Connect with us

Magonjwa

JINSI YA KUSOMA KIPIMO CHA UKIMWI

Avatar photo

Published

on

JINSI YA KUSOMA KIPIMO CHA UKIMWI

Kama ilivyochangamoto kusoma kipimo cha Malaria au Mimba ndivo ilivyo changamoto katika kusoma kipimo cha ukimwi au kipimo cha HIV na kujua majibu sahihi kwa watu wengi.

Huku wengine wakizidi kuchanganyikiwa kuhusu Neno Positive na Negative. Wakishindwa kujua positive ni mtu ambaye ana ukimwi au hana, na Negative ni mtu ambaye ana ukimwi  au hana.

Wengine wakisoma majibu yao,wakikuta wataalam wa afya wametumia maneno mbali mbali kama Reactive na Non- reactive.

Katika Makala hii Utajifunza Jinsi ya Kusoma Kipimo cha Ukimwi au Kipimo cha HIV pamoja na baadhi ya maneno ambayo hutumika sana wakati wa Kutoa Majibu;

1. MANENO YANAYOTUMIKA NA MAANA ZAKE

âś“ HIV POSITIVE- Hii ina maana kwamba aliyepima tayari ana maambukizi ya virusi vya Ukimwi

âś“ HIV NEGATIVE- Hii ina maana kwamba aliyepima hana maambukizi yoyote ya virusi vya Ukimwi

âś“ REACTIVE- Hii ina maana kwamba aliyepima tayari ana maambukizi ya virusi vya Ukimwi

âś“ NON-REACTIVE- Hii ina maana kwamba aliyepima hana maambukizi yoyote ya virusi vya Ukimwi

2. JINSI YA KUSOMA KIPIMO CHA UKIMWI

– Baada ya kupima kipimo cha ukimwi au Kipimo cha HIV, majibu ya kipimo chetu hutegemea idadi ya mistari itakayojionyesha hapo kwenye Kipimo cha Ukimwi ambapo;

  • Kipimo cha Ukimwi au kipimo cha HIV kikionyesha Mstari Mmoja, ambapo tunasema mstari wa Control, Aliyepima hana maambukizi yoyote ya virusi vya ukimwi au ni NEGATIVE au NON-REACTIVE
  • Kipimo cha Ukimwi au kipimo cha HIV kikionyesha Mstari zaidi ya mmoja kama hapo kwenye picha yetu,Aliyepima tayari ana maambukizi ya virusi vya Ukimwi au ni POSITIVE au REACTIVE.
KUMBUKA: Lazima kipimo cha Ukimwi au Kipimo cha HIV kisome Mstari wa Control-C bila kujali ni Positive au Negative,

endapo umepima Kipimo cha Ukimwi au kipimo cha HIV na mstari wa C-control haujasoma, ujue kabsa umekosea kupima.

Hivo ndivyo tunavyosoma kipimo cha Ukimwi au kipimo cha HIV.

FAQs: Maswali yanayoulizwa mara kwa mara

Je, nini maana ya Positive na Negative kwenye kipimo cha Ukimwi au kipimo cha HIV?

âś“ HIV POSITIVE- Hii ina maana kwamba aliyepima tayari ana maambukizi ya virusi vya Ukimwi

âś“ HIV NEGATIVE- Hii ina maana kwamba aliyepima hana maambukizi yoyote ya virusi vya Ukimwi.

Je, ni lazima kipimo cha Ukimwi au kipimo cha Hiv kisome kwenye mstari wa C?

Ndyo,Lazima kipimo cha Ukimwi au Kipimo cha HIV kisome Mstari wa Control-C bila kujali ni Positive au Negative,

endapo umepima Kipimo cha Ukimwi au kipimo cha HIV na mstari wa C-control haujasoma, ujue kabsa umekosea kupima.

Hitimisho

Ni muhimu kufahamu hatua hizi za kupima Kipimo cha Ukimwi au kipimo cha HIV ili kupata Majibu sahihi na kuepuka kupata Majibu ya Uongo,

Lakini pia unahitaji kufahamu Zaidi kuhusu Ugonjwa wa Ukimwi,dalili zake,njia za maambukizi na Jinsi ya Kujikinga na Ugonjwa huu,

• Soma Zaidi hapa:Dalili za Ugonjwa wa UKIMWI

Wakati wa kufanya Kipimo cha Ukimwi au kipimo cha HIV,lazima ujue au Uzingatie mambo haya; kanuni sahihi za Upimaji,Muda wa kusoma majibu yako, expire date ya Kipimo, pamoja na muda wa kurudia vipimo baada ya vipimo vya Awali.

 

Ushauri|Tiba|CheckIn 🩺🌡️ContactUs; +255758286584 or INBOX📩. For More Healthtips everyday Link In https://afyaclass.com Also Follow us on Instagram @afyaclass

YOU MUST READ(IMPORTANT)

Magonjwa4 weeks ago

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani. Watu wengi huweza kupata maumivu chini ya kitovu, lakini umewahi kujiuliza...

Magonjwa1 month ago

Kaswende ni ugonjwa gani, soma hapa kufahamu

Kaswende ni ugonjwa gani, Kaswende ni maambukizi yanayosababishwa na bakteria. Mara nyingi, huenea kupitia mawasiliano ya kingono au kwa kujamiiana....

Magonjwa2 months ago

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani Koo kukauka kunaweza kusababishwa na sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na: Upungufu wa...

Magonjwa2 months ago

Amiba ni ugonjwa gani,Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Amebiasis

Amiba ni ugonjwa gani Wengi wamezoea kusema hivo ila Amiba(amoeba) ni vimelea vyinavyosababisha ugonjwa, na Ugonjwa huo kitaalam ndyo hujulikana...

Magonjwa3 months ago

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba kuwashwa nyayo za miguu; zipo sababu nyingi ambazo huchangia shida...

magonjwa ya wanawake4 months ago

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease)

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease) Pid ni ugonjwa gani? PID ni Maambukizi ya bacteria Kwenye Via vya Uzazi...

Magonjwa2 years ago

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE)

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE) Mabadiliko ya Watoto wengi huanza kwenye miezi mitatu ya Mwanzo wakati ambapo Shingo ya mtoto...

Magonjwa3 years ago

MAUMIVU MAKALI SEHEMU YA HAJA KUBWA

Baadhi ya watu wanachanganya tatizo la maumivu makali sehemu ya haja kubwa pamoja na tatizo la Bawasiri,japo mojawapo ya chanzo...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus)

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus) tatizo la masikio kupiga kelele Tinnitus, ni Tatizo la masikio kupiga kelele,...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO)

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?)

Tatizo la Uke Kujamba TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?) Moja ya vitu...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

 FANGASI • • • • • DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE Mashambulizi ya Fangasi sehemu za siri...

Magonjwa3 years ago

CHANZO CHA TATIZO LA KUOTA NYAMA PUANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 years ago

SABABU ZA KUVIMBA KWA MASHAVU YA UKE(TEZI LA BARTHOLIN)

KUVIMBA MASHAVU YA UKE • • • • • • Katika Makala hii tumechambua zaidi kuhusu sababu za kuvimba mashavu...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia)

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia) Tatizo hili linatokea kwa Baadhi ya wanaume,na hata kupelekea Wanaume hao kuwa na Matiti kama...

MAGONJWA MBALI MBALI

Magonjwa1 day ago

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 days ago

Ugonjwa unaosababishwa na kula nyama mbichi

Ugonjwa unaosababishwa na kula nyama mbichi Madhara ya kula nyama ya ng’ombe mbichi Ni desturi ya baadhi ya watu kula...

Magonjwa1 week ago

Mkojo kuuma ni dalili ya ugonjwa gani

Mkojo kuuma ni dalili ya ugonjwa gani Mkojo kuuma au kupata maumivu wakati wa kukojoa ni hali ambayo kwa kitaalam...

Magonjwa1 week ago

Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono dalili Zake

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa2 weeks ago

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu Haya ni maneno ambayo umekuwa ukiyasikia sana linapokuja swala la vipimo cha UKIMWI, je...

Magonjwa3 weeks ago

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia. Kutana na Ilene Raymond Rush ambaye aligunduliwa Kisukari aina ya Pili(Type 2...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa unaosababishwa na konokono

Ugonjwa unaosababishwa na konokono Ugonjwa unaosababishwa na konokono unaitwa schistosomiasis, au bilharzia. Ni ugonjwa wa maambukizi unaosababishwa na minyoo wanaoitwa...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake. Wengi tumesikia kuhusu Red Eyes(Macho mekundu) Lakini je umewahi kusikia kuhusu Pink Eyes,?...

Magonjwa3 weeks ago

Omeprazole inatibu ugonjwa gani,Fahamu hapa

Omeprazole inatibu ugonjwa gani Omeprazole inatibu ni nini?, Hili ni swali ambalo limekuwa likiulizwa mara kwa mara na wafwatiliaji wengi...

Magonjwa4 weeks ago

Mate kujaa mdomoni ni dalili ya ugonjwa gani

Mate kujaa mdomoni ni dalili ya ugonjwa gani Mate kujaa Mdomoni,ni tatizo ambalo hutokea kwa baadhi ya watu, na zipo...