Connect with us

magonjwa ya wanawake

Sababu Za Uke Kuwa Mkavu Na Tiba Yake

Doctor Ombeni

Published

on

150 Views
0 Comments

Sababu Za Uke Kuwa Mkavu Na Tiba Yake

Tatizo hili la mwanamke kuwa na uke mkavu linawapata wanawake wengi sana kwa hivi sasa, ambapo wengine hupata madhara mbali mbali kama maumivu makali wakati wa tendo la Ndoa N.K.

Tatizo hili huweza kuhusishwa na sababu mbali mbali ikiwemo ile ya baadhi ya magonjwa,mabadiliko ya vichocheo mwilini N.K. Sababu za mwanamke kuwa na uke mkavu zimeelezewa vizuri hapa chini;

Chanzo cha Uke kuwa Mkavu

SABABU ZA MWANAMKE KUWA NA UKE MKAVU NI PAMOJA NA;

1. Mvurugiko wa vichocheo mwilini yaani kwa kitaalam Hormone imbalance, hasa hasa vichocheo aina ya ESTROGEN ambavyo huhusika kwa kiasi kikubwa kuleta hali ya unyevu unyevu,ute pamoja na ulainishi ndani ya sehemu za siri za mwanamke.

2. Matumizi ya baadhi ya vitu vyenye kemikali katika kusafisha sehemu za siri za mwanamke Mfano; baadhi ya Sabuni.n.k

3. Kupatwa na maambukizi ya magonjwa mbali mbali ya zinaa Kama vile; Ugonjwa wa kisonono au kaswende.

4. Kupatwa na maambukizi katika njia au mfumo Mzima wa mkojo wa mwanamke yaani Urinary track infection(UTI).

5. Kuwa na tatizo la Fangasi ambazo haziishi,zinazojirudia rudia mara kwa mara licha ya matumizi ya dawa nyingi.

6. Mwanamke kupatwa na maambukizi ya bacteria katika via vyake vya uzazi yaani PELVIC INFLAMMATORY DISEASE(PID) n.k

Dalili za Uke kuwa Mkavu

DALILI ZA TATIZO LA MWANAMKE KUWA NA  UKE MKAVU NI PAMOJA NA;

• Kupatwa na maumivu makali Ukeni wakati wa kufanya mapenzi

• Kupatwa na maumivu ya kiuno baada ya kufanya mapenzi

• Kutokwa na damu wakati wa tendo la ndoa,hiki ni kiashiria cha uke mkavu,pamoja na kutokea kwa michubuko wakati wa tendo la ndoa.

• Mwanamke kupoteza hamu ya kufanya mapenzi

• Kuwa na hali ya kukamaa pamoja na ukavu katika sehemu za siri za mwanamke n.k

Madhara ya Uke kuwa Mkavu

MADHARA YA MWANAMKE KUWA NA TATIZO LA UKE MKAVU NI PAMOJA NA;

✓ Mwanamke Kupata maumivu makali wakati wa tendo la ndoa

✓ Mwanamke kukosa hamu kabsa ya tendo la ndoa

✓ Kupata michubuko wakati wa tendo la ndoa

✓ Kuwa katika hatari ya kupata ugonjwa wa ukimwi pamoja na magonjwa mengine ya zinaa kutokana na hali ya michubuko ukeni

✓ Mwanamke kuwa katika hatari ya kupata maambukizi katika via vyake vya uzazi yaani PID

✓ kutokwa na damu ukeni wakati wa kufanya mapenzi

MATIBABU YA TATIZO LA MWANAMKE KUWA NA UKE MKAVU

– Matibabu ya tatizo la uke mkavu hutegemea na chanzo cha tatizo husika hivo basi ni vizuri kuongea na wataalam wa afya ili kuweza kujua chanzo cha uke mkavu pamoja na matibabu yake.

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

150 Views
0 Comments

Medical Disclaimer

Medical Disclaimer: Taarifa kwenye makala hii ni kwa ajili ya Updates au elimu ya jumla tu na haichukui nafasi ya uchunguzi,Tiba au ushauri wa kitaalamu wa daktari kwa mtu mmoja mmoja. Kama una dharura au tatizo lolote la kiafya, tafadhali Wasiliana na Daktari moja kwa moja hapa.

Je, unahitaji ushauri binafsi au matibabu ya tatizo lolote?

💬 Wasiliana na Daktari Hapa

🏆Certified| Doctor from Afyaclass. Maudhui haya ni kwa ajili ya elimu ya jumla ya afya. Unapohitaji ushauri wa kina, uchunguzi, au matibabu binafsi, wasiliana na daktari kupitia namba:+255758286584.Pia tufwatilie kupitia: @Facebook | @Instagram | @YouTube.

Click to comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Guest Avatar

LATEST POSTS

magonjwa ya wanawake5 years ago

PID NI NINI? Na Dalili zake ni Zipi?(magonjwa ya Wanawake)

 PID • • • • • PID NI NINI? Na Dalili zake ni Zipi?(magonjwa ya Wanawake) PID NI NINI?  PID...

afyatips19 hours ago

Dalili za kidonda cha operation kupona

DALILI ZA KIDONDA CHA OPERATION KUPONA Baada ya kufanyiwa operation, mwili huanza mchakato wa kuponya kidonda mara moja. Mchakato huu...

Utafiti21 hours ago

Desogestrel yahusishwa na Kuongezeka kwa Hatari ya uvimbe wa ubongo

Mamlaka ya Dawa na Bidhaa za Afya ya Ufaransa (ANSM) imewaonya wanawake wanaotumia baadhi ya njia za uzazi wa mpango...

magonjwa5 years ago

UGONJWA WA BRUCELLA(chanzo,dalili na tiba)

UGONJWA WA BRUCELLA(chanzo,dalili na tiba) Huu ni ugonjwa ambao kwa kitaalam hujulikana kama brucellosis na chanzo chake ni bacteria wanaojulikana...

magonjwa ya watoto2 years ago

Ugonjwa wa Surua kwa Watoto: Sababu, Dalili, Matibabu na Kinga

Ugonjwa wa Surua kwa Watoto: Sababu, Dalili, Matibabu na Kinga Ugonjwa wa Surua ni ugonjwa wa kuambukiza sana kwa watoto...

Afya News2 days ago

Vifo vya Watoto Wachanga Katika Mlipuko wa Surua Pennsylvania na Mjadala wa Afya ya Umma

Mlipuko wa ugonjwa wa surua (measles) unaoendelea katika jimbo la Pennsylvania, Marekani, umeendelea kuzua wasiwasi mkubwa baada ya watoto wawili...

Afya News2 days ago

Wauguzi Kenya Wasitisha Mgomo Baada ya Makubaliano na Serikali

Wauguzi nchini Kenya wamesitisha mgomo wao wa siku 43 baada ya kufikia makubaliano na serikali kupitia chama chao cha wafanyakazi....

WHO3 days ago

Uvutaji Sigara Unaongeza Uwezekano wa Ugumba

Uvutaji Sigara Unaongeza Uwezekano wa Ugumba Shirika la Afya Duniani (WHO) limeonya kuwa matumizi ya tumbaku yana athari kubwa kwa...

magonjwa ya wanaume1 year ago

Dalili za Gono Sugu kwa Mwanaume (Gonorrhea sugu)

Gono sugu ni maambukizi ya zinaa yanayosababishwa na bakteria aitwaye Neisseria gonorrhoeae, ambayo yamekuwa yakujirudia rudia na hayaponi kwa baadhi...

Uzazi/Ujauzito4 days ago

Madhara ya Sindano ya depo,Fahamu hapa

Madhara ya Sindano ya Depo (Depot Medroxyprogesterone Acetate – DMPA) Sindano ya Depo-Provera (Depot Medroxyprogesterone Acetate – DMPA) ni mojawapo...

151
0