Connect with us

Magonjwa

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia)

Avatar photo

Published

on

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia)

Tatizo hili linatokea kwa Baadhi ya wanaume,na hata kupelekea Wanaume hao kuwa na Matiti kama Mwanamke.
 

SABABU ZA TATIZO HILI

➖ Chanzo Kikubwa cha Tatizo hili Ni Mvurugiko wa vichocheo vya Mwili ambapo Kitaalam hujulikana kama Hormone Imbalance.

Mvurugiko wa vichocheo mwilini (Hormonal imbalance) hausumbui wanawake tu kama tulivyozoea kusikia. Tatizo hili huweza kuwapata Na Wanaume pia

 Tatizo hili huanza kuonekana kwa ukubwa wake kadri umri wa mwanamme unapozidi kuongezeka kwa kuwa vichocheo vya kiume (Testosterone) hupungua huku vile vya kike (Estrogen) vikianza kuongezeka. Ndipo hali hii husababisha baadhi ya tabia za kike kuonekana kwa mwanaume,Mfano mwanaume kuota matiti,kuwa na hips n.k

Kwa siku za hivi karibuni,mambo haya pia yameanza kutokea kwa vijana walio na umri mdogo

DALILI ZA TATIZO HILI La Matiti kwa Wanaume

-Mojawapo ya dalili za uwepo wa tatizo hili ni kuongezeka kwa ukubwa wa matiti ambayo wakati mwingine huanza hadi kutoa majimaji,

-uchovu usio na sababu maalumu,

-kuongezeka sana kwa uzito wa mwili (unene uliopitiliza) 

-pamoja na kupungua sana kwa hamu ya tendo la ndoa au hata kushindwa kulishiriki kikamilifu.

Tatizo hili la Mwanaume kuota matiti(Gynecomastia) huhusisha kuongezeka kwa tishu ndani ya tezi za matiti ya Mwanaume, Na Uwiano usio sawa wa vichocheo(imbalance of the hormones) vya estrogen pamoja na testosterone ndyo sababu kubwa ya tatizo hili.

Tatizo hili la Gynecomastia linaweza kuathiri titi moja au yote mawili, na wakati mwingine ukubwa wa matiti hutofautiana kati ya titi moja na jingine hata kama yote yanaongezeka.

Kumbuka: Sio kila matiti yakiongezeka ni tatizo la Gynecomastia, Inaweza kuwa hali inayojulikana kama Pseudogynecomastia,

Pseudogynecomastia: 

Hali hii huhusisha kuongezeka kwa mafuta na sio tishu ndani ya matiti ya Mwanaume.

Dalili za Tatizo la Matiti kuongezeka(Gynecomastia) ni pamoja na;

– Mwanaume kuanza kupata maumivu ya matiti

– Matiti kuanza kuongezeka ukubwa

– Kuhisi hali ya msisimko wa tofauti kwenye matiti baada ya kuyasugua,kugusa au kuguswa na nguo n.k

Hakikisha unapata Matibabu haraka ikiwa;

  • Matiti yako yanavimba zaidi
  • Unapata maumivu ya matiti
  • Matiti yanaanza kutoa maji,usaha au damu
  • Unahisi kitu kigumu kwenye titi au matiti
  • Chuchu kuingia ndani
  • Ngozi kujikunja Zaidi n.k

Sababu Zinazoongeza hatari Zaidi ya Mwanaume kuota Matiti

Hizi hapa ni baadhi ya Sababu zinazoongeza hatari Zaidi ya Mwanaume kupata tatizo hilo:

1. Mwanaume kufikia Umri wa balehe(Puberty).

2. Kuwa Mtu mzima Zaidi

3. Kuwa na tatizo la Uzito Mkubwa au Unene

4. Matumizi ya baadhi ya dawa jamii ya anabolic steroids hasa kwa Wanariadha

5. Kuwa na Matatizo mengine ya kiafya kama vile;

  • Magonjwa ya Ini
  • Magonjwa ya Figo
  • Magonjwa ya Tezi la Thyroid
  • Kuwa na Uvimbe(tumors)
  • Au matatizo mengine kama vile, Klinefelter syndromen.k

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

Karibu Sana..!!!

Ushauri|Tiba|CheckIn 🩺🌡️ContactUs; +255758286584 or INBOX📩. For More Healthtips everyday Link In https://afyaclass.com Also Follow us on Instagram @afyaclass

YOU MUST READ(IMPORTANT)

Magonjwa3 weeks ago

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani. Watu wengi huweza kupata maumivu chini ya kitovu, lakini umewahi kujiuliza...

Magonjwa4 weeks ago

Kaswende ni ugonjwa gani, soma hapa kufahamu

Kaswende ni ugonjwa gani, Kaswende ni maambukizi yanayosababishwa na bakteria. Mara nyingi, huenea kupitia mawasiliano ya kingono au kwa kujamiiana....

Magonjwa1 month ago

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani Koo kukauka kunaweza kusababishwa na sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na: Upungufu wa...

Magonjwa2 months ago

Amiba ni ugonjwa gani,Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Amebiasis

Amiba ni ugonjwa gani Wengi wamezoea kusema hivo ila Amiba(amoeba) ni vimelea vyinavyosababisha ugonjwa, na Ugonjwa huo kitaalam ndyo hujulikana...

Magonjwa3 months ago

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba kuwashwa nyayo za miguu; zipo sababu nyingi ambazo huchangia shida...

magonjwa ya wanawake4 months ago

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease)

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease) Pid ni ugonjwa gani? PID ni Maambukizi ya bacteria Kwenye Via vya Uzazi...

Magonjwa2 years ago

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE)

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE) Mabadiliko ya Watoto wengi huanza kwenye miezi mitatu ya Mwanzo wakati ambapo Shingo ya mtoto...

Magonjwa3 years ago

MAUMIVU MAKALI SEHEMU YA HAJA KUBWA

Baadhi ya watu wanachanganya tatizo la maumivu makali sehemu ya haja kubwa pamoja na tatizo la Bawasiri,japo mojawapo ya chanzo...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus)

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus) tatizo la masikio kupiga kelele Tinnitus, ni Tatizo la masikio kupiga kelele,...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO)

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?)

Tatizo la Uke Kujamba TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?) Moja ya vitu...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

 FANGASI • • • • • DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE Mashambulizi ya Fangasi sehemu za siri...

Magonjwa3 years ago

CHANZO CHA TATIZO LA KUOTA NYAMA PUANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 years ago

SABABU ZA KUVIMBA KWA MASHAVU YA UKE(TEZI LA BARTHOLIN)

KUVIMBA MASHAVU YA UKE • • • • • • Katika Makala hii tumechambua zaidi kuhusu sababu za kuvimba mashavu...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia)

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia) Tatizo hili linatokea kwa Baadhi ya wanaume,na hata kupelekea Wanaume hao kuwa na Matiti kama...

MAGONJWA MBALI MBALI

Magonjwa5 days ago

Mkojo kuuma ni dalili ya ugonjwa gani

Mkojo kuuma ni dalili ya ugonjwa gani Mkojo kuuma au kupata maumivu wakati wa kukojoa ni hali ambayo kwa kitaalam...

Magonjwa5 days ago

Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono dalili Zake

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa2 weeks ago

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu Haya ni maneno ambayo umekuwa ukiyasikia sana linapokuja swala la vipimo cha UKIMWI, je...

Magonjwa2 weeks ago

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia. Kutana na Ilene Raymond Rush ambaye aligunduliwa Kisukari aina ya Pili(Type 2...

Magonjwa2 weeks ago

Ugonjwa unaosababishwa na konokono

Ugonjwa unaosababishwa na konokono Ugonjwa unaosababishwa na konokono unaitwa schistosomiasis, au bilharzia. Ni ugonjwa wa maambukizi unaosababishwa na minyoo wanaoitwa...

Magonjwa2 weeks ago

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake. Wengi tumesikia kuhusu Red Eyes(Macho mekundu) Lakini je umewahi kusikia kuhusu Pink Eyes,?...

Magonjwa3 weeks ago

Omeprazole inatibu ugonjwa gani,Fahamu hapa

Omeprazole inatibu ugonjwa gani Omeprazole inatibu ni nini?, Hili ni swali ambalo limekuwa likiulizwa mara kwa mara na wafwatiliaji wengi...

Magonjwa3 weeks ago

Mate kujaa mdomoni ni dalili ya ugonjwa gani

Mate kujaa mdomoni ni dalili ya ugonjwa gani Mate kujaa Mdomoni,ni tatizo ambalo hutokea kwa baadhi ya watu, na zipo...

Magonjwa3 weeks ago

Glaucoma: Ugonjwa hatari unaopoteza nuru ya macho

Glaucoma: Ugonjwa hatari unaopoteza nuru ya macho Kuna magonjwa mengi yanayohusiana na macho, mengi yanatibika lakini kuna baadhi ya magonjwa...

Magonjwa4 weeks ago

Kunguni husababisha ugonjwa gani

Kunguni husababisha ugonjwa gani Kunguni ni wadudu wadogo ambao chakula chao kikubwa ni damu, wadudu hawa huweza kunyonya damu kutoka...