,mashavu ya uke na kuzunguka njia ya Haja kubwa kwa nje au kwa ndani pia.
Ugonjwa huu unawasumbua wanawake wengi sana kwa sasa hivi. Kuna vyanzo au sababu za kutokea kwa Tatizo hili.

CHANZO CHA TATIZO LA KUOTA KINYAMA UKENI

Ngoja tuone sababu za Kutokea kwa Tatizo hili la kuota kinyama Ukeni; ?
 

Ugonjwa huu wa kuota Kinyama Ukeni au katika sehemu za siri za mwanamke husababishwa na kirusi kinachoitwa HUMAN PAPILLOMA VIRUS-(HPV), ambapo kuna aiana nyingi sana za Kirusi hichi ambapo ndyo zinazoleta magonjwa mbalimbali kama Saratani ya Shingo ya Kizazi(cervical cancer) n.k, aiana hizi zimewekwa katika kundi linalojulikana kama HIGH RISK HPV. 

Soma: Chanzo cha Kuota Nyama Puani na Tiba yake

 KUNDI AMBALO LIPO KWENYE HATARI YA KUPATA TATIZO HILI

  • Mtu ambaye huanza mapenzi mapema hasa kabla ya miaka 18
  • Mtu mwenye wapenzi wengi- yaani multiple partners
  • Ngono zembe
  • Mwenye Virusi vya Ukimwi
  • Mwenye Saratani ya shingo ya Kizazi
  • Mjamzito kutokana na Upungufu wa kinga mwilini kipindi cha Ujauzito
  • Mtumiaji wa sigara na Pombe

? DALILI ZA UGONJWA WA MASUNDOSUNDO/GENITAL WARTS

Dalili kubwa ya Ugonjwa huu ni Pamoja na;
– kuota kinyama katika Ngozi laini ya Uke,Mirija ya mkojo,Uume,shingo ya kizazi,sehemu ya Nje na ndani kuzunguka eneo la haja kubwa.
– Kupata Viupele upele katika maeneo ya sehem za Siri kama vile; katika mashavu ya Uke,uume n.k
 
– Kupatwa na miwasho eneo lenye kinyama au viupele, na wakati mwingine,eneo lote hili kukosa hisia yaani Kupata GANZI
 
KUMBUKA:Wakati mwingine huweza kuambatana na dalili kama vile:Kutokwa na Uchafu ukeni,maumivu wakati wa tendo la Ndoa, kutokwa na damu ukeni,wakati wa Tendo la Ndoa. N.K, 
Ukiona dalili kama hizi fanya vipimo Kwanza huenda ukawa na tatizo Lingine zaidi ya Genital warts kama vile PID n.k

VIPIMO NA TIBA

Ni muhimu sana kwa Mtu mwenye dalili za Ugonjwa huu kwenda hospitalin kufanya vipimo mbali mbali ikiwemo,kufanya full checkup ya Saratani ya Shingo ya Kizazi,kwani pia virusi hivi vya HUMAN PAPILLOMA VIRUS (HPV), ndivo vinavyoleta Ugonjwa au tatizo la Saratani ya Mlango wa Kizazi kwa Kitaalam tunaita cervical Cancer.
KWA USHAURI ZAIDI/ELIMU/TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584 POPOTE ULIPO..
 

Ushauri|Tiba|CheckIn 🩺🌡️ContactUs; +255758286584 or INBOX📩. For More Healthtips everyday Link In https://afyaclass.com Also Follow us on Instagram @afyaclass

YOU MUST READ(IMPORTANT)

Magonjwa4 weeks ago

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani. Watu wengi huweza kupata maumivu chini ya kitovu, lakini umewahi kujiuliza...

Magonjwa1 month ago

Kaswende ni ugonjwa gani, soma hapa kufahamu

Kaswende ni ugonjwa gani, Kaswende ni maambukizi yanayosababishwa na bakteria. Mara nyingi, huenea kupitia mawasiliano ya kingono au kwa kujamiiana....

Magonjwa2 months ago

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani Koo kukauka kunaweza kusababishwa na sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na: Upungufu wa...

Magonjwa2 months ago

Amiba ni ugonjwa gani,Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Amebiasis

Amiba ni ugonjwa gani Wengi wamezoea kusema hivo ila Amiba(amoeba) ni vimelea vyinavyosababisha ugonjwa, na Ugonjwa huo kitaalam ndyo hujulikana...

Magonjwa3 months ago

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba kuwashwa nyayo za miguu; zipo sababu nyingi ambazo huchangia shida...

magonjwa ya wanawake4 months ago

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease)

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease) Pid ni ugonjwa gani? PID ni Maambukizi ya bacteria Kwenye Via vya Uzazi...

Magonjwa2 years ago

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE)

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE) Mabadiliko ya Watoto wengi huanza kwenye miezi mitatu ya Mwanzo wakati ambapo Shingo ya mtoto...

Magonjwa3 years ago

MAUMIVU MAKALI SEHEMU YA HAJA KUBWA

Baadhi ya watu wanachanganya tatizo la maumivu makali sehemu ya haja kubwa pamoja na tatizo la Bawasiri,japo mojawapo ya chanzo...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus)

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus) tatizo la masikio kupiga kelele Tinnitus, ni Tatizo la masikio kupiga kelele,...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO)

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?)

Tatizo la Uke Kujamba TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?) Moja ya vitu...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

 FANGASI • • • • • DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE Mashambulizi ya Fangasi sehemu za siri...

Magonjwa3 years ago

CHANZO CHA TATIZO LA KUOTA NYAMA PUANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 years ago

SABABU ZA KUVIMBA KWA MASHAVU YA UKE(TEZI LA BARTHOLIN)

KUVIMBA MASHAVU YA UKE • • • • • • Katika Makala hii tumechambua zaidi kuhusu sababu za kuvimba mashavu...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia)

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia) Tatizo hili linatokea kwa Baadhi ya wanaume,na hata kupelekea Wanaume hao kuwa na Matiti kama...

MAGONJWA MBALI MBALI

Magonjwa1 day ago

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 days ago

Ugonjwa unaosababishwa na kula nyama mbichi

Ugonjwa unaosababishwa na kula nyama mbichi Madhara ya kula nyama ya ng’ombe mbichi Ni desturi ya baadhi ya watu kula...

Magonjwa1 week ago

Mkojo kuuma ni dalili ya ugonjwa gani

Mkojo kuuma ni dalili ya ugonjwa gani Mkojo kuuma au kupata maumivu wakati wa kukojoa ni hali ambayo kwa kitaalam...

Magonjwa2 weeks ago

Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono dalili Zake

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa2 weeks ago

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu Haya ni maneno ambayo umekuwa ukiyasikia sana linapokuja swala la vipimo cha UKIMWI, je...

Magonjwa3 weeks ago

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia. Kutana na Ilene Raymond Rush ambaye aligunduliwa Kisukari aina ya Pili(Type 2...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa unaosababishwa na konokono

Ugonjwa unaosababishwa na konokono Ugonjwa unaosababishwa na konokono unaitwa schistosomiasis, au bilharzia. Ni ugonjwa wa maambukizi unaosababishwa na minyoo wanaoitwa...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake. Wengi tumesikia kuhusu Red Eyes(Macho mekundu) Lakini je umewahi kusikia kuhusu Pink Eyes,?...

Magonjwa3 weeks ago

Omeprazole inatibu ugonjwa gani,Fahamu hapa

Omeprazole inatibu ugonjwa gani Omeprazole inatibu ni nini?, Hili ni swali ambalo limekuwa likiulizwa mara kwa mara na wafwatiliaji wengi...

Magonjwa4 weeks ago

Mate kujaa mdomoni ni dalili ya ugonjwa gani

Mate kujaa mdomoni ni dalili ya ugonjwa gani Mate kujaa Mdomoni,ni tatizo ambalo hutokea kwa baadhi ya watu, na zipo...