Connect with us

Others

TANZIA: Mwimbaji maarufu Nchini Afrika Kusini Zahara afariki Dunia

Doctor Ombeni

Published

on

Imeboreshwa July 10, 2026 by Doctor Ombeni

TANZIA: Mwimbaji maarufu Nchini Afrika Kusini Zahara afariki Dunia.
• • • • • •
Waziri wa Sanaa na Utamaduni wa Afrika Kusini Zizi Kodwa amethibitisha kutokea kwa kifo cha Mwimbaji maarufu wa Nchi hiyo aitwaye Bulelwa Mkutukana maarufu kama Zahara (35) ambaye alitamba na nyimbo mbalimbali ikiwemo ‘loliwe’

Zahara amefia Hospitalini Jijini Johannesburg alikokuwa akipatiwa matibabu kutokana na matatizo ya ini yaliyoanza kumsumbua wiki mbili zilizopita.

Kabla ya kifo chake leo, Mwimbaji huyo amekua akizushiwa kifo mtandaoni hivi karibuni hadi kulazimu familia yake kukanusha mara kwa mara na kutaka Watu wamuombee mema.

🏆Certified| Doctor from Afyaclass.Hapa utapata Ushauri & Tiba juu ya magonjwa mbali mbali. Kwa msaada Zaidi Tuwasiliane kupitia namba: +255758286584.Pata dondoo za afya kila siku kwa kufuatilia kupitia: @Facebook | @Instagram | @YouTube.

Click to comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *