Ticker

6/recent/ticker-posts

CHANZO CHA TATIZO LA MAUMIVU YA TUMBO



MAUMIVU YA TUMBO

• • • • •

CHANZO CHA TATIZO LA MAUMIVU YA TUMBO


Hizi hapa ni Baadhi ya Sababu ambazo zinaweza kuchangia maumivu ya Tumbo;


- Ugonjwa wa haja kubwa maarufu kama Irritable bowel syndrome (IBS)


 - Ugonjwa wa kuvimba utumbo mpana maarufu kama Crohn au colitis


- Maumivu ya Tumbo wakati wa hedhi


- Kula Viambata vya Sumu kutoka kwenye chakula flani


 - Tatizo la Allergy au Mzio juu ya aina flani ya chakula


 - Tatizo la tumbo kujaa Gesi


 - Maambukizi ya njia ya mkojo au UTI


- Shida ya misuli ya tumbo kuvuta


•Soma: dalili za Minyoo ya Ascariasis pamoja na Tiba yake


 - Unaweza pia kupata maumivu ya tumbo ikiwa una tatizo la kukosa uvumilivu wa lactose mwilini


- au una tatizo la vidonda vya tumbo 


- Ugonjwa wa maambukizi ya Bacteria kwenye via vya uzazi yaani PID


 Sababu zingine ni pamoja na:


 ✓ Kuwa na tatizo la Hernia


 ✓ Kuwa na tatizo la Mawe kwenye figo yaani Kidney stones


✓ Tatizo la uvimbe kwenye kuta za ndani ya mji wa mimba yaani Endometriosis


✓ Kuwa na gastroesophageal  reflux disease  (GERD)


 ✓ Kuwa na tatizo la kuvimba kidole tumbo au appendix


✓ Kuwa na tatizo la Diverticulitis


 ✓ Kuwa na tatizo la Uvimbe kwenye mshipa mkubwa wa ateri  tumboni yaani Aneurysm


 ✓ Tatizo la kuziba utumbo


✓ Saratani ya tumbo, kongosho, ini, mfereji wa nyongo, kifuko cha nyongo, au seli za kinga ya mwili


 ✓ Saratani ya ovary au tatizo la uvimbe kwenye vifuko vya mayai yaani ovarian cysts


✓ Pancreatitis (kuvimba kwa kongosho)


✓ Cholecystitis (kuvimba kwa kifuko cha nyongo)


 ✓ Mtiririko mdogo wa damu kwenye utumbo wako unaosababishwa na mishipa ya damu kuziba


 ✓ Tatizo la mimba kutunga Nje ya kizazi yaani Ectopic pregnancy


N.K


•Soma: dalili za Minyoo ya Ascariasis pamoja na Tiba yake


•Soma: Matibabu ya Ugonjwa wa Rheumatoid Arthritis



KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.






Post a Comment

0 Comments