Ticker

6/recent/ticker-posts

MJAMZITO KUFANYA VIPIMO kama Ultrasound(Vipimo Muhimu)



 ULTRASOUND

• • • • •

MJAMZITO KUFANYA VIPIMO kama Ultrasound(Vipimo Muhimu)


Mama mjamzito hutakiwa kufanya vipimo mbali mbali kwa ajali ya maendeleo salama ya ujauzito wake pamoja na Kujifungua vizuri.


Hivi hapa ni baadhi ya vipimo ambavyo ni muhimu sana kwa mama mjamzito


✓ Kupima kundi la Damu yaani Blood group, na kupata msaada kama mama ana Blood group rhesus factor NEGATIVE Halafu Baba ni Positive


✓ Kupima malaria kwa kutumia kipimo cha MRDT


✓ Kupima ugonjwa wa Kaswende yaani VDRL test


✓ Mama mjamzito kufanya kipimo cha Ultrasound


✓ Mama mjazito kupima Uzito wa mwili kwa ajili ya afya yake na pia kwa ajili ya kufwatilia ukuaji wa mtoto tumboni


✓ Mama mjamzito kupima presha au shinikizo la Damu


✓ Mama mjamzito kupima urefu siku anaanza Kliniki

N.k


KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.






Post a Comment

0 Comments