Ticker

6/recent/ticker-posts

AFYA YA UZAZI KWA WANAUME



 AFYA YA UZAZI KWA WANAUME

Hapa tunazungumzia mfumo mzima wa uzazi ikiwemo,

via vya uzazi vya Mwanaume pamoja na mbegu za kiume.

Uwezo wa kufanya tendo la ndoa vizuri bila shida yoyote,

Pamoja na uzalishaji wa mbegu za kiume zenye ubora na kiwango kinachotakiwa.

ZINGATIA HAYA KWENYE AFYA YA UZAZI KWA MWANAUME

• Hakikisha unakula mlo kamili na kuepuka kula vyakula vyenye virutubisho vya aina moja kwa kiwango kikubwa

kama vile kula wanga mwingi,mafuta mengi n.k

• Epuka matumizi ya Pombe kama unataka kuboresha afya ya uzazi

• Epuka matumizi ya Sigara pamoja na dawa zingine za kulevyia

• Epuka matumizi ya dawa hovio pasipo maelekezo kutokwa kwa wataalam wa afya

• Zingatia matumizi ya maji ya kutosha kila siku,angalau lita 2.5 mpaka 3

• Fanya mazoezi mbalimbali ya mwili

• Epuka kuwa na uzito mkubwa au unene obesity/overweght

• Jilinge au jikinge na magonjwa yote ya zinaa, na pata tiba mara moja kama una ugonjwa wowote ambao unashambulia sehemu zako za siri.

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584





Post a Comment

0 Comments