Ticker

6/recent/ticker-posts

MADHARA YA KUWEKA NYWELE DAWA



 YAPI NI MADHARA YA KUWEKA NYWELE DAWA?

➡️ Dawa za Nywele

Moja ya Fashion kubwa siku hizi ni kuweka Nywele Dawa kwa akina Dada, Zipo aina Nyingi sana za Dawa za Nywele,huku zingine zikionyesha Madhara ya Moja kwa Moja kabsa.

Je kuweka Dawa ni afya Kwa Mtumiaji?

Moja ya Madaktari kutoka katika hospital ya ILALA nchini Tanzania "DR. LAUREN CHIPATA" alifanya utafiti na kugundua kwamba Dawa za Nywele Pamoja na Vipodozi vyenye Kemikali vinazalisha kwa Wingi Kemikali inayochochea kwa kiwango kikubwa Uzalishaji wa Kichocheo aina ya OESTROGEN mwilini ambacho huchangia kwa Kiasi kikubwa Sana Mwanamke kupata Uvimbe kwenye Kizazi au Ukuaji wa FIBROIDS au MYOMA.

Namnukuu...!!!

Kemikali hizi hupenya kwenye ngozi, na wakati mwingine hata kwa harufu tu unayovuta ya kemikali hizi,na kusababisha uzalishaji wa vichocheo vya oestrogen kwa wingi na kuleta fibroids”-anasema Dk. Chipata


Hivo basi, Kutokana na Utafiti huo,Matumizi ya Dawa za Nywele sio salama kwa afya ya Mwanamke,kwani humuweka katika Hatari ya kupata Uvimbe wa Kizazi ( FIBROIDS) au Myoma.

KUMBUKA; Kinga Ni Bora kuliko tiba, kwahyo ni bora kuepuka vitu ambavyo huweza kukuletea madhara makubwa katika afya yako.

Kama pia unapata dalili kama;

- Maumivu wakati wa Tendo la Ndoa

- Kuvuja damu wakati wa tendo la ndoa

- Maumivu makali chini ya kitovu

- Kublid katikati ya mwezi

Waone wataalam wa afya kwa ajili ya Uchunguzi zaidi.


KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

Karibu Sana..!!!






Post a Comment

0 Comments