Ticker

6/recent/ticker-posts

FAIDA ZA KULA CHUNGWA NA CHENZA(TANGARINE)



ZIJUE FAIDA ZA KULA CHUNGWA NA CHENZA(TANGARINE) KATIKA MWILI WAKO


➡️ faida


Tunda la Chungwa limekuwa likipatikana katika Maeneo mengi sana,hungu wengine wakila tu bila hata Kujua umuhimu wake Mwilini.


Kumbuka chakula na Matunda ni Tiba katika Mwili wako.


Hizi hapa ni baadhi ya Faida za Tunda la Chungwa pamoja na Chenza


Faida za Chungwa na Chenza ni Pamoja na;


1. Chungwa na Chenza ni vyanzo vizuri vya VITAMIN C


2. Husaidia Kuboresha Mfumo mzima wa KINGA ya MWILI


3. Husaidia kuzuia Uharibifu wa NGOZI


4. Huboresha Presha Ya Damu


5. Hushusha Kiwango cha Cholesterol Mbaya


6. Husaidia kudhibiti kiwango cha Sukari Mwilini


7. Hupunguza Hatari ya Kupata Tatizo la Saratani au Kansa


8. Husaidia Kuboresha afya ya Macho


9. Husaidia kuzuia tatizo la kupata Choo kigumu
N.K.....!!


JE WEWE UNA DESTURI YA KULA MACHUNGWA NA MACHENZA?


Kama huna utaratibu huu,anza leo kwani tunda hili ni muhimu sana katika afya yako.Kumbuka afya yako Kwanza..

.

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

Karibu Sana..!!!







Post a Comment

0 Comments