Connect with us

Magonjwa

TATIZO LA HORMONE IMBALANCE(MVURUGIKO WA VICHOCHEO MWILINI)

Avatar photo

Published

on

TATIZO LA HORMONE IMBALANCE(MVURUGIKO WA VICHOCHEO VYA MWILI)

Hormone Imbalance au kwa kiswahili Mvurugiko wa vichocheo vya mwili ni tatizo linalohusu kubalika kwa Hormones au vichocheo vyako vya mwili,ambapo mabadilko hayo huhusisha kuongezeka au kupungua kwa vichocheo vya mwili wa mtu.

Tatizo la Hormone Imbalance Linawatesa wanawake wengi na zipo dalili nyingi sana za Ugonjwa huu.Soma baadhi hizi

Dalili za Mvurugiko wa Homoni:-

    • Kutokwa na Damu nyingi kwa muda mrefu

    • Kukosa hedhi

    • Kuingia hedhi kwa Muda mrefu kuliko kawaida

    • Kushindwa kubeba ujauzito

    • Hedhi kubadilika balika

    • Kusikia Maumivu makali ya tumbo wakati wa hedhi

KUPATA DALILI ZA MIMBA WAKATI WEWE SIO MJAMZITO

Hali hii inawasumbua wanawake wengi saiv na Kujikuta wanapima mimba kwa Kutumia kipimo cha Mkojo maarufu kama UPT (URINARY PREGNANCY TEST) Kila dakika lakini wanakuta wana dalili zote za Mimba na Mimba hawana au kipimo hakisomi Ujauzito.
 
Moja ya sababu Kubwa ya Tatizo hili ni hormone Imbalance.Au mvurugiko wa Vichocheo vya mwilini,Ambapo ikitokea hiii hali huleta mabadiliko mengi mwilini ikiwemo Kuwa na Dalili za Mimba alafu Mimba huna,Maziwa kutoka yenyewe wakati wewe sio mjamzito wala hunyonyeshi n.k

ZIJUE BAADHI YA DALILI ZA MVURUGIKO WA VICHOCHEO MWILINI

 
-Kuwa na mzunguko wa hedhi unaobadilika badilika
 
-Kublid mara mbili au zaidi ndani ya mwezi Mmoja
 
-Kubeba mimba na kutoka zenyewe
 
-Kutokwa na Maziwa kwenye chuchu wakati wewe sio mjamzito wala 
hunyonyeshi
 
-Kupata chunusi sana usoni
 
-Kutokuona siku zako kwa mda mrefu
 
-Kushindwa kubeba mimba
 
-Kuota Ndevu wakati wewe ni mwanamke n.k
 
CHANZO CHA TATIZO LA MVURUGIKO WA VICHOCHEO MWILINI NI PAMOJA NA;
-Kutumia dawa zenye vichocheo ndani yake ikiwa ni pamoja na njia mbali mbali za uzazi wa mpango kama vile VIDONGE(COC’S),P2 n.k
– Tatizo la PCOS kwa wanawake
– Mwanamke kufikia kipindi cha ukomo wa hedhi yaani Menopause
– Ujauzito wenyewe
– Tatizo la msongo wa mawazo au Stress n.k
– Matumizi ya baadhi ya dawa kwa lengo la kutoa ujauzito
– Matatizo kama vile uvimbe wa kizazi,uvimbe kwenye vifuko vya mayai n.k
– Matibabu ya kansa kama vile huduma ya Chemotherapy n.k

☑️ SUMMARY

Katika makala hii tumezungumzia mambo yafuatayo;
 
(1) Utangulizi wa makala hii au Introduction kwa Kingereza
 
(2) Dalili za Mvurugiko wa vichocheo vya mwili au Hormone Imbalance
 
(3) Maelekezo ya kupata ushauri,elimu au tiba kama Una tatizo lolote

VISABABISHI VYA TATIZO HILI

 Tatizo hili la Kutapika huchangiwa na baadhi ya vitu mbali mbali kama;

(1)Magonjwa kama UTI,PID n.k

(2)Ujauzito

(3)Mabadiliko ya vichocheo mwilini ikiwemo tatizo la Hormone imbalance

(4) Ugonjwa Wa Malaria.

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In https://afyaclass.com Also Follow us on Instagram @afyaclass

YOU MUST READ(IMPORTANT)

Magonjwa2 months ago

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani. Watu wengi huweza kupata maumivu chini ya kitovu, lakini umewahi kujiuliza...

Magonjwa3 months ago

Kaswende ni ugonjwa gani, soma hapa kufahamu

Kaswende ni ugonjwa gani, Kaswende ni maambukizi yanayosababishwa na bakteria. Mara nyingi, huenea kupitia mawasiliano ya kingono au kwa kujamiiana....

Magonjwa3 months ago

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani Koo kukauka kunaweza kusababishwa na sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na: Upungufu wa...

Magonjwa3 months ago

Amiba ni ugonjwa gani,Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Amebiasis

Amiba ni ugonjwa gani Wengi wamezoea kusema hivo ila Amiba(amoeba) ni vimelea vyinavyosababisha ugonjwa, na Ugonjwa huo kitaalam ndyo hujulikana...

Magonjwa5 months ago

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba kuwashwa nyayo za miguu; zipo sababu nyingi ambazo huchangia shida...

magonjwa ya wanawake5 months ago

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease)

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease) Pid ni ugonjwa gani? PID ni Maambukizi ya bacteria Kwenye Via vya Uzazi...

Magonjwa2 years ago

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE)

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE) Mabadiliko ya Watoto wengi huanza kwenye miezi mitatu ya Mwanzo wakati ambapo Shingo ya mtoto...

Magonjwa3 years ago

MAUMIVU MAKALI SEHEMU YA HAJA KUBWA

Baadhi ya watu wanachanganya tatizo la maumivu makali sehemu ya haja kubwa pamoja na tatizo la Bawasiri,japo mojawapo ya chanzo...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus)

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus) tatizo la masikio kupiga kelele Tinnitus, ni Tatizo la masikio kupiga kelele,...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO)

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?)

Tatizo la Uke Kujamba TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?) Moja ya vitu...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

 FANGASI • • • • • DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE Mashambulizi ya Fangasi sehemu za siri...

Magonjwa3 years ago

CHANZO CHA TATIZO LA KUOTA NYAMA PUANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 years ago

SABABU ZA KUVIMBA KWA MASHAVU YA UKE(TEZI LA BARTHOLIN)

KUVIMBA MASHAVU YA UKE • • • • • • Katika Makala hii tumechambua zaidi kuhusu sababu za kuvimba mashavu...

Magonjwa4 years ago

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia)

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia) Tatizo hili linatokea kwa Baadhi ya wanaume,na hata kupelekea Wanaume hao kuwa na Matiti kama...

MAGONJWA MBALI MBALI

Magonjwa2 days ago

Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri

Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri Yapo magonjwa mbali mbali ya ngozi ambayo huweza kuathiri Sehemu za Siri za Mwanaume...

Magonjwa6 days ago

Dalili za acid reflux,Soma hapa Kufahamu

Dalili za acid reflux: Tatizo la Gastroesophageal reflux disease (GERD), ni tatizo ambalo huwapata Watu wengi,Tatizo hili hujulikana kwa jina...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe,VITILIGO

Ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe,VITILIGO Vitiligo ni ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe au ni ugonjwa ambao huhusisha ngozi kupoteza rangi...

Magonjwa3 weeks ago

Mlipuko wa ugonjwa wa macho,Macho Mekundu

Mlipuko wa ugonjwa wa macho,Macho Mekundu Baada ya Ugonjwa huu wa macho kusumbua watu wengi kwa kipindi cha Hivi Karibuni,...

Magonjwa4 weeks ago

Scabies ni ugonjwa gani? Soma hapa kufahamu

Scabies ni ugonjwa gani? Soma hapa kufahamu Utangulizi: Scabies huhusisha mtu kuwa na vipele na muwasho kwenye ngozi yake ambapo...

Magonjwa4 weeks ago

Dalili za ugonjwa wa gono kwa mwanaume

Dalili za ugonjwa wa gono kwa mwanaume Gono ni neno maarufu ambalo kirefu chake ni Gonorrhea na kiswahili chake ni...

Magonjwa1 month ago

Dalili Mpya za ukimwi kwenye ngozi

Zipi ni Dalili za ukimwi kwenye ngozi Zipi ni dalili za Ukimwi kwenye ngozi ya mtu? Fahamu hapa kupitia makala...

Magonjwa1 month ago

Madhara ya COVID-19: Athari za Ugonjwa, Asili na Matibabu

Madhara ya COVID-19: Athari za Ugonjwa, Asili na Matibabu Huu ni ugonjwa wa kuambukiza uliosababishwa na kirusi cha corona, ambao...

Magonjwa1 month ago

Ishara za Maambukizi ya Njia ya Mkojo (UTI) kwa Wanaume na Wanawake

Ishara za Maambukizi ya Njia ya Mkojo (UTI) kwa Wanaume na Wanawake Karibu! Hapa kwa makala yenye taarifa muhimu kuhusu...

Magonjwa1 month ago

Vyanzo Vya Kifo cha Ghafla: Sababu Zinazotisha na Jinsi ya Kujikinga

“Vyanzo Vya Kifo cha Ghafla: Sababu Zinazotisha na Jinsi ya Kujikinga” Kifo cha ghafla ni janga lisilotarajiwa ambalo linaweza kumpata...

Trending