Ticker

6/recent/ticker-posts

TATIZO LA UPUNGUFU WA MBEGU ZA KIUME (Low sperm count)



 LOW SPERM COUNT

• • • • • •

TATIZO LA UPUNGUFU WA MBEGU ZA KIUME (Low sperm count)


Katika hali ya kawaida ya mwili, kuna kiwango cha mbegu ambacho mwanaume hutakiwa kukizalisha kila sekunde. Na mbali na kiwango hicho kuzalishwa, huwa na matokeo ya moja kwa moja hata katika swala nzima la uzazi na kupata watoto.


Kutokana na mazingira ya sehemu za siri za mwanamke yalivyo,mbegu nyingi za mwanaume hufia njiani hata kabla ya kulikuta yai la mwanamke.


Hivo basi kwa mwanaume ambaye anazalisha kiwango kidogo cha mbegu yupo kwenye hatari ya kushindwa kumpa mimba mwanamke kutokana na idadi kubwa ya mbegu kufa hata kabla ya kukutana na yai, Hivo urutubishaji na mtoto kuzaliwa au mimba kutunga huweza kuwa ngumu sana kwa mwanamke.


Tatizo hili la mwanaume kuzalisha kiwango kidogo sana cha mbegu za kiume hujulikana kama low sperm count

.


DALILI ZA UPUNGUFU WA MBEGU ZA KIUME NI PAMOJA NA;


- Mwanaume kushindwa kumpa mimba mwanamke


- Mwanaume kupata maumivu ya korodani,japo sio kila mara


- Mwanaume kupoteza hamu ya kufanya mapenzi

N.K


WATU AMBAO WAPO KWENYE HATARI YA KUPATWA NA TATIZO HILI


- Wanywaji wa pombe kupita kiasi


- Wavutaji wa sigara


- Wanaotumia dawa zinazohusu kuongeza au kupunguza vichocheo vya mwili


- Wenye matatizo mengine kama kuziba mirija ya korodani 


- Wanaofanya kazi ambazo huhusisha kuungua sana au kupata joto sana sehemu za korodani

N.K


KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.







Post a Comment

0 Comments