Connect with us

Others

Loveness Tarimo aeleza changamoto anazokutana nazo kutokana na mwonekano wake wa Kiume

Doctor Ombeni

Published

on

Imeboreshwa July 28, 2026 by Doctor Ombeni

Loveness Tarimo ni mwanamke mtunisha misuli anayeshikilia nafasi ya Miss Fitness Tanzania na Miss Fitness East Afrika.

Global TV imefanya naye Exclusive Interview ambapo amefunguka changamoto mbalimbali anazokutana nazo kutokana na mwonekano wake na kusisitiza kwamba yeye ni mwanamke na ana jinsia ya kike.

Amesema miongoni mwa changamoto hizo, ni kwenye matumizi ya vyoo vya umma ambapo huwa ni lazima aongozane na mtu mwingine anapoingia kwenye vyoo vya wanawake kwa sababu watu hudhani kama ni mwanaume anayeingiakwenye vyoo vya wanawake.

Source: Globalpublishers

🏆Certified| Doctor from Afyaclass.Hapa utapata Ushauri & Tiba juu ya magonjwa mbali mbali. Kwa msaada Zaidi Tuwasiliane kupitia namba: +255758286584.Pata dondoo za afya kila siku kwa kufuatilia kupitia: @Facebook | @Instagram | @YouTube.

Click to comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *