Connect with us

afyatips

MADHARA YA KUFANYA MAPENZI KINYUME NA MAUMBILE

Doctor Ombeni

Published

on

Imeboreshwa July 10, 2026 by Doctor Ombeni

 AFYA TIPS

• • • • •

MADHARA YA KUFANYA MAPENZI KINYUME NA MAUMBILE


Madhara ya kufanya mapenzi kinyume na maumbile ni pamoja na;


– Kujiweka kwenye hatari ya kupata magonjwa mbali mbali ikiwa ni pamoja na virusi vya ukimwi kutokana na kupata michubuko sehemu ya haja kubwa


– Kulegea kwa misuli ya haja kubwa hivo kusababisha mtu kuwa na tatizo la kinyesi kutoka chenyewe bila kujizuia


– Kuwa katika hatari zaidi ya kupata tatizo la Bawasiri( nyama kutokeza sehemu ya haja kubwa)


– Kupatwa na maambukizi mbali mbali ya magonjwa kama vile; maambukizi kwenye mfumo wa mkojo yaani UTI


– Kuwa katika hatari ya kupata magonjwa mbali mbali ya Zinaa


– Kuwa katika hatari ya kupata tatizo la kansa kwenye njia ya haja kubwa kutokana na mashambulizi ya virusi vya Human papilloma virus(HPV)


– Kuwa katika hatari ya kupatwa na tatizo la homa ya Ini


– Kukosa raha wakati ukifanya mapenzi kawaida


– Kuathiriwa au kuwa addicted na kitendo hiki


– Kuwa katika hatari ya Kupata tatizo la Fangasi


– N.k




KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.


🏆Certified| Doctor from Afyaclass.Hapa utapata Ushauri & Tiba juu ya magonjwa mbali mbali. Kwa msaada Zaidi Tuwasiliane kupitia namba: +255758286584.Pata dondoo za afya kila siku kwa kufuatilia kupitia: @Facebook | @Instagram | @YouTube.