Ticker

6/recent/ticker-posts

CHANZO CHA TATIZO LA MTOTO KUCHELEWA KUONGEA HADI KUFIKIA MIAKA 3 NA KUENDELEA



  MTOTO

• • • • •

CHANZO CHA TATIZO LA MTOTO KUCHELEWA KUONGEA HADI KUFIKIA MIAKA 3 NA KUENDELEA


Kuna baadhi ya watoto hupatwa na tatizo hili la kuchelewa kuongea kupita kawaida hadi kufikia umri wa Miaka 3 na zaidi bado mtoto hajaanza kuongea.


Je tatizo hili husababishwa na kitu gani? au chanzo ni nini?


CHANZO CHA TATIZO LA MTOTO KUCHELEWA KUONGEA HADI KUFIKIA MIAKA 3 NA KUENDELEA


Zipo sababu mbali mbali ambazo huchangia tatizo hili kama vile;


1. Mtoto kupatwa na matatizo mdomoni au kwenye Ulimi kama vile; Tatizo la Tongue-Tie ambapo ulimi wa mtoto umeunganika na kujishikiza kwa chini ya mdomo n.k


2. Kuwa na tatizo la Ubongo kushindwa kujifunza lugha kwa haraka


3. Kuwa na matatizo ya kutokusikia, Asilimia kubwa ya watoto wenye matatizo ya kutokusikia vizuri, hata kuongea pia huchelewa zaidi


4. Kuwa na matatizo kama vile; Autism Spectrum disorder


5. Kuwa na matatizo kwenye mfumo wa fahamu kama vile; Cerebral palsy n.k


6. Kuumia ubongo kwa sababu mbali mbali kama vile kuanguka n.k hali ambayo kitaalam hujulikana kama Traumatic brain Injury


N.K


Hizo ni baadhi ya sababu ambazo huweza kuchangia tatizo la mtoto kuchelewa sana kuongea


KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.





Post a Comment

0 Comments