Connect with us

afyatips

SABABU AMBAZO ZINAWEZA KUWA CHANZO CHA KICHEFUCHEFU NA KUTAPIKA

Doctor Ombeni

Published

on

Imeboreshwa July 10, 2026 by Doctor Ombeni

 SABABU AMBAZO ZINAWEZA KUWA CHANZO CHA KICHEFUCHEFU NA KUTAPIKA.

✓ Dalili za mimba


✓ Magonjwa kama Malaria,UTI


✓Matumizi ya baadhi ya Dawa

✓Matumizi ya baadhi ya vyakula

✓ Allergy inayotokana na vyakula flani kama nyama n.k
✓ Matumiz ya baadhi ya Njia za Uzazi wa Mpango n.k

✓ Mabadiliko ya Gafla ya vichocheo vya mwili

✓ Harufu ya Baadhi ya Vitu kama pafume n.k

JE USHAWAHI KUPATWA NA HALI HII? COMMENT NDYO AU HAPANA KWENYE COMMENT HAPO 👇

KUMBUKA: KWA USHAURI,ELIMU AU MSAADA WA KIAFYA NAMBA NI 0758286584 ,TUMA MESEGI UTAJIBIWA KWA HARAKA ZAIDI.

Karibu Sana..!!!




🏆Certified| Doctor from Afyaclass.Hapa utapata Ushauri & Tiba juu ya magonjwa mbali mbali. Kwa msaada Zaidi Tuwasiliane kupitia namba: +255758286584.Pata dondoo za afya kila siku kwa kufuatilia kupitia: @Facebook | @Instagram | @YouTube.