Ticker

6/recent/ticker-posts

KUTOKWA NA POVU UKENI WAKATI WA KUFANYA MAPENZI(je ni tatizo?)



  POVU

• • • • •

KUTOKWA NA POVU UKENI WAKATI WA KUFANYA MAPENZI(je ni tatizo?)

 


Swali hili nimeulizwa na watu wengi sana, leo nimeamua kulitolea ufafanuzi katika makala hii,

 

SWALI; JE KUTOKWA NA POVU UKENI WAKATI WA KUFANYA MAPENZI NI TATIZO? NA KAMA NI TATIZO NI TATIZO GANI?

 

MAJIBU; Kabla ya kutoa majibu unachotakiwa kujua ni kwamba, mazingira ya ukeni katika hali ya kawaida hutakiwa kuwa na unyevuunyevu na sio makavu, yanatakiwa kuwa na ute ute au utelezi n.k

 

Na kudhihirisha hilo, katika uke wa mwanamke kuna Tezi maalum ambalo huhusika na kazi ya kuleta hali ya unyevuunyevu ukeni pamoja na hali ya utelezi au ute ute. Tezi hili hujulikana kwa kitaalam kama Bartholin's glands

 

SASA BASI, endapo mwanaume akishiriki tendo la ndoa na mwanamke, kutokana na msuguano wa hapa na pale, ndyo sababu kubwa ya kusababisha Povu kutokea ukeni, ambapo chanzo chake ni ule ute ute,unyevuunyevu pamoja na msuguano,

 

Na wala mwanamke kutokwa na povu wakati wa kufanya mapenzi sio ugonjwa wala tatizo,

 

Unachotakiwa kujua ni kuweza kutofautisha kati ya Povu na Uchafu mwingine ambao huweza kutoka wakati wa kufanya mapenzi,

 

 MFANO; kama kuna uchafu wenye harufu mbaya, mzito na wenye rangi kama maziwa mgando au mtindi wakati wakufanya mapenzi sio dalili nzuri,

 

Ikiwa hivi sio kawaida na ni dalili za magonjwa mbali mbali kama vile; maambukizi ya fangasi ukeni n.k

 

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.




Post a Comment

0 Comments