afyatips
TATIZO LA KUOTA VIPELE PEMBENI YA UUME(chanzo)
AFYA KWA WANAUME
• • • • •
TATIZO LA KUOTA VIPELE PEMBENI YA UUME(chanzo)
Baadhi ya wanaume hutokewa na tatizo la kuwa na vipele sehemu zao za siri hasa maeneo ya pembeni na uume.
Chat Nasi Whatsapp
"Ungana na Wasomaji zaidi ya 12,000 wanaopata huduma ndani ya afyaclass,Kama unachangamoto yoyote ya kiafya;Kwa Ushauri&Tiba tuwasiliane hapa kupitia WhatSapp,Kama huna Whatsapp tuma SMS au Piga +255758286584."
Chat WhatSapp HapaJe chanzo chake ni nini?
Tatiz hili huweza kuwatokea watu ambao wamepatwa na mashambulizi ya kirusi aina ya HUMAN PAPPILOMA VIRUS au kwa kifupi HPV.
Na mashambulizi haya kwa Kitalaam hujulikana kama Genital warts.
Kirusi cha HPV husambaa kwa njia ya Kujamiiana hivo basi, tatizo hili ni miongoni mwa magonjwa ya zinaaa ambayo huweza kumtokea mtu wa jinsia yoyote (wanawake na wanaume).
KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.
Medical Disclaimer
Medical Disclaimer: Taarifa kwenye makala hii ni kwa ajili ya Updates au elimu ya jumla tu na haichukui nafasi ya uchunguzi,Tiba au ushauri wa kitaalamu wa daktari kwa mtu mmoja mmoja. Kama una dharura au tatizo lolote la kiafya, tafadhali Wasiliana na Daktari moja kwa moja hapa.
Je, unahitaji ushauri binafsi au matibabu ya tatizo lolote?
💬 Wasiliana na Daktari Hapa


