kuleta mabadiliko vita dhidi ya Malaria Kusini mwa Jangwa la Sahara Rais Mstaafu, Dk Jakaya Kikwete akizungumza katika mkutano wa tatu wa Baraza la Kumaliza Malaria....
FAHAMU:Parachichi Linaweza kusaidia afya ya moyo, Parachichi lina mafuta mengi asilia yanayoweza kukulinda dhidi ya magonjwa ya moyo. 1.Parachichi linatajwa kama tunda lenye virutubisho vingi, Parachichi...
MATIBABU YA ULOTO YA BMH YAZUNGUMZIWA BARAZA LA MAWAZIRI EAC Akifungua Mkutano wa Kawaida wa 24 wa Baraza la Mawaziri wa Sekta ya Afya EAC, Waziri...
UTAFITI: Waishio kando ya Bahari wana afya bora Kwa mujibu wa utafiti uliyofanywa na Dk Lewis Elliott kutoka Chuo Kikuu cha Exeter nchini Uingereza umebaini kuwa...
#PICHA:Wakunga kisiwani Zanzibar wakifurahia wakati wa maadhimisho ya siku ya wakunga duniani yaliyofanyika mjini Unguja. Kwa mujibu wa miongozo ya afya, mkunga mmoja anatakiwa kuhudumia mjamzito...
KIMBUNGA HIDAYA KINASOGEA HUKU KIKIPUNGUA NGUVU – TMA Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa taarifa ya mwenendo wa kimbunga “HIDAYA” kilichopo karibu na maeneo...
Kimbunga Hidaya na kinachoendelea kwa sasa Pwani ya Afrika Mashariki hususan Tanzania inatazamiwa kukumbwa na Kimbunga Hidaya ambacho kitasababisha mvua kubwa. Mapema wiki hii Mamlaka ya...
Fidia poda zenye kemikali ya talc zilizosababisha saratani ya ovari. Johnson & Johnson imesema watalipa dola bilioni 6.5 ili kumaliza maelfu ya kesi nchini Marekani zinazodai...
Atolewa uvimbe wa kilo tano tumboni alioishi nao miaka 10 “Nimezaa watoto 11 lakini mtoto wangu wa mwisho niliyemzaa mwaka 2010 nilikuwa nipoteze maisha, maana nilitokwa...
Kenya Mafuriko, shughuli za baharini zazuiwa tahadhari ya Kimbunga Hidaya Wakazi wa kaunti ya Lamu hawataruhusiwa kusafiri baharini kuanzia leo jioni hadi siku ya Jumanne kufuatia...