Connect with us

Magonjwa

TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?)

Avatar photo

Published

on

Tatizo la Uke Kujamba

TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?)

Moja ya vitu vikubwa vya kuzingatia kwa Mwanamke ni pamoja na afya ya Uzazi ikihusisha viungo vya uzazi kama vile Uke n.k,

Kujikinga na kudhibiti magonjwa mbali mbali kama vile magonjwa ya Zinaa,Saratani mbali mbali n.k

Na kwa Mujibu wa Shirika la afya Duniani(WHO), moja ya saratani ambazo husumbua wanawake wengi na Kusababisha vifo ni pamoja na;

  • Saratani ya Mlango wa Kizazi(Cervical cancer)
  • Pamoja na Saratani ya Matiti(breast cancer)

Nini tatizo la kujamba ukeni,

Uke Kujamba ni hali ya kutoka Gesi au Upepo wenye sauti kutoka kwenye Uke wa Mwanamke ambayo huweza kutokea wakati wa kufanya Tendo la Ndoa au Ngono, Mazoezi, Kutembea na nk. Gesi hiyo inayotoka huweza kutoka kwa sauti au bila sauti na huwa haina harufu yoyote.

Tatizo la Uke Kujamba au kutoa hewa ni tatizo ambalo huwapata wanawake wengi hasa baada ya kujifungua,

Uke Kujamba (Queefing) kitaalam huitwa vaginal flatulence au Vadinal wind hali hii huwakumba wanawake 70 kati ya Wanawake 100 katika kipindi chote cha maisha yao, Uke kujamba ni hali ya kawaida huweza kuwa na sauti ila huwa haina harufu yoyote, japokuwa kwa baadhi ya akina Dada hupata aibu, kujisikia vibaya wanapopata changamoto hii haswa wakati wa tendo la Ndoa au Mbele ya Kadamnasi endapo ikitokea

Chanzo cha tatizo la Uke kujamba

Je chanzo cha tatizo la Uke kujamba ni nini? na Je tiba yake ni Ipi?

Katika Makala hii tumechambua Zaidi kuhusu Tatizo la Uke Kujamba,chanzo chake,pamoja na Tiba yake.

Baada ya tafiti mbali mbali kufanyika imeonekana baadhi ya sababu mbali mbali huchangia tatizo la uke kujamba,hasa wakati wa kufanya mapenzi, na sababu hizo ni kama vile;

– Kulegea kwa misuli ya uke,hivo kupelekea uke kuwa wazi  mara nyingi na kuruhusu hewa kuingia na kujaa ukeni. Hivo kusababisha tatizo la uke kujamba.

– Kuosha uke kwa maji ya moto mara kwa mara pia huchangia hali ya uke kujamba kwani huchangia misuli ya uke kulegea na kusababisha uke kuwa wazi na kusababisha hewa kujaa ukeni,

Hivo kupelekea Tatizo la Uke Kujamba.

– Kulala hivo hivo mara tu baada ya kufanya mapenzi bila kujisafisha ukeni, hali hii  huathiri joto la ndani ya uke na kupelekea shida mbali mbali kama hii ya uke kujamba.

– Pia wanawake wengi hupatwa na shida hii ya uke kutoa sauti au uke kujamba baada ya kutoka kujifungua.

– Kufanya Tendo la Ndoa au Ngono haswa Mwanamke anapokuwa katika Mkao wa Mbwa (Dog style), Mkao huu Uke wa Mwanamke hufuunguka zaidi na kufanya hewa kuingia wakati Uume unaingia kwenye Uke wa Mwanamke.

– Kufanya Mazoezi Magumu au Mazoezi ya kutumia nguvu sana.

– Kukaa Vibaya au Mikao fulani mfano; wakati wa kufanya Mazoezi ya Yoga Mwanamke anaweza kukaa mkao ambao unaweza kuongeza Presha hasi kwenye Uke wa Mwanamke na kusababisha Hewa au Upepo kuingia kwenye Uke wa Mwanamke na badae hewa hiyo kutoka haraka na kwa sauti baada ya mwanamke kuinuka au Kubadilisha Mkao.

– Udhaifu wa Misuli inayouunda Sakafu ya Nyonga (Pelvic Floor Dysfunction).

– Ukomo wa Hedhi kwa baadhi ya Wanawake wenye umri wa Miaka zaidi ya 45 au 50, kutokana na upungufu wa homoni ya Estrojeni na kufanya kuta za Uke kuwa dhaifu.

– Fistula huweza kusababisha Uke wa Mwanamke Kujamba ila ni mara chache sana. n.k

Soma: Tatizo la Uke Kulegea,chanzo,dalili na Tiba yake

VIHATARISHI VINAVYOPELEKEA UKE KUJAMBA KWA MWANAMKE.

Mojawapo ya Mambo yanayohatarisha Uke wa Mwanamke Kujamba ni kama;

– kubeba Ujauzito ambapo Mtoto huwa mkubwa(big baby) au Kujifungua kwa njia ya kawaida.

– Mwanamke kuwa mwembamba sana.

– Mwanamke mwenye Utapia Mlo au BMI < 24 Kg/M2

– Mkao Mbaya wa Kuongeza Presha hasi Ukeni na Kufanya Gesi au Upepo Kujaa Ukeni.

– Maambukizi ya Vijidudu kwenye Uke wa Mwanamke.

– Upasuaji unaohusisha Misuli inayounda Sakafu ya Nyonga au kutolewa Viungo vya kwenye Nyonga mfano; Kutolewa kwa Mji wa Uzazi.

MATIBABU YA TATIZO HILI LA UKE KUJAMBA

dawa ya kuzuia au Kutibu tatizo la uke kujamba,

Matibabu ya tatizo la Uke kujamba hutegemea na chanzo husika,

Hivo ni muhimu sana kuwasiliana na wataalam wa afya ili Kupata Msaada,

Kama una tatizo la Uke Kujamba, tuwasiliane hapa.

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

JINSI YA KUPUNGUZA UKE KUJAMBA NA MATIBABU YAKE PIA.

Ili kuweza kupunguza Uke Kujamba na Matiba ya Uke Kujamba unatakiwa kufanya Mambo yafuatayo;

âś“ Fanya Mazoezi ya Kegel, ambapo unabana Misuli inayozuia Mkojo kwa sekunde 10 na kuachia kwa sekunde 10, unarudia kufanya mazoezi haya mara 10 au zaidi na utafanya hivi kwa siku mara tatu au zaidi kila siku.

âś“ Epuka kufanya Mapenzi kwa Mkao wa Mbwa haswa kwa Mwanamke badala yake tumia Mkao wa Kifo cha Mende (Missionary style).

âś“ Epuka kukaa mikao inayochochea gesi nyingi kuingia Ukeni kwa mwanamke.

âś“ Kufanyiwa Upasuaji wa Kuimarisha Misuli inayounda Sakafu ya Nyonga na nk.

DALILI ZA HATARI

Endapo Uke unajamba na unapata dalili tajwa hapo chini ni vema kuwahi hospitali, dalili tajwa hapo chini huashiria hatari, dalili hizo ni kama;

  • Uke Kujamba nakutoa harufu kali.
  • Kutokwa na Kinyesi au Mkojo Ukeni.
  • Maambukizi ya Vijidudu Ukeni.
  • Kuporomoka kwa Viungo vya Nyonga na nk.

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

Hitimisho

Tatizo la Uke Kujamba huweza kusababishwa na vitu mbali mbali ikiwemo;Kulegea kwa misuli ya uke,Kuosha uke kwa maji ya moto mara kwa mara pia huchangia hali ya uke kujamba, kupata tatizo la uke kujamba baada ya Kujifungua n.k.

Kama Unashida hii,hakikisha unapata msaada wa matibabu,

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

YOU MUST READ(IMPORTANT)

Magonjwa3 weeks ago

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani. Watu wengi huweza kupata maumivu chini ya kitovu, lakini umewahi kujiuliza...

Magonjwa4 weeks ago

Kaswende ni ugonjwa gani, soma hapa kufahamu

Kaswende ni ugonjwa gani, Kaswende ni maambukizi yanayosababishwa na bakteria. Mara nyingi, huenea kupitia mawasiliano ya kingono au kwa kujamiiana....

Magonjwa1 month ago

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani Koo kukauka kunaweza kusababishwa na sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na: Upungufu wa...

Magonjwa2 months ago

Amiba ni ugonjwa gani,Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Amebiasis

Amiba ni ugonjwa gani Wengi wamezoea kusema hivo ila Amiba(amoeba) ni vimelea vyinavyosababisha ugonjwa, na Ugonjwa huo kitaalam ndyo hujulikana...

Magonjwa3 months ago

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba kuwashwa nyayo za miguu; zipo sababu nyingi ambazo huchangia shida...

magonjwa ya wanawake4 months ago

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease)

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease) Pid ni ugonjwa gani? PID ni Maambukizi ya bacteria Kwenye Via vya Uzazi...

Magonjwa2 years ago

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE)

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE) Mabadiliko ya Watoto wengi huanza kwenye miezi mitatu ya Mwanzo wakati ambapo Shingo ya mtoto...

Magonjwa3 years ago

MAUMIVU MAKALI SEHEMU YA HAJA KUBWA

Baadhi ya watu wanachanganya tatizo la maumivu makali sehemu ya haja kubwa pamoja na tatizo la Bawasiri,japo mojawapo ya chanzo...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus)

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus) tatizo la masikio kupiga kelele Tinnitus, ni Tatizo la masikio kupiga kelele,...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO)

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?)

Tatizo la Uke Kujamba TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?) Moja ya vitu...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

 FANGASI • • • • • DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE Mashambulizi ya Fangasi sehemu za siri...

Magonjwa3 years ago

CHANZO CHA TATIZO LA KUOTA NYAMA PUANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 years ago

SABABU ZA KUVIMBA KWA MASHAVU YA UKE(TEZI LA BARTHOLIN)

KUVIMBA MASHAVU YA UKE • • • • • • Katika Makala hii tumechambua zaidi kuhusu sababu za kuvimba mashavu...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia)

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia) Tatizo hili linatokea kwa Baadhi ya wanaume,na hata kupelekea Wanaume hao kuwa na Matiti kama...

MAGONJWA MBALI MBALI

Magonjwa4 days ago

Mkojo kuuma ni dalili ya ugonjwa gani

Mkojo kuuma ni dalili ya ugonjwa gani Mkojo kuuma au kupata maumivu wakati wa kukojoa ni hali ambayo kwa kitaalam...

Magonjwa5 days ago

Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono dalili Zake

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa2 weeks ago

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu Haya ni maneno ambayo umekuwa ukiyasikia sana linapokuja swala la vipimo cha UKIMWI, je...

Magonjwa2 weeks ago

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia. Kutana na Ilene Raymond Rush ambaye aligunduliwa Kisukari aina ya Pili(Type 2...

Magonjwa2 weeks ago

Ugonjwa unaosababishwa na konokono

Ugonjwa unaosababishwa na konokono Ugonjwa unaosababishwa na konokono unaitwa schistosomiasis, au bilharzia. Ni ugonjwa wa maambukizi unaosababishwa na minyoo wanaoitwa...

Magonjwa2 weeks ago

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake. Wengi tumesikia kuhusu Red Eyes(Macho mekundu) Lakini je umewahi kusikia kuhusu Pink Eyes,?...

Magonjwa3 weeks ago

Omeprazole inatibu ugonjwa gani,Fahamu hapa

Omeprazole inatibu ugonjwa gani Omeprazole inatibu ni nini?, Hili ni swali ambalo limekuwa likiulizwa mara kwa mara na wafwatiliaji wengi...

Magonjwa3 weeks ago

Mate kujaa mdomoni ni dalili ya ugonjwa gani

Mate kujaa mdomoni ni dalili ya ugonjwa gani Mate kujaa Mdomoni,ni tatizo ambalo hutokea kwa baadhi ya watu, na zipo...

Magonjwa3 weeks ago

Glaucoma: Ugonjwa hatari unaopoteza nuru ya macho

Glaucoma: Ugonjwa hatari unaopoteza nuru ya macho Kuna magonjwa mengi yanayohusiana na macho, mengi yanatibika lakini kuna baadhi ya magonjwa...

Magonjwa4 weeks ago

Kunguni husababisha ugonjwa gani

Kunguni husababisha ugonjwa gani Kunguni ni wadudu wadogo ambao chakula chao kikubwa ni damu, wadudu hawa huweza kunyonya damu kutoka...