Connect with us

Magonjwa

MAZOEZI YA KEGEL NA FAIDA ZAKE(na jinsi ya kufanya KEGEL)

Avatar photo

Published

on

 KEGEL

• • • • •

MAZOEZI YA KEGEL NA FAIDA ZAKE

Mazoezi ya Kegel ni mazoezi ambayo huweza kufanywa kama Tiba kwa mtu, na mazoezi haya huhusisha eneo la kiuno pamoja na sehemu ya chini ya mwili,

– Mazoezi haya husaidia sana kuimarisha na kusababisha mifupa ya nyonga, Misuli ya Nyonga na maeneo ya chini ya mwili kama miguuni kuwa Imara zaidi, 

– Mazoezi haya ni muhimu sana kwenye Afya ya uzazi kwa wanawake na wanaume

– Mazoezi haya huimarisha utendaji kazi wa kibofu cha mkojo,misuli yake, ikiwa ni pamoja na uwezo wa kudhibiti utokaji na uhifadhi wa Mkojo kwenye kibofu.

Mazoezi haya huweza kufanywa kwa Wanaume na wanawake pia.

– Mazoezi haya ya Kegel huweza kuimarisha uwezo wa mwanaume katika kushiriki tendo la ndoa

– Mazoezi haya husaidia sana kwa watu wenye tatizo la kushindwa kubana mkojo

– Mazoezi ya kegel pia husaidia sana kwa wamama ambao wanapata tatizo la kuwa na kiuno kigumu,maumivu n.k hasa baada ya kubeba ujauzito kwa muda mrefu

JINSI YA KUFANYA MAZOEZI YA KEGEL

Zipo aina mbali mbali za jinsi ya kufanya Mazoezi ya KEGEL kama hapa chini;

1. Tazama Picha hapa Chini;

 

Unaweza kufanya mazoezi ya Kegel kwa kukaa chini halafu unakunja miguu kama hapo kwenye picha

 

 

2. Tazama Picha ya pili hapo chini; Huu ni mfano mwingine wa jinsi ya kufanya mazoezi ya KEGEL, Unalala chini ukiwa umelalia sehemu ya tumbo halafu unakunja miguu na mikono kama hivyo

 

 

 
3. Tazama picha ya tatu, Mazoezi mengine ya KEGEL ni kama hapo chini kwenye picha, unashuka chini halafu goti moja limegusa chini ya Ardhi,mguu mmoja umeinua juu na Mikono yako miwili ipo chini kama unavyoona hapa;
 

 

 

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

Ushauri|Tiba|CheckIn 🩺🌡️ContactUs; +255758286584 or INBOX📩. For More Healthtips everyday Link In https://afyaclass.com Also Follow us on Instagram @afyaclass

Advertisement

YOU MUST READ(IMPORTANT)

Magonjwa7 days ago

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani. Watu wengi huweza kupata maumivu chini ya kitovu, lakini umewahi kujiuliza...

Magonjwa2 weeks ago

Kaswende ni ugonjwa gani, soma hapa kufahamu

Kaswende ni ugonjwa gani, Kaswende ni maambukizi yanayosababishwa na bakteria. Mara nyingi, huenea kupitia mawasiliano ya kingono au kwa kujamiiana....

Magonjwa4 weeks ago

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani Koo kukauka kunaweza kusababishwa na sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na: Upungufu wa...

Magonjwa1 month ago

Amiba ni ugonjwa gani,Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Amebiasis

Amiba ni ugonjwa gani Wengi wamezoea kusema hivo ila Amiba(amoeba) ni vimelea vyinavyosababisha ugonjwa, na Ugonjwa huo kitaalam ndyo hujulikana...

Magonjwa2 months ago

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba kuwashwa nyayo za miguu; zipo sababu nyingi ambazo huchangia shida...

Magonjwa3 months ago

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease)

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease) Pid ni ugonjwa gani? PID ni Maambukizi ya bacteria Kwenye Via vya Uzazi...

Magonjwa2 years ago

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE)

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE) Mabadiliko ya Watoto wengi huanza kwenye miezi mitatu ya Mwanzo wakati ambapo Shingo ya mtoto...

Magonjwa3 years ago

MAUMIVU MAKALI SEHEMU YA HAJA KUBWA

Baadhi ya watu wanachanganya tatizo la maumivu makali sehemu ya haja kubwa pamoja na tatizo la Bawasiri,japo mojawapo ya chanzo...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus)

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus) tatizo la masikio kupiga kelele Tinnitus, ni Tatizo la masikio kupiga kelele,...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO)

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?)

Tatizo la Uke Kujamba TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?) Moja ya vitu...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

 FANGASI • • • • • DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE Mashambulizi ya Fangasi sehemu za siri...

Magonjwa3 years ago

CHANZO CHA TATIZO LA KUOTA NYAMA PUANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 years ago

SABABU ZA KUVIMBA KWA MASHAVU YA UKE(TEZI LA BARTHOLIN)

KUVIMBA MASHAVU YA UKE • • • • • • Katika Makala hii tumechambua zaidi kuhusu sababu za kuvimba mashavu...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia)

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia) Tatizo hili linatokea kwa Baadhi ya wanaume,na hata kupelekea Wanaume hao kuwa na Matiti kama...

MAGONJWA MBALI MBALI

Magonjwa21 hours ago

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake. Wengi tumesikia kuhusu Red Eyes(Macho mekundu) Lakini je umewahi kusikia kuhusu Pink Eyes,?...

Magonjwa3 days ago

Omeprazole inatibu ugonjwa gani,Fahamu hapa

Omeprazole inatibu ugonjwa gani Omeprazole inatibu ni nini?, Hili ni swali ambalo limekuwa likiulizwa mara kwa mara na wafwatiliaji wengi...

Magonjwa5 days ago

Mate kujaa mdomoni ni dalili ya ugonjwa gani

Mate kujaa mdomoni ni dalili ya ugonjwa gani Mate kujaa Mdomoni,ni tatizo ambalo hutokea kwa baadhi ya watu, na zipo...

Magonjwa7 days ago

Glaucoma: Ugonjwa hatari unaopoteza nuru ya macho

Glaucoma: Ugonjwa hatari unaopoteza nuru ya macho Kuna magonjwa mengi yanayohusiana na macho, mengi yanatibika lakini kuna baadhi ya magonjwa...

Magonjwa2 weeks ago

Kunguni husababisha ugonjwa gani

Kunguni husababisha ugonjwa gani Kunguni ni wadudu wadogo ambao chakula chao kikubwa ni damu, wadudu hawa huweza kunyonya damu kutoka...

Magonjwa3 weeks ago

Madhara ya vumbi la kongo 

Madhara ya vumbi la kongo  Soma hapa kufahamu madhara ya kutumia Vumbi la Kongo kwa afya yako, VUMBI LA KONGO...

Magonjwa3 weeks ago

je ugonjwa wa pumu unaambukiza

je ugonjwa wa pumu unaambukiza? Hili ni Swali ambalo watu wengi huuliza,hata kwenye page za afyaclass, kwa kuliona hilo, tumeona...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa wa varicocele,chanzo,dalili na Tiba

Ugonjwa wa varicocele,chanzo,dalili na Tiba Varicocele ni nini? Ugonjwa wa varicocele ni tatizo linalohusisha kuvimba au kuongezeka ukubwa kwa mishipa...

Magonjwa3 weeks ago

Fibroids ni ugonjwa gani, Fibroids ni nini

Fibroids ni ugonjwa gani Fibroids, ambapo pia huitwa myoma, ni uvimbe usio wa saratani (benign) unaokua katika au kwenye kuta...

Magonjwa3 weeks ago

Dalili za mwanzo za ugonjwa wa ini

Dalili za mwanzo za ugonjwa wa ini Ugonjwa wa ini (hepatic disease) mara nyingi huanza taratibu na dalili zisizo wazi,...

HELP: Maswali yote kuhusu afya na Discussions Zote Ingia hapa kwenye AFYAFORUMS

X