Connect with us

Uzazi/Ujauzito

Faida na hasara za kukanda mwili

Avatar photo

Published

on

Faida na hasara za kukanda mwili

Watu wengi wana Desturi ya kukanda mwili kwa maji ya moto hasa kwa wakina mama baada ya kujifungua,

Je, kukanda mwili maji kiafya ipoje?

Madhara ya kukanda wazazi kwa maji ya moto,bila shaka wanawake wengi au watu wengi kwenye jamii hawajui kama kuna madhara ya kumkanda mama ambaye ndyo katoka kujifungua,kwani ni kitendo ambacho kimezoeleka kwenye jamii nyingi, na wengi wao huamini kama Tiba kwa mama ambaye ametoka kujifungua.

MADHARA YA KUKANDA WAZAZI KWA MAJI YA MOTO NI PAMOJA NA;

– Kumuweka mama baada ya kujifungua kwenye hatari ya kupata maambukizi mbali mbali ya magonjwa

– Kumsababishia mama ambaye kajifungua maumivu makali ya mwili ikiwemo ukeni

– kuzuia mama baada ya kujifungua kupona kwa haraka zaidi

– Kufanya uharibifu wa kwenye maumbile yake au sehemu za siri

– Kusababisha tatizo la kulegea kwa misuli ya ukeni

– Mama baada ya kujifungua kupata majeraha ambayo huweza kutokana na maji ya moto

– Mama kuvuja damu nyingi baada ya kujifungua, kwani maji moto hufungua mishipa ya damu iliyojifunga mara baada ya mtoto kutoka na pale damu huanza kuvuja upya

– Mama baada ya kujifungua kupata shida ya kufumuka nyuzi alizoshonwa kama aliongezewa njia wakati wa kujifungua

– Uke wa mama baada ya kujifungua kutengeza uwazi,hali ambayo huweza kusababisha matatizo mengine kama vile uke kujaa hewa na kujamba

– Mama baada ya kujifungua kupata shida ya kuwa na malenge lenge ukeni pamoja na kutanuka misuli ya ukeni kwani wengi wao hukalishwa kwenye kigoda wakati wa zoezi hili

– Fahamu mama akijifungua hupoteza maji mengi mwilini hivo maji hupungua sana mwilini na kusababisha mishipa ya damu kusinyaa, endapo mama huyu atakandwa na maji ya moto huzidi kulainisha mishipa ya damu na kufanya itanuke, hali ambayo huweza kusababisha presha ya damu kupungua na kusababisha maradhi ya moyo baada ya kujifungua tatizo ambalo kwa kitaalam hujulikana kama postpartum carsiomypathy

– Mwili wa mama aliyejifungua kuweza kuvimba, baadhi ya wakina mama wanaokandwa na maji moto baada ya kujifungua hupatwa na tatizo lingine la mwili kuvimba n.k

– Kusababisha vifo kwa wakina mama baada ya kujifungua, soma hapa chini

Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto ilitoa ufafanuzi kuhusu swala hili la kuwakanda na maji ya moto wanawake wakishajifungua, mnamo Mwaka 2019 wakati wa uzinduzi wa Kampeni ya Jiongeze Tuwavushe Salama nakusema ni hatari zaidi kwao.

Wizara ilisema kwamba kukandwa na maji ya moto kunaweza kusababisha mama kutokwa na damu nyingi na hata kifo.

“Hatuwezi kushauri wanawake waliojifungua kukandwa maji ya moto, japo suala hilo limezoeleka kwa wengi, lakini hakuna uthibitisho wa kitaalamu wa kumponya mwanamke kwa kutumia maji hayo isipokuwa kumletea madhara,” Maelekezo ya Wizara

Mbali na wanajamii wenyewe pia wakunga wa jadi wengi huendelea kuamini kwamba kumkanda na maji moto mama aliyejifungua ni muhimu sana kwani husaidia kuondoa uchafu uliosalia tumboni baada ya mtoto kutoka,je hii ni kweli?

Hiyo ni dhana tu na hakuna ukweli wowote juu ya hili pia ifahamike kwamba, hakuna uchafu wowote unaotakiwa kutolewa na maji ya moto au kwa kukandwa kwani uchafu wote ikiwemo placenta au kondo la nyuma hutolewa na wataalam wa afya wakati mama anajifungua na hata mabaki yote ikiwemo mabonge ya damu hutolewa yote nje kwani yakibaki huweza kusababisha tatizo la mama kuvuja damu nyingi baada ya kujifungua,hivo ifahamike kwamba mama anasafishwa vizuri hakuna kitu chochote kinabakishwa ndani baada ya kujifungua,

Swala la kukandwa na maji moto,kuminywa au eti kurudisha uke kwenye hali yake ya kawaida kwa mama baada ya kujifungua halina mantiki yoyote na badala yake kwa kufanya hivo unaendelea kuharibu uke au maumbile ya mwanamke na kusababisha madhara mengine.

Hata hivyo, dhana hiyo ilijengeka zaidi na kupata mashiko zamani kwa kile walichodai kwamba kulikuwa hakuna hospital za kutosha au ambazo zipo karibu na maeneo ya watu walio wengi,hivo watu kwenye jamii walikuwa wanaamini hiyo ni miongoni mwa tiba kwa mama ambaye kajifungua na yupo nyumbani.

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA JUU YA TATIZO LOLOTE TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

Ushauri|Tiba|CheckIn 🩺🌡️ContactUs; +255758286584 or INBOX📩. For More Healthtips everyday Link In https://afyaclass.com Also Follow us on Instagram @afyaclass

YOU MUST READ(IMPORTANT)

Magonjwa4 weeks ago

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani. Watu wengi huweza kupata maumivu chini ya kitovu, lakini umewahi kujiuliza...

Magonjwa1 month ago

Kaswende ni ugonjwa gani, soma hapa kufahamu

Kaswende ni ugonjwa gani, Kaswende ni maambukizi yanayosababishwa na bakteria. Mara nyingi, huenea kupitia mawasiliano ya kingono au kwa kujamiiana....

Magonjwa2 months ago

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani Koo kukauka kunaweza kusababishwa na sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na: Upungufu wa...

Magonjwa2 months ago

Amiba ni ugonjwa gani,Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Amebiasis

Amiba ni ugonjwa gani Wengi wamezoea kusema hivo ila Amiba(amoeba) ni vimelea vyinavyosababisha ugonjwa, na Ugonjwa huo kitaalam ndyo hujulikana...

Magonjwa3 months ago

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba kuwashwa nyayo za miguu; zipo sababu nyingi ambazo huchangia shida...

magonjwa ya wanawake4 months ago

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease)

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease) Pid ni ugonjwa gani? PID ni Maambukizi ya bacteria Kwenye Via vya Uzazi...

Magonjwa2 years ago

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE)

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE) Mabadiliko ya Watoto wengi huanza kwenye miezi mitatu ya Mwanzo wakati ambapo Shingo ya mtoto...

Magonjwa3 years ago

MAUMIVU MAKALI SEHEMU YA HAJA KUBWA

Baadhi ya watu wanachanganya tatizo la maumivu makali sehemu ya haja kubwa pamoja na tatizo la Bawasiri,japo mojawapo ya chanzo...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus)

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus) tatizo la masikio kupiga kelele Tinnitus, ni Tatizo la masikio kupiga kelele,...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO)

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?)

Tatizo la Uke Kujamba TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?) Moja ya vitu...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

 FANGASI • • • • • DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE Mashambulizi ya Fangasi sehemu za siri...

Magonjwa3 years ago

CHANZO CHA TATIZO LA KUOTA NYAMA PUANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 years ago

SABABU ZA KUVIMBA KWA MASHAVU YA UKE(TEZI LA BARTHOLIN)

KUVIMBA MASHAVU YA UKE • • • • • • Katika Makala hii tumechambua zaidi kuhusu sababu za kuvimba mashavu...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia)

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia) Tatizo hili linatokea kwa Baadhi ya wanaume,na hata kupelekea Wanaume hao kuwa na Matiti kama...

MAGONJWA MBALI MBALI

Magonjwa1 day ago

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa2 days ago

Ugonjwa unaosababishwa na kula nyama mbichi

Ugonjwa unaosababishwa na kula nyama mbichi Madhara ya kula nyama ya ng’ombe mbichi Ni desturi ya baadhi ya watu kula...

Magonjwa1 week ago

Mkojo kuuma ni dalili ya ugonjwa gani

Mkojo kuuma ni dalili ya ugonjwa gani Mkojo kuuma au kupata maumivu wakati wa kukojoa ni hali ambayo kwa kitaalam...

Magonjwa1 week ago

Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono dalili Zake

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa2 weeks ago

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu Haya ni maneno ambayo umekuwa ukiyasikia sana linapokuja swala la vipimo cha UKIMWI, je...

Magonjwa3 weeks ago

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia. Kutana na Ilene Raymond Rush ambaye aligunduliwa Kisukari aina ya Pili(Type 2...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa unaosababishwa na konokono

Ugonjwa unaosababishwa na konokono Ugonjwa unaosababishwa na konokono unaitwa schistosomiasis, au bilharzia. Ni ugonjwa wa maambukizi unaosababishwa na minyoo wanaoitwa...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake. Wengi tumesikia kuhusu Red Eyes(Macho mekundu) Lakini je umewahi kusikia kuhusu Pink Eyes,?...

Magonjwa3 weeks ago

Omeprazole inatibu ugonjwa gani,Fahamu hapa

Omeprazole inatibu ugonjwa gani Omeprazole inatibu ni nini?, Hili ni swali ambalo limekuwa likiulizwa mara kwa mara na wafwatiliaji wengi...

Magonjwa4 weeks ago

Mate kujaa mdomoni ni dalili ya ugonjwa gani

Mate kujaa mdomoni ni dalili ya ugonjwa gani Mate kujaa Mdomoni,ni tatizo ambalo hutokea kwa baadhi ya watu, na zipo...