Connect with us

Magonjwa

UGONJWA WA FISTULA MAANA YAKE,CHANZO CHAKE,DALILI NA TIBA YAKE

Avatar photo

Published

on

UGONJWA WA FISTULA MAANA YAKE,CHANZO CHAKE,DALILI NA TIBA YAKE

☑️ SUMMARY
 
Karibu katika makala hii,kujua Zaidi Ugonjwa huu wa FISTULA,Vipo vipengele ambavyo tutavigusia kama ifuatavyo;
  1. Utangulizi Kujua maana ya Ugonjwa wa FISTULA na Aina za Fistula
  2. Chanzo cha Ugonjwa huu wa Fistula
  3. Makundi ambao yapo katika hatari za kupata Ugonjwa wa Fistula
  4. Dalili zote za Ugonjwa wa Fistula
  5. Tiba za Ugonjwa wa Fistula
  6. Maelekezo Jinsi ya kupata Ushauri,Elimu au Tiba kama Unahitaji

?SOMO KAMILI

Ugonjwa wa Fistula ni nini?

FISTULA- Huu ni Ugonjwa unaohusisha kutokea kwa tundu au abnormal connection kati ya organs mbali mbali mwilini,
Mfano:
Tundu kati ya Njia ya Mkojo na Kibofu cha Mkojo, Tundu kati ya Njia ya Mkojo na Njia ya Haya Kubwa,Tundu kati ya Njia ya Mkojo na Utumbo Mkubwa n.k. Ambapo matokeo yake husababisha mwanamke kushindwa Kujizuia kukojoa, au Uchafu wa Haja Kubwa kutokea Njia ya Haja Ndogo n.k
shida hii sio kwamba inawapata wanawake tu,kama jamii ilivyozoea kusikia kwamba,Mtu mwenye Fistula lazima awe mwanamke, Zipo aina mbali mbali za Fistula mfano;
Arteriovenous fistula- hii huhusisha tundu kati ya mshipa wa artery na Vein
Anal Fistula- kwenye eneo la anus pamoja na ngozi yake n.k
Na pia ipo hii sasa FISTULA kwa  WANAWAKE kama ilivyozoeleka

? BAADHI YA AINA ZA FISTULA HII NI PAMOJA NA;

(1) RectoVaginal Fistula(RVF)- Hii ni aina ya Fistula ambayo huhusisha Tundu kati ya Njia ya Haja Kubwa na Uke wa mwanamke
 
(2) ColoVaginal Fistula(CVF)-Hii ni aina ya Fistula ambayo huhusisha Tundu kati ya utumbo mkubwa na Uke wa mwanamke
 
(3) VesicoVaginal Fistula (VVF)- Hii ni aina ya Fistula ambayo huhusisha Tundu kati ya kibofu cha Mkojo na Uke au Njia ya Mkojo ya mwanamke

Chanzo cha Ugonjwa Huu wa FISTULA

  • Majeraha au Tundu ambalo hutokea wakati Mwanamke anajifungua,ambapo linaweza kusabibishwa na uzembe wakati wa upasuaji,au mgandamizo wa mtoto wakati anatoka,au wakati mama anasaidiwa kutolewa mtoto wakati anajifungua kwa Njia ya kawaida,ambapo hii huhusisha matumizi ya vifaa vyenye ncha kali Mfano wakati wa procedure inaitwa Episiotomy au Forceps Delivery.
  • Maambukizi ya Magonjwa mbali mbali kama HIV na magonjwa mengine ya Zinaa,uwepo wa Ugonjwa wa CANCER,Ugonjwa wa TB, na Magonjwa katika Utumbo ambapo kitaalam tunasema Intestinal diseases like;Crohn’s disease and diverticulitis.
  • Matibabu yanayohusisha Mionzi ambapo kitaalam Hujulikana kama RADIATION TREATMENT

Dalili za Ugonjwa wa Fistula

✓ Mwanamke kutokwa na Mkojo pasipo Kujizuia (Dalili kubwa na kiashiria kikubwa cha Ugonjwa wa Fistula)
 
✓ Uchafu wa Haja Kubwa(Kinyesi) kutoka katika Njia ya Haja Ndogo(ukeni)
 
✓ Mwanamke kuwa na Harufu ya Mkojo mda wote (Urine Smell)
 
✓ Mwanamke kutembea kama Amepinda
 
✓ Mwanamke kunuka Harufu ya Kinyesi
 
✓ Mwanamke kupata homa,maumivu makali ya Ubavu na Tumbo chini ya kitovu

? Kundi Ambalo lipo kwenye Hatari ya Kupata Ugonjwa wa Fistula

 

– Kuwa mwanamke au Jinsia ya Kike
– Mwanamke Mjamzito na anayejifungua
– Mwanamke mwenye magonjwa kama HIV na magonjwa mengine ya Zinaa(sexual Transmitted Diseases),CANCER,tuberculosis(TB),
Magonjwa ya Utumbo ambapo kitaalam tunasema Intestinal diseases like;Crohn’s disease and diverticulitis
– Mwanamke anayepata huduma au tiba ya mionzi- RADIATION TREATMENT
 

Vipimo; Vipo vipimo mbali mbali,kama vile vya magonjwa yote ya maambukizi,vipimo vya Mkojo,Na pia kufwatilia kwa Makini kuhusu Dalili za Ugonjwa wa Fistula kwa Mgonjwa

TIBA AU MATIBABU YA UGONJWA WA FISTULA
 
Ugonjwa wa Fistula,baada ya kugundulika zipo njia mbali mbali za Kutibu tatizo hili kulingana na Chanzo cha Tatizo hili,Na Njia hizo ni kama;
?Mwanamke kufanyiwa Upasuaji kisha kuzibwa sehemu ya Tundu la FISTULA,
? Baada ya Upasuaji,mwanamke atapewa dawa mbali mbali ikiwemo za kuzuia na kutibu maambukizi mbali mbali

KUMBUKA; 

Ugonjwa huu wa FISTULA unatibika kabsa,kwahyo basi kama unatatizo hili umekata tamaa,Tiba ipo usiabike,nenda Hosptal kapate matibabu, fistula inatibika kabsa.
 KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA JUU YA TATIZO LOLOTE TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In https://afyaclass.com Also Follow us on Instagram @afyaclass

YOU MUST READ(IMPORTANT)

Magonjwa2 months ago

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani. Watu wengi huweza kupata maumivu chini ya kitovu, lakini umewahi kujiuliza...

Magonjwa3 months ago

Kaswende ni ugonjwa gani, soma hapa kufahamu

Kaswende ni ugonjwa gani, Kaswende ni maambukizi yanayosababishwa na bakteria. Mara nyingi, huenea kupitia mawasiliano ya kingono au kwa kujamiiana....

Magonjwa3 months ago

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani Koo kukauka kunaweza kusababishwa na sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na: Upungufu wa...

Magonjwa3 months ago

Amiba ni ugonjwa gani,Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Amebiasis

Amiba ni ugonjwa gani Wengi wamezoea kusema hivo ila Amiba(amoeba) ni vimelea vyinavyosababisha ugonjwa, na Ugonjwa huo kitaalam ndyo hujulikana...

Magonjwa5 months ago

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba kuwashwa nyayo za miguu; zipo sababu nyingi ambazo huchangia shida...

magonjwa ya wanawake5 months ago

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease)

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease) Pid ni ugonjwa gani? PID ni Maambukizi ya bacteria Kwenye Via vya Uzazi...

Magonjwa2 years ago

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE)

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE) Mabadiliko ya Watoto wengi huanza kwenye miezi mitatu ya Mwanzo wakati ambapo Shingo ya mtoto...

Magonjwa3 years ago

MAUMIVU MAKALI SEHEMU YA HAJA KUBWA

Baadhi ya watu wanachanganya tatizo la maumivu makali sehemu ya haja kubwa pamoja na tatizo la Bawasiri,japo mojawapo ya chanzo...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus)

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus) tatizo la masikio kupiga kelele Tinnitus, ni Tatizo la masikio kupiga kelele,...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO)

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?)

Tatizo la Uke Kujamba TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?) Moja ya vitu...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

 FANGASI • • • • • DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE Mashambulizi ya Fangasi sehemu za siri...

Magonjwa3 years ago

CHANZO CHA TATIZO LA KUOTA NYAMA PUANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 years ago

SABABU ZA KUVIMBA KWA MASHAVU YA UKE(TEZI LA BARTHOLIN)

KUVIMBA MASHAVU YA UKE • • • • • • Katika Makala hii tumechambua zaidi kuhusu sababu za kuvimba mashavu...

Magonjwa4 years ago

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia)

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia) Tatizo hili linatokea kwa Baadhi ya wanaume,na hata kupelekea Wanaume hao kuwa na Matiti kama...

MAGONJWA MBALI MBALI

Magonjwa3 days ago

Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri

Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri Yapo magonjwa mbali mbali ya ngozi ambayo huweza kuathiri Sehemu za Siri za Mwanaume...

Magonjwa7 days ago

Dalili za acid reflux,Soma hapa Kufahamu

Dalili za acid reflux: Tatizo la Gastroesophageal reflux disease (GERD), ni tatizo ambalo huwapata Watu wengi,Tatizo hili hujulikana kwa jina...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe,VITILIGO

Ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe,VITILIGO Vitiligo ni ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe au ni ugonjwa ambao huhusisha ngozi kupoteza rangi...

Magonjwa3 weeks ago

Mlipuko wa ugonjwa wa macho,Macho Mekundu

Mlipuko wa ugonjwa wa macho,Macho Mekundu Baada ya Ugonjwa huu wa macho kusumbua watu wengi kwa kipindi cha Hivi Karibuni,...

Magonjwa4 weeks ago

Scabies ni ugonjwa gani? Soma hapa kufahamu

Scabies ni ugonjwa gani? Soma hapa kufahamu Utangulizi: Scabies huhusisha mtu kuwa na vipele na muwasho kwenye ngozi yake ambapo...

Magonjwa4 weeks ago

Dalili za ugonjwa wa gono kwa mwanaume

Dalili za ugonjwa wa gono kwa mwanaume Gono ni neno maarufu ambalo kirefu chake ni Gonorrhea na kiswahili chake ni...

Magonjwa1 month ago

Dalili Mpya za ukimwi kwenye ngozi

Zipi ni Dalili za ukimwi kwenye ngozi Zipi ni dalili za Ukimwi kwenye ngozi ya mtu? Fahamu hapa kupitia makala...

Magonjwa1 month ago

Madhara ya COVID-19: Athari za Ugonjwa, Asili na Matibabu

Madhara ya COVID-19: Athari za Ugonjwa, Asili na Matibabu Huu ni ugonjwa wa kuambukiza uliosababishwa na kirusi cha corona, ambao...

Magonjwa1 month ago

Ishara za Maambukizi ya Njia ya Mkojo (UTI) kwa Wanaume na Wanawake

Ishara za Maambukizi ya Njia ya Mkojo (UTI) kwa Wanaume na Wanawake Karibu! Hapa kwa makala yenye taarifa muhimu kuhusu...

Magonjwa1 month ago

Vyanzo Vya Kifo cha Ghafla: Sababu Zinazotisha na Jinsi ya Kujikinga

“Vyanzo Vya Kifo cha Ghafla: Sababu Zinazotisha na Jinsi ya Kujikinga” Kifo cha ghafla ni janga lisilotarajiwa ambalo linaweza kumpata...

Trending