Connect with us

Magonjwa

Dalili za ugonjwa wa Figo

Avatar photo

Published

on

Dalili za ugonjwa wa Figo,Madhara na jinsi ya kudhibiti Ugonjwa wa Figo

Moja ya viungo muhimu sana katika mwili wa binadamu ni pamoja na Figo, Figo ndyo huhakikisha sumu zote zinaweza kutolea nje ya mwili kwa njia ya Mkojo.

Kwa kawaida binadamu ana Figo mbili upande wa kushoto na kulia, japo kuna watu wachache huzaliwa na Figo moja,

Katika Makala hii tutajadili zaidi kuhusu Dalili za ugonjwa wa Figo,Madhara na jinsi ya kudhibiti Ugonjwa wa Figo.

Zifahamu dalili za ugonjwa wa Figo

  • Kuvimba uso na macho
  • Kuvimba miguu
  • Kukojoa sana hasa wakati wa usiku
  • Uchovu wa mwili
  •  Maumivu ya kifua na kupumua kwa shida
  • Kuwashwa kwa mwili
  • Mwili kupata michubuko kwa urahisi

Ukiona mojawapo ya dalili hizi, wahi kituo cha huduma za afya kwa ajili ya MSAADA ZAIDI(elimu ya afya,WizaraafyaTz)

DALILI ZA UGONJWA WA FIGO

Zipo Dalili za ugonjwa wa Figo,na dalili hizo za ugonjwa wa Figo ni kama vile;

– Kuvimba mwili mzima kuanzia uso, tumbo na miguu

– Kukosa au kupungua kiasi cha mkojo kwa siku

– Uchovu wa mwili

– Maumivu ya kifua na kupumua kwa shida

– Kuwashwa kwa mwili

– Mwili kupata michubuko kwa urahisi n.k

“Ukiona dalili hizi wahi kituo cha huduma za afya” endelea Zaidi kusoma hapa kuhusu dalili za ugonjwa wa Figo.

DALILI ZA UGONJWA WA FIGO

je wajua kudhibiti Presha yako husaidia pia kuboresha afya ya Figo?

Ukidhibiti Presha yako inasaidia pia kuleta afya ya Figo, Na Je wajua dalili za Ugonjwa wa Figo?

Hizi hapa ni baadhi ya dalili ambazo huweza kuashiria kwamba Figo ina Tatizo;

1. Mgonjwa wa Figo huvimba maeneo mbali mbali ya mwili kama vile; Kuvimba miguu,mikono,uso au macho.

2. Mgonjwa kuhisi kizunguzungu na hali ya kutapika kila mara

3. Mgonjwa kukosa usingizi pamoja na mwili kuchoka kupita kawaida

4. Mgonjwa kukamaa misuli ya mwili ambapo kwa kitaalam hujulikana kama Muscle cramps

5. Mgonjwa kupoteza kabsa hamu ya kula na kuskia kichefuchefu pamoja na kutapika pia

6. Mgonjwa kuhisi Mkojo kila mara hasa nyakati za Usku

7. Mgonjwa kukojoa mkojo ambao umechanganyika na Damu,hii huweza kuwa ishara pia kwamba kwenye figo kuna shida

8. Mgonjwa kupata maumivu kwenye viungo vya mwili,misuli pamoja na joint

9. Tafiti zinaonyesha pia mgonjwa wa figo huweza kupata shida ya kukosa hedhi kama ni mwanamke

10. Ugonjwa wa figo hupoteza hamu ya kufanya tendo la ndoa kwa mwanaume

11. Ugonjwa wa Figo huweza kusababisha mtu kuwa na matatizo ya presha pia, hasa presha ya kupanda

12. Ugonjwa wa figo huweza kusababisha uwepo wa kiwango kikubwa sana cha Potassium kwenye damu, na pia huweza kusababisha matatizo ya moyo kama vile; Moyo kuvimba N.K

MADHARA YA UGONJWA WA FIGO NI PAMOJA NA;

Haya hapa ni baadhi ya madhara ya ugonjwa wa Figo;

– Kusababisha Kifo

– Kukosa hamu ya tendo la ndoa kwa mwanaume

– Kupatwa na magonjwa ya moyo

– Kupatwa na matatizo ya shinikizo la Damu au Presha

– Mwili kuvimba ikiwemo uso,macho,mikono na miguu pia n.k

Njia za kudhibiti na kutibu ugonjwa wa Figo

Zingatia mambo haya ili Kujikinga na ugonjwa wa Figo;

  1. Hakikisha unafanya Mazoezi,fanya mazoezi angalau kwa muda wa Nusu Saa kila Siku
  2. Epuka matumizi ya Pombe Kupit kiasi
  3. Epuka uvutaji wa Sigara au tumbaku
  4. Dhibiti Uzito wako wa Mwili na epuka Uzito mkubwa
  5. Epuka ulaji wa vyakula vya mafuta mengi,Sukari nyingi au chumvi nyingi
  6. epuka vinjwaji vyenye kiwango kikubwa cha Caffeine kama kahawa n.k
  7. Dhibiti Presha yako ya damu
  8. Dhibiti Sukari yako
  9. Omba Msaada kutoka kwa wataalam wa afya,Ukiona dalili zozote za ugonjwa wa Figo

FAQs:Maswali yanayoulizwa mara kwa mara

Je, ugonjwa wa Figo una Dalili Zipi?

Dalili za Ugonjwa wa Figo ni pamoja na;Kuvimba mwili mzima kuanzia uso,tumbo na miguu,Kukosa au kupungua kiasi cha mkojo kwa siku,Uchovu wa mwili, Maumivu ya kifua na kupumua kwa shida,Kuwashwa kwa mwili,Mwili kupata michubuko kwa urahisi n.k

Hitimisho

Ugonjwa wa Figo ni miongoni mwa magonjwa ambayo huwapata watu wengi na Kusababisha Vifo Duniani kote,

Ni muhimu sana kufahamu dalili za Ugonjwa wa Figo,Ili kupata Msaada mapema pale unapohisi haupo Sawa,

Zipo Dalili za ugonjwa wa Figo,na dalili hizo za ugonjwa wa Figo ni kama vile;

– Kuvimba mwili mzima kuanzia uso, tumbo na miguu

– Kukosa au kupungua kiasi cha mkojo kwa siku

– Uchovu wa mwili

– Maumivu ya kifua na kupumua kwa shida

– Kuwashwa kwa mwili

– Mwili kupata michubuko kwa urahisi n.k

“Ukiona dalili hizi wahi kituo cha huduma za afya” endelea Zaidi kusoma hapa kuhusu dalili za ugonjwa wa Figo.

KUMBUKA:Zingatia mambo haya ili Kujikinga na ugonjwa wa Figo;

  1. Hakikisha unafanya Mazoezi,fanya mazoezi angalau kwa muda wa Nusu Saa kila Siku
  2. Epuka matumizi ya Pombe Kupit kiasi
  3. Epuka uvutaji wa Sigara au tumbaku
  4. Dhibiti Uzito wako wa Mwili na epuka Uzito mkubwa
  5. Epuka ulaji wa vyakula vya mafuta mengi,Sukari nyingi au chumvi nyingi
  6. epuka vinjwaji vyenye kiwango kikubwa cha Caffeine kama kahawa n.k
  7. Dhibiti Presha yako ya damu
  8. Dhibiti Sukari yako
  9. Omba Msaada kutoka kwa wataalam wa afya,Ukiona dalili zozote za ugonjwa wa Figo

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA JUU YA TATIZO LOLOTE TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

Ushauri|Tiba|CheckIn 🩺🌡️ContactUs; +255758286584 or INBOX📩. For More Healthtips everyday Link In https://afyaclass.com Also Follow us on Instagram @afyaclass

YOU MUST READ(IMPORTANT)

Magonjwa4 weeks ago

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani. Watu wengi huweza kupata maumivu chini ya kitovu, lakini umewahi kujiuliza...

Magonjwa1 month ago

Kaswende ni ugonjwa gani, soma hapa kufahamu

Kaswende ni ugonjwa gani, Kaswende ni maambukizi yanayosababishwa na bakteria. Mara nyingi, huenea kupitia mawasiliano ya kingono au kwa kujamiiana....

Magonjwa2 months ago

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani Koo kukauka kunaweza kusababishwa na sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na: Upungufu wa...

Magonjwa2 months ago

Amiba ni ugonjwa gani,Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Amebiasis

Amiba ni ugonjwa gani Wengi wamezoea kusema hivo ila Amiba(amoeba) ni vimelea vyinavyosababisha ugonjwa, na Ugonjwa huo kitaalam ndyo hujulikana...

Magonjwa3 months ago

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba kuwashwa nyayo za miguu; zipo sababu nyingi ambazo huchangia shida...

magonjwa ya wanawake4 months ago

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease)

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease) Pid ni ugonjwa gani? PID ni Maambukizi ya bacteria Kwenye Via vya Uzazi...

Magonjwa2 years ago

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE)

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE) Mabadiliko ya Watoto wengi huanza kwenye miezi mitatu ya Mwanzo wakati ambapo Shingo ya mtoto...

Magonjwa3 years ago

MAUMIVU MAKALI SEHEMU YA HAJA KUBWA

Baadhi ya watu wanachanganya tatizo la maumivu makali sehemu ya haja kubwa pamoja na tatizo la Bawasiri,japo mojawapo ya chanzo...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus)

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus) tatizo la masikio kupiga kelele Tinnitus, ni Tatizo la masikio kupiga kelele,...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO)

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?)

Tatizo la Uke Kujamba TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?) Moja ya vitu...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

 FANGASI • • • • • DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE Mashambulizi ya Fangasi sehemu za siri...

Magonjwa3 years ago

CHANZO CHA TATIZO LA KUOTA NYAMA PUANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 years ago

SABABU ZA KUVIMBA KWA MASHAVU YA UKE(TEZI LA BARTHOLIN)

KUVIMBA MASHAVU YA UKE • • • • • • Katika Makala hii tumechambua zaidi kuhusu sababu za kuvimba mashavu...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia)

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia) Tatizo hili linatokea kwa Baadhi ya wanaume,na hata kupelekea Wanaume hao kuwa na Matiti kama...

MAGONJWA MBALI MBALI

Magonjwa1 day ago

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa2 days ago

Ugonjwa unaosababishwa na kula nyama mbichi

Ugonjwa unaosababishwa na kula nyama mbichi Madhara ya kula nyama ya ng’ombe mbichi Ni desturi ya baadhi ya watu kula...

Magonjwa1 week ago

Mkojo kuuma ni dalili ya ugonjwa gani

Mkojo kuuma ni dalili ya ugonjwa gani Mkojo kuuma au kupata maumivu wakati wa kukojoa ni hali ambayo kwa kitaalam...

Magonjwa1 week ago

Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono dalili Zake

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa2 weeks ago

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu Haya ni maneno ambayo umekuwa ukiyasikia sana linapokuja swala la vipimo cha UKIMWI, je...

Magonjwa3 weeks ago

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia. Kutana na Ilene Raymond Rush ambaye aligunduliwa Kisukari aina ya Pili(Type 2...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa unaosababishwa na konokono

Ugonjwa unaosababishwa na konokono Ugonjwa unaosababishwa na konokono unaitwa schistosomiasis, au bilharzia. Ni ugonjwa wa maambukizi unaosababishwa na minyoo wanaoitwa...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake. Wengi tumesikia kuhusu Red Eyes(Macho mekundu) Lakini je umewahi kusikia kuhusu Pink Eyes,?...

Magonjwa3 weeks ago

Omeprazole inatibu ugonjwa gani,Fahamu hapa

Omeprazole inatibu ugonjwa gani Omeprazole inatibu ni nini?, Hili ni swali ambalo limekuwa likiulizwa mara kwa mara na wafwatiliaji wengi...

Magonjwa4 weeks ago

Mate kujaa mdomoni ni dalili ya ugonjwa gani

Mate kujaa mdomoni ni dalili ya ugonjwa gani Mate kujaa Mdomoni,ni tatizo ambalo hutokea kwa baadhi ya watu, na zipo...