Magonjwa
UGONJWA WA FISTULA MAANA YAKE,CHANZO CHAKE,DALILI NA TIBA YAKE
![](https://afyaclass.com/mk_omb/uploads/2020/12/images-6.jpeg)
UGONJWA WA FISTULA MAANA YAKE,CHANZO CHAKE,DALILI NA TIBA YAKE
- Utangulizi Kujua maana ya Ugonjwa wa FISTULA na Aina za Fistula
- Chanzo cha Ugonjwa huu wa Fistula
- Makundi ambao yapo katika hatari za kupata Ugonjwa wa Fistula
- Dalili zote za Ugonjwa wa Fistula
- Tiba za Ugonjwa wa Fistula
- Maelekezo Jinsi ya kupata Ushauri,Elimu au Tiba kama Unahitaji
?SOMO KAMILI
Ugonjwa wa Fistula ni nini?
? BAADHI YA AINA ZA FISTULA HII NI PAMOJA NA;
Chanzo cha Ugonjwa Huu wa FISTULA
- Majeraha au Tundu ambalo hutokea wakati Mwanamke anajifungua,ambapo linaweza kusabibishwa na uzembe wakati wa upasuaji,au mgandamizo wa mtoto wakati anatoka,au wakati mama anasaidiwa kutolewa mtoto wakati anajifungua kwa Njia ya kawaida,ambapo hii huhusisha matumizi ya vifaa vyenye ncha kali Mfano wakati wa procedure inaitwa Episiotomy au Forceps Delivery.
- Maambukizi ya Magonjwa mbali mbali kama HIV na magonjwa mengine ya Zinaa,uwepo wa Ugonjwa wa CANCER,Ugonjwa wa TB, na Magonjwa katika Utumbo ambapo kitaalam tunasema Intestinal diseases like;Crohn’s disease and diverticulitis.
- Matibabu yanayohusisha Mionzi ambapo kitaalam Hujulikana kama RADIATION TREATMENT
Dalili za Ugonjwa wa Fistula
? Kundi Ambalo lipo kwenye Hatari ya Kupata Ugonjwa wa Fistula
Vipimo; Vipo vipimo mbali mbali,kama vile vya magonjwa yote ya maambukizi,vipimo vya Mkojo,Na pia kufwatilia kwa Makini kuhusu Dalili za Ugonjwa wa Fistula kwa Mgonjwa
Ugonjwa wa Fistula,baada ya kugundulika zipo njia mbali mbali za Kutibu tatizo hili kulingana na Chanzo cha Tatizo hili,Na Njia hizo ni kama;?Mwanamke kufanyiwa Upasuaji kisha kuzibwa sehemu ya Tundu la FISTULA,? Baada ya Upasuaji,mwanamke atapewa dawa mbali mbali ikiwemo za kuzuia na kutibu maambukizi mbali mbali
KUMBUKA;
![](https://afyaclass.com/mk_omb/uploads/2020/12/images-6-300x201.jpeg)
-
Magonjwa7 days ago
Dalili za acid reflux,Soma hapa Kufahamu
-
magonjwa ya wanawake6 days ago
Dalili za Ectopic pregnancy,Mimba kutunga nje ya kizazi
-
Elimu&Ushauri5 days ago
Afya za watu bilioni 1.8 duniani matatani kwa kutokufanya Mazoezi – WHO
-
Magonjwa3 days ago
Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri
-
Events2 days ago
Chad yafanikiwa kuondoa Ugonjwa wa trypanosomiasis,WHO yatangaza
-
Uzazi/Ujauzito13 hours ago
Dalili za hatari baada ya kujifungua kwa upasuaji
-
Events6 days ago
Princess Anne alilazwa hospitalini na majeraha madogo kufuatia tukio nyumbani kwake
-
News5 days ago
Mlipuko Mbaya wa homa ya nyani watokea tena KIVU KASKAZINI