Ticker

6/recent/ticker-posts

FAIDA ZA KUTUMIA ZABIBU KILA WAKATI



ZABIBU

• • • • • •

Faida za kutumia zabibu kila wakati.... Kwa mujibu wa tafiti za kiafya zinaonyesha, ipo faida kubwa sana kwa mtu yeyote anayetumia zabibu katika upande wa afya yake.


Inaonyesha moja kwa moja, zabibu kutokana na wingi wa madini zilizonayo ndani yake, zina uwezo wa kutibu magonjwa mbalimbali kama zikitumiwa kwa uhakika. katika makala haya tumekuwekea dondoo za kukusaidia kukuonyesha baadhi ya magonjwa yanaweza kutibiwa au kuepukwa hasa kutokana na matumizi ya zabibu.


1. Zabibu inatibu pumu (Asthma)

2. Zabibu inaimarisha mifupa.

3. Zabibu inazuia magonjwa mengi ya moyo.

4. Zabibu inapunguza unene kwa sehemu.

5. Zabibu inapunguza kisukari.

6. Zabibu ni kinga ya magonjwa ya meno.

7. Zabibu ni kinga kwa kansa ya matiti.

8. Zabibu inapunguza ugonjwa wa mapafu.

9. Zabibu inapunguza tatizo la kushindwa kuona mbali.

.

.





Post a Comment

0 Comments