Connect with us
Advertisement

NEW POSTS

Stars Health3 hours ago

Mtu Mrefu Zaidi Ghana, Awuche, Afariki Dunia Akiwa na Miaka 32

Sulemana Abdul Samed, maarufu kwa jina la Awuche na aliyekuwa akitambulika kama mtu mrefu zaidi nchini Ghana, amefariki dunia akiwa...

mazingira3 hours ago

Tetemeko Kubwa la Ardhi Lapiga Japan, Maelfu Wahamishwa

Japan imekumbwa na tetemeko kubwa la ardhi lenye ukubwa wa 6.8 katika kipimo cha Richter, lililopiga mkoa wa Kumamoto kusini...

Afya News9 hours ago

Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) imewasha vifaa vya usikivu (Cochlear Implant) kwa watoto saba

Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) imewasha vifaa vya usikivu (Cochlear Implant) kwa watoto saba waliopandikizwa vifaa hivyo. Tangu kuzinduliwa kwa...

Patient Stories12 hours ago

Apoteza Watoto watano aliojifungua kabla ya muda (njiti)

Simanzi imetawala kwa familia ya Karen Remi (22) ambaye ni Mkazi wa Arusha baada ya kupoteza Watoto wake watano aliojifungua...

Ukimwi13 hours ago

Dunia iko Hatarini Kushuhudia Kuongezeka kwa Maambukizi ya VVU kutokana na Kupungua kwa Ufadhili – UNAIDS

Shirika la Umoja wa Mataifa la Kupambana na UKIMWI (UNAIDS) limeonya kuwa dunia inaweza kushuhudia ongezeko jipya la maambukizi ya...

CHANJO16 hours ago

Majaribio ya Chanjo ya Ebola Yaimarishwa Dhidi ya Aina Adimu ya Bundibugyo

Watafiti na mashirika ya afya duniani wameongeza kasi ya maendeleo ya chanjo mpya dhidi ya aina adimu ya virusi vya...

Ebola1 day ago

Nchi Zenye Ugonjwa wa Ebola Mpaka Sasa (2026)

Kwa sasa (Julai 2026), nchi ambazo zimethibitisha kuwa na mlipuko wa Ebola ni: 🇨🇩 Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC)...

Ebola1 day ago

Mlipuko wa Ebola DRC Waendelea Kuongezeka, Zaidi ya Visa 3,000 Sasa Vimethibitishwa

Mlipuko wa ugonjwa wa Ebola unaoendelea mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) unaendelea kuongezeka kwa kasi, huku mamlaka...

afyatips1 day ago

Vyakula vinavyoweza kuathiri Ubora wa Mbegu za Kiume

Je, vinywaji vya sukari na vyakula vilivyosindikwa vinaweza kuathiri uzazi wa mwanaume? Watu wengi hufikiria uzazi wa mwanaume huathiriwa zaidi...

WHO1 day ago

WHO yazindua mwongozo mpya wa kupunguza vifo vya kuzama majini duniani

Kuelekea maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Kuzuia Vifo vya Kuzama Majini yanayofanyika kila mwaka tarehe 25 Julai, Shirika la...

Utafiti2 days ago

Takribani watu milioni 470 katika bara la Amerika wanaishi na ugonjwa wa mfumo wa neva

Takribani watu milioni 470 katika bara la Amerika wanaishi na angalau ugonjwa mmoja wa mfumo wa neva usioambukiza au unaotokana...

Stars Health2 days ago

Waziri Mkuu Mstaafu, Kassim Majaliwa amjulia hali Mkubwa Fella

Waziri Mkuu Mstaafu, Kassim Majaliwa, Julai 25, 2026 amefika nyumbani kwa mdau wa muziki na mlezi wa vipaji nchini, Said...

mazingira3 days ago

Moto mkubwa wa nyika walazimisha maelfu kuhama kusini mwa Ulaya

Moto mkubwa wa nyika unaoendelea kuwaka kusini mwa Ulaya umesababisha maelfu ya watu kuhama makazi yao nchini Ufaransa na Uhispania...

afyatips3 days ago

Fahamu Uhusiano wa Kisukari na Ganzi

Ganzi ni moja ya matatizo yanayoweza kutokea kwa watu wenye kisukari, hasa pale kiwango cha sukari kwenye damu kinapokuwa juu...

Afya News3 days ago

Watoto wachache zaidi wanapata matibabu ya VVU baada ya kupungua kwa ufadhili wa Marekani

Idadi ya watoto wanaopokea matibabu ya VVU kupitia programu zinazofadhiliwa na Marekani imepungua kwa kiasi kikubwa, jambo linalozua hofu kwamba...

Uzazi/Ujauzito4 days ago

Fistula-Ugonjwa unaoweza kuzuilika lakini unaendelea kuharibu maisha ya wengi

Fistula ya uzazi ni moja ya matatizo makubwa ya afya ya uzazi yanayowaathiri maelfu ya wanawake duniani, hasa katika nchi...

magonjwa ya ngozi4 days ago

Muwasho kwenye Mikunjo ya Ngozi: Sababu, Dalili na Matibabu

Muwasho unaotokea kwenye mikunjo ya ngozi ni tatizo la kawaida linaloweza kuwapata watu wa rika zote. Mara nyingi hujitokeza kwenye...

Afya News4 days ago

Wanafunzi wawili wafariki, wawili walazwa hospitalini baada ya kudaiwa kutumia “laughing gas” nchini Nigeria

Wanafunzi wawili wanaodhaniwa kusoma katika Chuo cha Gateway ICT Polytechnic kilichopo Saapade, Jimbo la Ogun nchini Nigeria, wamefariki dunia huku...

Story4 days ago

Binti aogelea kwa Saa 3 ndani ya Maji na kuokoa Boti iliyobeba watu 20

Mkimbizi wa Syria mwenye umri wa miaka 17 anayeitwa Yusra Mardini alikuwa kwenye mashua ndogo iliyokuwa imebeba watu 20. Injini...

Utafiti5 days ago

Nchi 15 Zenye Mifumo Mibovu Zaidi ya Huduma za Afya Duniani mwaka 2026

Utafiti wa mwaka 2026 unaotokana na Numbeo Health Care Index, uliokusanywa na Visual Capitalist, umeonyesha kuwa bado kuna mataifa mengi...

magonjwa ya watoto5 days ago

Mtoto Anatakiwa Kupata Choo Mara Ngapi kwa Siku?

Mtoto Anatakiwa Kupata Choo Mara Ngapi kwa Siku? Na Kipi Sio Kawaida? Wazazi wengi hupata wasiwasi wanapoona mtoto wao anapata...

Ebola5 days ago

Mlipuko wa Ebola DRC wafikisha wagonjwa zaidi ya 2,400, vifo 967

WHO yaongeza juhudi za kudhibiti maambukizi Mlipuko wa ugonjwa wa Ebola unaosababishwa na virusi vya Bundibugyo unaendelea kuenea mashariki mwa...

Afya News5 days ago

Sri Lanka Yatumia Droni Kupambana na Mlipuko Mkubwa wa Homa ya Dengue

Sri Lanka imeanzisha matumizi ya ndege zisizo na rubani (droni) katika juhudi za kudhibiti mlipuko mkubwa wa homa ya dengue,...

afyatips6 days ago

Jinsi Umri Unavyoathiri Hamu ya Tendo la Ndoa

Hamu ya tendo la ndoa (libido) hubadilika kadri mtu anavyozeeka. Mabadiliko haya ni ya kawaida na hutokana na mabadiliko ya...