Connect with us

CHANJO

MAELEKEZO: Jinsi ya Kufanya Booking Mtandaoni kupata chanjo ya Uviko 19(COVID-19)

Doctor Ombeni

Published

on

Imeboreshwa July 28, 2026 by Doctor Ombeni

 UVIKO-19

• • • • • •

MAELEKEZO: Jinsi ya Kufanya Booking Mtandaoni kupata chanjo ya Uviko 19(COVID-19)


Baada ya Wizara ya Afya nchini Tanzania kuweka wazi utaratibu wa Jinsi ya Kufanya Booking Mtandaoni kupata chanjo ya Uviko 19 au COVID-19, Haya hapa ni maelekezo machache ya jinsi ya kufanya pamoja na vitu vya kuzingatia.


VITU VYA KUZINGATIA;


– Kabla ya Kuanza Kufanya Booking ya Uviko 19 Mtandaoni,unatakiwa kuwa na vitu hivi hapa;


• Andaa kitambulisho chochote kati ya Hivi hapa


✓ Kitambulisho cha Taifa yaani NIDA


✓ Kitambulisho cha Mpiga kura yaani VOTERS ID


✓ Leseni yako ya Udereva yaani Drivers License 


✓ Passport ya Kusafiria


• Baada ya hapo ingia kwenye TOVUTI ili kuanza kufanya booking kupitia Link hii hapa chini


Bofya hapa: LINK


Kisha fuata Maelekezo yote kwenye Tovuti husika hapo juu kutokana na maelekezo ambayo utapewa.


KWA MAELEKEZO ZAIDI YA WIZARA YA AFYA:


• Simu no: +255242231614


• Tovuti(Website): www.mohz.go.tz


• Barua pepe: Info@mohz.go.tz


🏆Certified| Doctor from Afyaclass.Hapa utapata Ushauri & Tiba juu ya magonjwa mbali mbali. Kwa msaada Zaidi Tuwasiliane kupitia namba: +255758286584.Pata dondoo za afya kila siku kwa kufuatilia kupitia: @Facebook | @Instagram | @YouTube.

Click to comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *