Connect with us

afyatips

JINSI YA KUJIZUIA NA FANGASI WA MIGUUNI MAARUFU KAMA TINEA PEDIS INTERTRIGEOSA

Doctor Ombeni

Published

on

Imeboreshwa July 10, 2026 by Doctor Ombeni

FANGASI

• • • • • •

JINSI YA KUJIZUIA NA FANGASI WA MIGUUNI MAARUFU KAMA TINEA PEDIS INTERTRIGEOSA


Hii ni fangasi ya miguuni hasa hasa kwenye vidole na katikati ya vidole (tinea pedis intertrigeosa)


Inatibika vizuri sana


Kujizuia na hili fanya haya


1) Usivae viatu bila soksi


2) Usivae soksi mbichi


3) Pima na fuatilia mwenendo wa sukari yako


4) Punguza uzito wako


5) Pima afya yako mara kwa mara


KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.


🏆Certified| Doctor from Afyaclass.Hapa utapata Ushauri & Tiba juu ya magonjwa mbali mbali. Kwa msaada Zaidi Tuwasiliane kupitia namba: +255758286584.Pata dondoo za afya kila siku kwa kufuatilia kupitia: @Facebook | @Instagram | @YouTube.