Connect with us

Magonjwa

VYAKULA VYA KUONGEZA DAMU KAMA UNA TATIZO LA UPUNGUFU WA DAMU MWILINI

Avatar photo

Published

on

VYAKULA VYA KUONGEZA DAMU KAMA UNA TATIZO LA UPUNGUFU WA DAMU

Chembe hai nyekundu za damu maarufu kama Haemoglobin(hb) ndizo hutumika katika kuangalia kiwango cha Damu ambacho mtu anacho. Na kwa kutumia hizo ndyo tunaweza kusema mtu huyu ana damu nyingi au ana upungufu wa Damu mwilini.

Kiwango cha kawaida cha Damu kwenye mwili wa binadamu hutofautiana kati ya jinsia moja na nyingine, hapa namaanisha mwanamke na mwanaume katika kuangalia kiwango sahihi cha Damu ni tofauti kwa jinsia hizi mbili. Lakini pia ni tofauti kwa Mama Mjamzito kutokana na hatari ya kupoteza damu nyingi wakati wa kujifungua.

✓ Mwanaume kiwango sahihi cha Damu ni g/dl 13.5 mpaka 17.5

✓ Kwa mwanamke ambaye si mjamzito,kiwango sahihi cha Damu ni g/dl 12.0 mpaka  15.5, hali hii ya kuwa na kiwango kidogo cha Damu ukilinganisha na mwanaume hutokana na mwanamke kupoteza damu kila anapoingia period au anapopata hedhi

✓ Na kwa mama Mjamzito,kiwango sahihi cha damu hutakiwa kuanzia g/dl 11 au 12 kwenda juu.

BAADHI YA SABABU ZA MTU KUWA NA UPUNGU WA DAMU MWILINI NI PAMOJA NA;

  • Ukosefu wa Madini ya Chuma mwilini
  • Ukosefu wa Vitamin mwilini  hasa hasa Vitamin B12
  • Upungufu wa damu mwilini kwa sababu ya magonjwa kama Kansa, Magonjwa ya Figo na Ukimwi
  • Upungufu wa damu mwilini kutokana na ugonjwa wa MALARIA
  • Upungufu wa damu mwilini kutokana na hali ya damu kushindwa kuganda kwa kitaalam huitwa Coagulopathy
  • Matumizi ya baadhi ya dawa,Sumu,makemiko au magonjwa ambayo huathiri utengenezaji wa Seli nyekundu za Damu(Red blood cells)
  • Tatizo la selimundu au Sickle cell anemia
  • N.K
BAADHI YA VYAKULA VYA KUONGEZA DAMU MWILINI NI PAMOJA NA;
 
1. Baadhi ya matunda husaidia kwa kiwango kikubwa katika kuongeza damu mwilini, na matunda hayo ni pamoja na; Matunda Damu, Zabibu, machungwa, maembe,nyanya pamoja na Strawberries.
2. Ulaji wa mbogamboga kama vile matembele,Spinach au Sukuma wiki pia husaidia kwa kiwango kikubwa kuongeza damu. Pendelea kula mboga mboga hasa hasa mboga jamii ya matembele zitakusaidia sana kuongeza wingi wa damu mwilini.
Pia matumizi ya beetroot, hii husaidia sana kuongeza Damu.
 
3. Pendelea kula vyakula vywenye vyanzo vizuri vya Madini aina ya Chuma Kama vile; maharage,nyama au maini.

4. Matumizi ya juisi mbali mbali kama juisi ya Rozella,beetroot,Tikiti maji, karoti au nyanya huongeza Damu kwa kasi sana. Hivo pendelea kutumia aina hizi za Juisi.

5. Zipo njia nyingine za kuongeza Damu katika mwili wa Binadamu kama vile; matumizi ya Dawa aina ya FEFOL ambapo hapa kuna kiwango kikubwa cha madini ya chuma ambayo yatasaidia utengenezwaji wa haraka wa damu,na hivo kuongeza kiwango cha damu mwilini.

Endapo Mgonjwa yupo katika hali ya hatari ya kuishiwa na damu,zipo njia za haraka kama kutundikiwa damu moja kwa moja kwa njia ya Drip.

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In https://afyaclass.com Also Follow us on Instagram @afyaclass

YOU MUST READ(IMPORTANT)

Magonjwa2 months ago

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani. Watu wengi huweza kupata maumivu chini ya kitovu, lakini umewahi kujiuliza...

Magonjwa3 months ago

Kaswende ni ugonjwa gani, soma hapa kufahamu

Kaswende ni ugonjwa gani, Kaswende ni maambukizi yanayosababishwa na bakteria. Mara nyingi, huenea kupitia mawasiliano ya kingono au kwa kujamiiana....

Magonjwa3 months ago

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani Koo kukauka kunaweza kusababishwa na sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na: Upungufu wa...

Magonjwa3 months ago

Amiba ni ugonjwa gani,Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Amebiasis

Amiba ni ugonjwa gani Wengi wamezoea kusema hivo ila Amiba(amoeba) ni vimelea vyinavyosababisha ugonjwa, na Ugonjwa huo kitaalam ndyo hujulikana...

Magonjwa5 months ago

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba kuwashwa nyayo za miguu; zipo sababu nyingi ambazo huchangia shida...

magonjwa ya wanawake5 months ago

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease)

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease) Pid ni ugonjwa gani? PID ni Maambukizi ya bacteria Kwenye Via vya Uzazi...

Magonjwa2 years ago

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE)

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE) Mabadiliko ya Watoto wengi huanza kwenye miezi mitatu ya Mwanzo wakati ambapo Shingo ya mtoto...

Magonjwa3 years ago

MAUMIVU MAKALI SEHEMU YA HAJA KUBWA

Baadhi ya watu wanachanganya tatizo la maumivu makali sehemu ya haja kubwa pamoja na tatizo la Bawasiri,japo mojawapo ya chanzo...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus)

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus) tatizo la masikio kupiga kelele Tinnitus, ni Tatizo la masikio kupiga kelele,...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO)

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?)

Tatizo la Uke Kujamba TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?) Moja ya vitu...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

 FANGASI • • • • • DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE Mashambulizi ya Fangasi sehemu za siri...

Magonjwa3 years ago

CHANZO CHA TATIZO LA KUOTA NYAMA PUANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 years ago

SABABU ZA KUVIMBA KWA MASHAVU YA UKE(TEZI LA BARTHOLIN)

KUVIMBA MASHAVU YA UKE • • • • • • Katika Makala hii tumechambua zaidi kuhusu sababu za kuvimba mashavu...

Magonjwa4 years ago

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia)

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia) Tatizo hili linatokea kwa Baadhi ya wanaume,na hata kupelekea Wanaume hao kuwa na Matiti kama...

MAGONJWA MBALI MBALI

Magonjwa2 days ago

kuharisha na kutapika ni dalili za ugonjwa gani

kuharisha na kutapika ni dalili za ugonjwa gani Unapopata tatizo la kuharisha na kutapika kwa wakati mmoja unaweza kuwaza sana,...

Magonjwa4 days ago

Dalili za infection kwenye damu,mchafuko wa damu

Dalili za infection kwenye damu Mchafuko wa damu,chanzo,dalili na Tiba Mchafuko wa damu; hiki ni kiswahili ambacho watu wamezoea kukitumia...

Magonjwa7 days ago

Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri

Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri Yapo magonjwa mbali mbali ya ngozi ambayo huweza kuathiri Sehemu za Siri za Mwanaume...

Magonjwa2 weeks ago

Dalili za acid reflux,Soma hapa Kufahamu

Dalili za acid reflux: Tatizo la Gastroesophageal reflux disease (GERD), ni tatizo ambalo huwapata Watu wengi,Tatizo hili hujulikana kwa jina...

Magonjwa4 weeks ago

Ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe,VITILIGO

Ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe,VITILIGO Vitiligo ni ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe au ni ugonjwa ambao huhusisha ngozi kupoteza rangi...

Magonjwa4 weeks ago

Mlipuko wa ugonjwa wa macho,Macho Mekundu

Mlipuko wa ugonjwa wa macho,Macho Mekundu Baada ya Ugonjwa huu wa macho kusumbua watu wengi kwa kipindi cha Hivi Karibuni,...

Magonjwa1 month ago

Scabies ni ugonjwa gani? Soma hapa kufahamu

Scabies ni ugonjwa gani? Soma hapa kufahamu Utangulizi: Scabies huhusisha mtu kuwa na vipele na muwasho kwenye ngozi yake ambapo...

Magonjwa1 month ago

Dalili za ugonjwa wa gono kwa mwanaume

Dalili za ugonjwa wa gono kwa mwanaume Gono ni neno maarufu ambalo kirefu chake ni Gonorrhea na kiswahili chake ni...

Magonjwa1 month ago

Dalili Mpya za ukimwi kwenye ngozi

Zipi ni Dalili za ukimwi kwenye ngozi Zipi ni dalili za Ukimwi kwenye ngozi ya mtu? Fahamu hapa kupitia makala...

Magonjwa1 month ago

Madhara ya COVID-19: Athari za Ugonjwa, Asili na Matibabu

Madhara ya COVID-19: Athari za Ugonjwa, Asili na Matibabu Huu ni ugonjwa wa kuambukiza uliosababishwa na kirusi cha corona, ambao...

Trending