Connect with us

Stars Health

Zuchu ni mjamzito,Zuchu apost picha za ujauzito wake

afyaclass

Published

on

Zuchu ni mjamzito,Zuchu apost picha za ujauzito wake

Baba Levo ametoa ujumbe wake baada ya Zuchu kupost picha za ujauzito wake, katika ujumbe wake ameonyesha kuwa mtoto huyo ni wakike akisema kuwa atakuja kumaliza hizi hekaheka akimaanisha utofauti uliopo kati ya Zuchu na Diamond Platnumz

Ameandika “Namsubiri kwa hamu dada yangu❤️ yeye ndio atakuja kumaliza hizi hekaheka siku ifike tu jamani ajifungue salama”

Baby shower ya Msanii wa Bongo Fleva, Zuchu inaendelea jioni hii nyumbani kwake Mbezi Beach, Dar es salaam, huku taarifa zikieleza kuwa anatarajia kujifungua Mtoto wa kike.

Tukio hilo limewakutanisha Ndugu, Marafiki na Watu wa karibu kusherehekea ujio wa Mtoto anayesubiriwa.

Karibu Afyaclass Jukwaa linaloongoza kwa utoaji wa elimu sahihi ya Afya. Hapa utapata Ushauri & Tiba,Elimu na Updates mbali mbali za Afya Duniani. Pia Pata dondoo za afya kila siku kwa kufuatilia kupitia: @Facebook | @Instagram | @YouTube.