Connect with us

Magonjwa

MAGONJWA YA ZINAA-SEXUAL TRANSMITTED DISEASES(STD’s),AINA ZAKE,DALILI ZAKE PAMOJA NA MATIBABU YAKE

Avatar photo

Published

on

MAGONJWA YA ZINAA-SEXUAL TRANSMITTED DISEASES(STD’s),AINA ZAKE,DALILI ZAKE PAMOJA NA MATIBABU YAKE

➡️ Ombeni Mkumbwa

? SUMMARY

Katika Makala hii tutajadili kuhusu Magonjwa ya zinaa, na tutagusia katika Vipengele vifuatavyo;
 
(1) Maana ya Magonjwa ya Zinaa ambapo kitaalam Hujulikana kama Sexual Transmitted Diseases(STD’s) 
 
(2) Aina zote za Magonjwa ya Zinaa pamoja na visababishi vyake-  Sexual Transmitted Diseases(STD’s) types and Causes.
 
(3) Dalili za Magonjwa ya Zinaa-  Sexual Transmitted Diseases(STD’s)
 
(4) Makundi ambayo yapo katika hatari zaidi ya kupata Magonjwa ya Zinaa-  Sexual Transmitted Diseases(STD’s)
 
(5) Tiba ya Magonjwa ya zinaa-  Sexual Transmitted Diseases(STD’s)
 

☑️ SOMO KAMILI

Magonjwa ya zinaa ambapo kwa Kitaalam hujulikana kama Sexual Transmitted Diseases(STD’s)- Ni magonjwa yote ambayo Njia kuu ya uenezwaji wake ni Ngono au huambukizwa kutoka kwa Mtu Mmoja kwenda kwa Mwingine kwa Njia ya Ngono ama Kujamiana/Kufanya Tendo la Ndoa(Sexual Intercourse). Na magonjwa haya yapo mengi na aina tofauti tofauti kama Ufatavyo;
 

AINA ZA MAGONJWA YA ZINAA-SEXUAL TRANSMITTED DISEASES(STD’s)

  1. Ugonjwa wa UKIMWI-HIV
  2. Ugonjwa wa Kisonono au kwa itaalam huitwa Gonorhea
  3. Ugonjwa wa Kaswende au kwa kitaalam huitwa syphilis
  4. Ugonjwa wa Homa ya Ini ambapo kaa kitaalam huitwa Hepatitis
  5. Ugonjwa wa Chlamydia N.k

VISABABISHI VYA MAGONJWA YA ZINAA-SEXUAL TRANSMITTED DISEASES(STD’s)

– Kufanya Mapenzi katika Umri mdogo
– Kufanya Ngono zembe pasipo kutumia Kinga Kama vile Kondom
– Kufanya mapenzi au kushiriki tendo la Ndoa kinyume na maumbile
– Tabia ya kuwa na wapenzi wengi
 

DALILI ZA MAGONJWA YA ZINAA KWA UJUMLA WAKE-SIGNS AND SYMPTOMS OF SEXUAL TRANSMMITED DISEASES(STD’s)

?Kutokwa na Usaha sehemu za siri kwa mwanaume na mwanamke pia
?Kutokwa na Uchafu wenye rangi kama maziwa,njano,Cream n.k ambao huambatana na harufu kali ukeni
?Kupatwa na miwasho ukeni au katika sehemu za Siri kwa mwanaume na mwanamke
?Kutokwa na Damu ukeni wakati wa kushiriki Tendo la Ndoa
?Kupata maumivu makali sana ukeni wakati wa Tendo la Ndoa
?Maumivu makali ya Tumbo chini ya kitovu
?Kuumwa na Homa, mwili kukosa Nguvu,kusikia kichefuchefu na kutapika Pia
?Kutokwa na Maji maji yenye harufu mbaya sehemu za Siri
?Kupata maumivu makali wakati wa kukojoa,sehemu za siri kuungua,kuchubuka na mkojo kuchoma

MADHARA YA KUPATA MAGONJWA YA ZINAA- EFFECTS OF SEXUAL TRANSMMITED DISEASES 

  • Kukosa mtoto au kushindwa kubeba Mimba kwa mwanamke
  • Maumivu wakati wa tendo la Ndoa
  • Kukimbiwa na mume kutokana na kutokwa na uchafu au maji maji yenye harufu kali ukeni
  • Kifo

MAKUNDI YA WATU AMBAO WAPO KWENYE HATARI YA KUPATA MAGONJWA YA ZINAA- RISK GROUPS FOR SEXUAL TRANSMMITED DISEASES

1️⃣ Watu wenye wapenzi wengi
 
2️⃣ Watu wanaoshiriki mapenzi kinyume na maumbile
 
3️⃣ Wanaofanya ngono zembe-Unsafe sexual intercourse
 
4️⃣ Wanaoanza kufanya mapenzi wakiwa katika Umri Mdogo
 
MATIBABU
 

Matibabu Ya Magonjwa ya Zinaa hutegemea na aina ya Ugonjwa wa zinaa uliokupata,hivo basi kwa Ushauri ni bora kwenda hosptal kama Una dalili zozote ambazo huzielewi ili kupata Msaada kutoka kwa Wataalam wa afya,Ili kupata tiba kutokana na Ugonjwa Husika.

 

@kwa Ushauri zaidi,Elimu au Tiba tuwasiliane kwa namba +255758286584 piga simu au Tuma Ujumbe utahudumiwa kwa haraka popote ulipo.

#Magonjwayazinaa #afyabora #ushindi

Karibu Sana..!!

 

 

Ushauri|Tiba|CheckIn 🩺🌡️ContactUs; +255758286584 or INBOX📩. For More Healthtips everyday Link In https://afyaclass.com Also Follow us on Instagram @afyaclass

YOU MUST READ(IMPORTANT)

Magonjwa4 weeks ago

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani. Watu wengi huweza kupata maumivu chini ya kitovu, lakini umewahi kujiuliza...

Magonjwa1 month ago

Kaswende ni ugonjwa gani, soma hapa kufahamu

Kaswende ni ugonjwa gani, Kaswende ni maambukizi yanayosababishwa na bakteria. Mara nyingi, huenea kupitia mawasiliano ya kingono au kwa kujamiiana....

Magonjwa2 months ago

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani Koo kukauka kunaweza kusababishwa na sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na: Upungufu wa...

Magonjwa2 months ago

Amiba ni ugonjwa gani,Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Amebiasis

Amiba ni ugonjwa gani Wengi wamezoea kusema hivo ila Amiba(amoeba) ni vimelea vyinavyosababisha ugonjwa, na Ugonjwa huo kitaalam ndyo hujulikana...

Magonjwa3 months ago

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba kuwashwa nyayo za miguu; zipo sababu nyingi ambazo huchangia shida...

magonjwa ya wanawake4 months ago

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease)

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease) Pid ni ugonjwa gani? PID ni Maambukizi ya bacteria Kwenye Via vya Uzazi...

Magonjwa2 years ago

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE)

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE) Mabadiliko ya Watoto wengi huanza kwenye miezi mitatu ya Mwanzo wakati ambapo Shingo ya mtoto...

Magonjwa3 years ago

MAUMIVU MAKALI SEHEMU YA HAJA KUBWA

Baadhi ya watu wanachanganya tatizo la maumivu makali sehemu ya haja kubwa pamoja na tatizo la Bawasiri,japo mojawapo ya chanzo...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus)

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus) tatizo la masikio kupiga kelele Tinnitus, ni Tatizo la masikio kupiga kelele,...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO)

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?)

Tatizo la Uke Kujamba TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?) Moja ya vitu...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

 FANGASI • • • • • DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE Mashambulizi ya Fangasi sehemu za siri...

Magonjwa3 years ago

CHANZO CHA TATIZO LA KUOTA NYAMA PUANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 years ago

SABABU ZA KUVIMBA KWA MASHAVU YA UKE(TEZI LA BARTHOLIN)

KUVIMBA MASHAVU YA UKE • • • • • • Katika Makala hii tumechambua zaidi kuhusu sababu za kuvimba mashavu...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia)

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia) Tatizo hili linatokea kwa Baadhi ya wanaume,na hata kupelekea Wanaume hao kuwa na Matiti kama...

MAGONJWA MBALI MBALI

Magonjwa1 day ago

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 days ago

Ugonjwa unaosababishwa na kula nyama mbichi

Ugonjwa unaosababishwa na kula nyama mbichi Madhara ya kula nyama ya ng’ombe mbichi Ni desturi ya baadhi ya watu kula...

Magonjwa1 week ago

Mkojo kuuma ni dalili ya ugonjwa gani

Mkojo kuuma ni dalili ya ugonjwa gani Mkojo kuuma au kupata maumivu wakati wa kukojoa ni hali ambayo kwa kitaalam...

Magonjwa2 weeks ago

Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono dalili Zake

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa2 weeks ago

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu Haya ni maneno ambayo umekuwa ukiyasikia sana linapokuja swala la vipimo cha UKIMWI, je...

Magonjwa3 weeks ago

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia. Kutana na Ilene Raymond Rush ambaye aligunduliwa Kisukari aina ya Pili(Type 2...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa unaosababishwa na konokono

Ugonjwa unaosababishwa na konokono Ugonjwa unaosababishwa na konokono unaitwa schistosomiasis, au bilharzia. Ni ugonjwa wa maambukizi unaosababishwa na minyoo wanaoitwa...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake. Wengi tumesikia kuhusu Red Eyes(Macho mekundu) Lakini je umewahi kusikia kuhusu Pink Eyes,?...

Magonjwa3 weeks ago

Omeprazole inatibu ugonjwa gani,Fahamu hapa

Omeprazole inatibu ugonjwa gani Omeprazole inatibu ni nini?, Hili ni swali ambalo limekuwa likiulizwa mara kwa mara na wafwatiliaji wengi...

Magonjwa4 weeks ago

Mate kujaa mdomoni ni dalili ya ugonjwa gani

Mate kujaa mdomoni ni dalili ya ugonjwa gani Mate kujaa Mdomoni,ni tatizo ambalo hutokea kwa baadhi ya watu, na zipo...