Ticker

6/recent/ticker-posts

Uhaba wa maji safi na Salama kuchangia kuongezeka kwa milipuko ya kipindupindu



Uhaba wa maji safi na Salama kuchangia kuongezeka kwa milipuko ya kipindupindu

Uhaba wa maji safi na salama na umaskini watajwa kuchangia kuongezeka kwa milipuko ya kipindupindu mwaka jana. 

Taarifa Mpya: Kwa Mujibu wa Takwimu za shirika la Afya Duniani(WHO)

Migogoro, mabadiliko ya tabianchi, uhaba wa maji safi na salama, umaskini,na watu kuhama makazi yao kutokana na kuibuka na kuzuka upya kwa migogoro na majanga ya asili - yote yalichangia kuongezeka kwa milipuko ya kipindupindu mwaka jana.

Rejea Link;

https://x.com/WHO/status/1831367936394645756?t=SXCeowMmpo6lBy5yiWV6Tg&s=19



Post a Comment

0 Comments