Connect with us

EVENTS

Leo ni Siku ya Idadi ya Watu Duniani

Doctor Ombeni

Published

on

Imeboreshwa July 31, 2026 by Doctor Ombeni

Leo ni Siku ya Idadi ya Watu Duniani, kauli mbiu ya maadhimisho ya mwaka huu ni: “Kuwawezesha vijana kuunda familia wanazotaka katika dunia yenye haki na matumaini. Unadhani ni njia zipi bora za kuwawezesha kauli mbiu hiyo kutimia?

Inakadiriwa kuwa idadi ya watu ulimwenguni mwaka huu wa 2025 ni zaidi ya bilioni 8.1.

🏆Certified| Doctor from Afyaclass.Hapa utapata Ushauri & Tiba juu ya magonjwa mbali mbali. Kwa msaada Zaidi Tuwasiliane kupitia namba: +255758286584.Pata dondoo za afya kila siku kwa kufuatilia kupitia: @Facebook | @Instagram | @YouTube.