Ticker

6/recent/ticker-posts

TATIZO LA KUWASHWA KWENYE NGOZI WAKATI WA USIKU



 NGOZI

• • • • • •

TATIZO LA KUWASHWA KWENYE NGOZI WAKATI WA USIKU


Kuna baadhi ya watu husumbuliwa na tatizo la kuwashwa kwenye ngozi mwili mzima hasa wakati wa usku,


Baadhi yao huwashwa wakiwa wamelala, na wengine huanza kuwashwa baada ya kuamka tu


Je hali hii hutokana na nini?


Kwa asilimia kubwa chanzo cha tatizo hili ni Allergy, mwili wa mtu una mfumo wa kinga mwili ambao hupambana na kitu chochote anbacho utaona ni kigeni kinachoingia mwilini


Kuna watu hupata allergy ya vitu mbali mbali kama vile; vyakula,nyama,maji n.k


Endapo unatatizo hili kutana na wataalam wa afya ili upate msaada wa kimatibabu zaidi.


KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.






Post a Comment

0 Comments