Ticker

6/recent/ticker-posts

VYAKULA VYA MTU MWENYE VIDONDA VYA TUMBO(Je mgonjwa wa vidonda vya tumbo aleje?)



 VIDONDA VYA TUMBO

• • • • •
VYAKULA VYA MTU MWENYE VIDONDA VYA TUMBO(Je mgonjwa wa vidonda vya tumbo aleje?)
 

Ugonjwa wa vidonda vya tumbo ni ugonjwa ambao husababishwa na bacteria aitwaye Helicobacteria pylori, Huku ukichangiwa na sababu mbali mbali kama vile; Msongo wa mawazo,kukaa na njaa kwa muda mrefu pasipo kula chakula  mara kwa mara N.K
 
 
VYAKULA VYA MTU MWENYE VIDONDA VYA TUMBO NI PAMOJA NA;
 
 
1. Pendelea kula vyakula jamii ya nyuzi nyuzi au fiber,Mfano mboga za majani pamoja na matunda mbali mbali kama vile machungwa, Maembe N.K
 
 
2. Pendelea kunywa juice ya kabegi, tafiti mbali mbali zinaonyesha kwamba juice ya kabegi ina alkaline ya kutosha ambayo itakusaidia kupunguza makali na maumivu yatokanayo na acid inayozalishwa tumboni, lakini pia juice hii ya kabegi ina kiwango kikubwa cha Vitamin C ambayo pia nimuhimu sana mwilini.
 
 
3. Epuka kula vyakula ambavyo vina viungo vingi ndani yake mfano wa sambusa zenye pilipili N.K
 
 
4. Epuka matumizi ya pombe kama una vidonda vya tumbo
 
 
5. Majani ya Alovera ni mazuri pia kwa mgonjwa wa vidonda vya tumbo
 
 
6. Epuka kukaa na Njaa kwa muda mrefu. Pendelea kula mara kwa mara.
 
 
-
 
 
KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.
 





Post a Comment

0 Comments