Magonjwa
TATIZO LA HORMONE IMBALANCE(MVURUGIKO WA VICHOCHEO MWILINI)
![](https://afyaclass.com/mk_omb/uploads/2020/12/images2B2528532529.jpeg)
TATIZO LA HORMONE IMBALANCE(MVURUGIKO WA VICHOCHEO VYA MWILI)
Tatizo la Hormone Imbalance Linawatesa wanawake wengi na zipo dalili nyingi sana za Ugonjwa huu.Soma baadhi hizi
Dalili za Mvurugiko wa Homoni:-
• Kutokwa na Damu nyingi kwa muda mrefu
• Kukosa hedhi
• Kuingia hedhi kwa Muda mrefu kuliko kawaida
• Kushindwa kubeba ujauzito
• Hedhi kubadilika balika
• Kusikia Maumivu makali ya tumbo wakati wa hedhi
KUPATA DALILI ZA MIMBA WAKATI WEWE SIO MJAMZITO
ZIJUE BAADHI YA DALILI ZA MVURUGIKO WA VICHOCHEO MWILINI
☑️ SUMMARY
VISABABISHI VYA TATIZO HILI
Tatizo hili la Kutapika huchangiwa na baadhi ya vitu mbali mbali kama;
(1)Magonjwa kama UTI,PID n.k
(2)Ujauzito
(3)Mabadiliko ya vichocheo mwilini ikiwemo tatizo la Hormone imbalance
(4) Ugonjwa Wa Malaria.
KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584
-
Magonjwa6 days ago
Dalili za acid reflux,Soma hapa Kufahamu
-
magonjwa ya wanawake5 days ago
Dalili za Ectopic pregnancy,Mimba kutunga nje ya kizazi
-
Magonjwa2 days ago
Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri
-
Elimu&Ushauri4 days ago
Afya za watu bilioni 1.8 duniani matatani kwa kutokufanya Mazoezi – WHO
-
Events1 day ago
Chad yafanikiwa kuondoa Ugonjwa wa trypanosomiasis,WHO yatangaza
-
Uzazi/Ujauzito11 hours ago
Dalili za hatari baada ya kujifungua kwa upasuaji
-
Events6 days ago
Princess Anne alilazwa hospitalini na majeraha madogo kufuatia tukio nyumbani kwake
-
News4 days ago
Mlipuko Mbaya wa homa ya nyani watokea tena KIVU KASKAZINI