Magonjwa
FAHAMU KIPIMO CHA KUPIMA MIMBA MAARUFU KAMA UPT
![](https://afyaclass.com/mk_omb/uploads/2020/12/images-27.jpeg)
JE UNAIFAHAM UPT?
UPT-kirefu chake ni urinary pregnancy test au ni kifaa cha kupima mimba kwa njia ya kutumia mkojo.
Kifaa hiki kikisoma mstari mmoja humaanisha “NEGATIVE” yaani huna mimba,Lakini kikisoma mistari miwili humaanisha “POSITIVE” yaani una mimba.
Usomaji wa kifaa hiki hutegemea uwepo wa kichocheo kiitwacho human chorionic gonadotrophin(HCG) kwenye mkojo. Na kichocheo hiki ili kiwepo kwenye mkojo ni mpka kizalishwe na placenta kutoka kwa mwanamke.
KUMBUKA;JUKUMU LANGU KWAKO NI KUKUSHAURI,KUKUELMISHA NA KUKUPA MSAADA WA KIAFYA PALE UNAPOHITAJIKA; +255758286584.
-
Uzazi/Ujauzito5 days ago
Dalili za hatari baada ya kujifungua kwa upasuaji
-
Magonjwa4 days ago
Dalili za infection kwenye damu,mchafuko wa damu
-
Uzazi/Ujauzito3 days ago
Dalili za mimba hutokea baada ya siku ngapi
-
Magonjwa2 days ago
kuharisha na kutapika ni dalili za ugonjwa gani
-
Events6 days ago
Chad yafanikiwa kuondoa Ugonjwa wa trypanosomiasis,WHO yatangaza
-
News5 days ago
TANZIA:Yusuf Manji afariki dunia akipatiwa Matibabu Marekani
-
Utafiti1 day ago
Zaidi ya vifo milioni 3 kila mwaka hutokana na matumizi ya pombe na madawa ya kulevya-WHO
-
afyatips3 hours ago
Madhara ya damu kuwa nyingi mwilini