Connect with us

DAWA

Matumizi sahihi ya dawa ni yapi?

Doctor Ombeni

Published

on

Imeboreshwa July 31, 2026 by Doctor Ombeni

Matumizi sahihi ya dawa ni yapi?

Hili ni Swali ambalo wafwatiliaji wengi wa afyaclass wamekuwa wakituuliza,na wengine huchanganyikiwa zaidi pale ambapo wanaambiwa;

Tumia Dawa,asubuh,mchana na Jion,

Tumia Dawa Asubuh na Jion

Tumia Dawa kutwa mara 3 n.k…

Haya ni maneno ambayo hutumika sana kwenye Dawa, Lakini je unaelewa maana yake?

Fahamu Matumizi Sahihi ya Dawa

Muda Sahihi wa kutumia Dawa ni kama ifuatavyo;

1.Ukiambiwa Kutwa mara 3
Ni kila baada ya Saa 8 unatumia dawa

2.Kutwa mara 2 ni kila baada ya Saa 12 unatumia dawa

3. Na kutwa mara 1 unatumia kila baada ya Saa 24.

🏆Certified| Doctor from Afyaclass.Hapa utapata Ushauri & Tiba juu ya magonjwa mbali mbali. Kwa msaada Zaidi Tuwasiliane kupitia namba: +255758286584.Pata dondoo za afya kila siku kwa kufuatilia kupitia: @Facebook | @Instagram | @YouTube.

Click to comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *