Ticker

6/recent/ticker-posts

Jinsi ya Kutumia PEP kuzuia Maambukizi ya UKIMWI



Jinsi ya Kutumia PEP kuzuia Maambukizi ya UKIMWI

PEP- Ni post-exposure prophylaxis, na ni dawa za Kuzuia maambukizi ya Virusi vya ukimwi, Dawa hizi unatumia baada ya kuwa kwenye mazingira ya hatari(Post-exposure)

Dawa hizi za kuzuia ukimwi hutumika ndani ya masaa 72 toka uwe kwenye mazingira ya Hatari.

PEP unatumia 1×1 au 1×2 kwa mwezi au siku 28.(-)

Unaweza ukakutana na Maneno kama haya PEP na Prep, Fahamu hapa kuna Utofauti;

PEP AU PREP

Dawa za Kuzuia maambukizi ya Virusi vya Ukimwi Maarufu kama PEP AU PREP,

(1) PEP- Ni post-exposure prophylaxis, na ni dawa za Kuzuia maambukizi ya Virusi vya ukimwi, Dawa hizi unatumia baada ya kuwa kwenye mazingira ya hatari(Post-exposure)

(2) Pre-exposure prophylaxis (PrEP) ni dawa zinazotumiwa ili kuzuia maambukizi ya Virusi vya Ukimwi kabla ya kuwa kwenye mazingira ya hatari yanayoweza kupelekea wewe kupata maambukizi(pre-exposure).

Dawa hizi zinafanya kazi kwa ufanisi mkubwa endapo tu zimetumiwa kama inavyotakiwa.

PrEP huweza kupunguza hatari ya mtu kupata maambukizi ya Ukimwi baada ya kufanya ngono isiosalama na muathirika wa Ukimwi kwa asilimia 99%.

PrEP hupunguza kabsa hatari ya kupata maambukizi ya Virusi vya Ukimwi baada ya kujichoma na sindano,kujikata na wembe ambao umetumiwa na muathirika wa Ukimwi na hatari zingine kama hizi

• PrEP hupungua ufanisi wake kabsa wa kufanya kazi kama umezitumia isivyo sahihi,

Hakikisha Unatumia Dawa hizi za PEP ndani ya Masaa 72 toka uwe kwenye hatari ya Kupata maambukizi ya Virusi vya Ukimwi.

PrEP haziwezi kuzuia wewe kupata Magonjwa ya Zinaa(STDs), Hivo kujikinga na magonjwa kama haya bado Condom ni Njia ya kutumia na ni Salama kwako.

KUMBUKA: Kuna PreP na PEP,

Prep- Ni Pre-exposure prophylaxis, na unatumia kabla ya kuwa kwenye mazingira ya hatari

PEP- Ni post-exposure prophylaxis, na unatumia baada ya kuwa kwenye mazingira ya hatari

PrEP stands for pre-exposure prophylaxis.PEP stands for post-exposure prophylaxis.
As indicated by ‘pre’, you start to take it before you may be exposed to HIV.As indicated by ‘post’, you start to take it after a single event that may have exposed you to HIV.

 



Post a Comment

0 Comments