Connect with us

Others

Mama Atokwa Na Machozi Akiomba Kusadiwa Milioni Moja Mtoto Wake Afanyiwe Upasuaji

Doctor Ombeni

Published

on

Imeboreshwa July 10, 2026 by Doctor Ombeni

Mama Atokwa Na Machozi Akiomba Kusadiwa Milioni Moja Mtoto Wake Afanyiwe Upasuaji

Aisha haji (34) Mkazi wa Mpiji Magohe Jijini Dar es salaam ambaye anapitia katika kipindi kigumu baada ya mtoto wake Shufaa Saidi (11) kusumbuliwa na tatizo la Moyo pamoja na Figo kuharibika hali inayopelekea Kupoteza fahamu mara kwa mara pamoja na kuishi kwa kutumia dawa kila siku.

Akisimulia kwa Uchungu Mamam wa mtoto huyo anasema mpaka sasa ameshauza kila kitu ili kumtibia mtoto wake na bado hajafanikiwa kwa kiasi kilichobaki ili mtoto wake afanyiwe upasuaji ni Milioni moja (1000000).

Akiongea kwa machozi mtoto huyo anasema baba yake amekuwa akimtamkia maneno makali yanayomkosesha tumaini kutokana na matatizo anayoyapitia.

🏆Certified| Doctor from Afyaclass.Hapa utapata Ushauri & Tiba juu ya magonjwa mbali mbali. Kwa msaada Zaidi Tuwasiliane kupitia namba: +255758286584.Pata dondoo za afya kila siku kwa kufuatilia kupitia: @Facebook | @Instagram | @YouTube.

Click to comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *