Connect with us
Advertisement

NEW POSTS

Afya News10 hours ago

Kenya yaimarisha sheria dhidi ya mafuta hatari ya trans fat kwenye vyakula

Serikali ya Kenya imeanza mchakato wa kuimarisha sheria zinazodhibiti matumizi ya mafuta hatari yanayojulikana kama industrial trans fats, ikiwa ni...

WHO11 hours ago

WHO: Mlipuko wa Ebola DRC wazidi kuwa mbaya, visa na vifo vyaongezeka

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) inaendelea kukabiliwa na mlipuko mkubwa wa ugonjwa wa Ebola, huku Shirika la Afya Duniani...

History24 hours ago

Mwanasayansi Aliyehatarisha Kazi Yake kwa Kusafirisha Sampuli za VVU Ili Kuokoa Maelfu ya Maisha

Mwaka 1985, wakati dunia ilikuwa inaanza kuelewa tishio la Virusi vya Ukimwi (VVU), mataifa mengi yalikuwa yakihaha kutafuta njia za...

Afya News1 day ago

Kenya yaimarisha huduma za afya ya akili kwa wanawake na watoto

Kenya imeendelea kuimarisha huduma za afya ya akili kwa kuzijumuisha katika sera na mipango yake ya afya, hatua inayolenga kuboresha...

Stars Health2 days ago

Zuchu ni mjamzito,Zuchu apost picha za ujauzito wake

Zuchu ni mjamzito,Zuchu apost picha za ujauzito wake Baba Levo ametoa ujumbe wake baada ya Zuchu kupost picha za ujauzito...

Patient Stories2 days ago

Alikaa siku 42 bila fahamu(Coma) baada ya kuumwa na Kupe

Mwanamke alikaa kwenye koma kwa siku 42 baada ya kuumwa na kupe akiwa likizo Ugiriki Mwanamke mmoja kutoka Anglesey, Wales,...

Afya News2 days ago

KEMSA Yapunguza Hasara za Dawa Zinazoisha Muda, Lakini Changamoto Bado Zipo

KEMSA Yapunguza Hasara za Dawa Zinazoisha Muda, Lakini Changamoto Bado Zipo:Nairobi, Kenya – Agosti 2026 Mamlaka ya Ugavi wa Vifaa...

magonjwa yasioyakuambukiza2 days ago

Tatizo la Overactive Bladder,Dalili na Sababu zake

Overactive Bladder – (OAB) ni hali ya kiafya inayomfanya mtu ahisi hamu ya kukojoa ghafla na kwa nguvu, kiasi kwamba...

vipimo3 days ago

Vipimo Muhimu vya Afya Usivyopaswa Kuvikosa

Kufanya uchunguzi wa afya mara kwa mara kunaweza kusaidia kugundua magonjwa mapema, kabla hayajaleta madhara makubwa. Ingawa si kila mtu...

Ebola3 days ago

Kasi ya Ugonjwa wa Ebola ni kubwa kuliko mwitikio

Kasi ya Ugonjwa wa Ebola ni kubwa kuliko mwitikio Akizungumza na waandishi wa habari jijini New York, Marekani siku ya...

magonjwa ya figo3 days ago

Figo moja inafanya kazi kwa mwanadamu kwa muda gani?

Ndiyo, figo moja inaweza kufanya kazi kwa maisha yote ikiwa ina afya nzuri. Watu wengi huishi maisha marefu na yenye...

afyatips4 days ago

Njia 15 Bora za Kupata Usingizi Mzuri Usiku

Usingizi mzuri ni nguzo muhimu ya afya, sawa na kula lishe bora na kufanya mazoezi. Ukosefu wa usingizi au kutokulala...

Story4 days ago

Aweka Rekodi ya Dunia kwa kuzaa Watoto 9 kwa Mara moja

Akiwa na umri wa miaka 25 tu, mama huyu aliweka historia kwa kujifungua watoto tisa kwa wakati mmoja, akiweka rekodi...

Story4 days ago

Dkt. Catherine Nyongesa,Mwanamke Aliyeweka Rehani Utajiri Wake Kujenga Hospitali ya Saratani Kenya

Kutoka katika familia iliyokuwa ikipambana na umaskini hadi kuwa daktari bingwa wa saratani, Dkt. Catherine Nyongesa ameonyesha kwamba ndoto kubwa...

Utafiti4 days ago

Maambukizi Hatari ya Fangasi wa Ukungu Yaonekana Kuwa Makubwa Kuliko Ilivyodhaniwa

Utafiti mpya nchini Marekani umeonyesha kuwa maambukizi makali yanayosababishwa na fangasi wa ukungu yanaweza kuwa Makubwa zaidi kuliko ilivyokuwa ikidhaniwa,...

Afya News4 days ago

India na Afrika Zashirikiana Kuboresha Matibabu ya Watoto Wenye Mpasuko wa Mdomo,Mdomo Sungura

India na Afrika zimeongeza ushirikiano katika kuboresha huduma kwa watoto wanaozaliwa na mpasuko wa mdomo au kaakaa, huku wataalamu wa...

Ebola4 days ago

Ebola Ya Bundibugyo DRC: zaidi ya wagonjwa 500 wapona, madaktari wanaendelea kupambana na mlipuko mkali

Bunia, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) — Licha ya mlipuko wa Ebola ya Bundibugyo kuendelea kuwa changamoto kubwa katika...

magonjwa ya Zinaa5 days ago

Ufahamu Ugonjwa wa Zinaa wa MYCOPLASMA GENITALIUM na Madhara yake

Mycoplasma genitalium, kwa kifupi MG, ni aina ya bakteria anayeweza kuambukizwa kwa njia ya ngono. Ugonjwa huu umeendelea kuwa suala...

Afya ya Akili5 days ago

Magonjwa ya Akili, Jinsi Yanavyoanza, Aina Zake na Sababu Zinazochangia

Ubongo wa binadamu ni kiungo muhimu kinachodhibiti karibu kila kitu kinachotokea mwilini. Unasimamia kumbukumbu, uwezo wa kujifunza, hisia, kuona, kusikia,...

Ebola5 days ago

Uganda Yatangaza Kumaliza Mlipuko wa Ebola

Uganda Yatangaza Kumaliza Mlipuko wa Ebola, Wakati DRC Ikikabiliwa na Kuongezeka kwa Maambukizi Uganda imetangaza rasmi kumalizika kwa mlipuko wa...

Uzazi/Ujauzito5 days ago

Kupata Mimba Juu ya Mimba Nyingine: Je, Inawezekana Kweli?

Kupata Mimba Juu ya Mimba Nyingine: Je, Inawezekana Kweli? Watu wengi huamini kuwa mwanamke hawezi kupata ujauzito mwingine akiwa tayari...

Utafiti5 days ago

Afrika Bado Yaongoza kwa Idadi ya Wenye Njaa

Njaa Duniani Yapungua kwa Mwaka wa Tatu Mfululizo, Lakini Afrika Bado Yaongoza kwa Idadi ya Wenye Njaa Ripoti mpya ya...

Saratani6 days ago

Saratani ya Matiti kwa Wanaume

Ingawa saratani ya matiti huonekana zaidi kwa wanawake, wanaume pia wanaweza kuugua ugonjwa huu. Kwa mujibu wa wataalamu, wanaume wote...

Stars Health6 days ago

Mtu Mrefu Zaidi Ghana, Awuche, Afariki Dunia Akiwa na Miaka 32

Sulemana Abdul Samed, maarufu kwa jina la Awuche na aliyekuwa akitambulika kama mtu mrefu zaidi nchini Ghana, amefariki dunia akiwa...