Connect with us

CHANJO

Wizara ya afya Kenya,yatoa wito watu kujitokeza kupata chanjo ya HPV

Doctor Ombeni

Published

on

Imeboreshwa July 28, 2026 by Doctor Ombeni

Wizara ya afya Kenya,yatoa wito watu kujitokeza kupata chanjo ya HPV.

Wizara ya afya nchini kEnya yasisitiza kwamba;

Saratani ya shingo ya kizazi ni aina mojawapo ya saratani inayoweza kuzuilika na inayoweza kutibika. Inaweza kuzuiwa kupitia chanjo ya HPV, inayopatikana bila malipo nchini Kenya kwa wasichana wenye umri wa miaka 9 hadi 14.

Tembelea kituo cha afya kilicho karibu nawe leo.

Huu ni Ujumbe wa Wizara;

“Cervical cancer is one of the most preventable and treatable forms of cancer. It can be prevented through the HPV vaccine, available free of charge in Kenya for 9 to 14 year-old girls.
Visit the nearest health facility today”.

#hpvVaccine #PrimaryPrevention

https://twitter.com/MOH_Kenya/status/1744232700267884994?t=VSJYibMFJVxOspwrmMPcWQ&s=19

🏆Certified| Doctor from Afyaclass.Hapa utapata Ushauri & Tiba juu ya magonjwa mbali mbali. Kwa msaada Zaidi Tuwasiliane kupitia namba: +255758286584.Pata dondoo za afya kila siku kwa kufuatilia kupitia: @Facebook | @Instagram | @YouTube.

Click to comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *