Connect with us
Advertisement

NEW POSTS

Afya News17 hours ago

Mkenya wa kwanza kuchaguliwa kuwa Rais wa International AIDS Society (IAS),Profesa Kenneth Ngure

Mkenya wa kwanza kuchaguliwa kuwa Rais wa International AIDS Society (IAS),Profesa Kenneth Ngure Profesa Kenneth Ngure ni mwanasayansi wa Kenya...

Ukimwi17 hours ago

Sindano ya kila mwezi ya VVU kusaidia Wakenya 126,000

Sindano ya kila mwezi ya VVU kupunguza kushindwa kwa matibabu kwa Watu karibu 126,000 Makala ya Nation Media Group inaeleza...

Hospital18 hours ago

Mloganzila kuja na Dawa Mpya kabsa ya Kupunguza Uzito

Mloganzila kuja na Dawa Mpya kabsa ya Kupunguza Uzito Hospitali ya Taifa Muhimbili–Mloganzila imeendelea kuimarisha huduma za kibingwa baada ya...

Afya News22 hours ago

Dkt. Erica Schwartz Athibitishwa Kuwa Mkurugenzi Mpya wa CDC

Dkt. Erica Schwartz Athibitishwa Kuwa Mkurugenzi Mpya wa CDC Baada ya Mwaka Mmoja wa Nafasi hiyo Kubaki Wazi Seneti ya...

Story1 day ago

Idara ya Uhamiaji ya Gambia (GID) imezindua rasmi sare mpya kwa wajawazito

Idara ya Uhamiaji ya Gambia (GID) imezindua rasmi sare mpya zilizobuniwa mahsusi kwa Maafisa wajawazito, hatua inayolenga kuboresha ustawi wao...

Uzazi/Ujauzito2 days ago

Magonjwa Yanayosababisha Mwanamke Asipate Mimba

Kupata mtoto ni ndoto ya wanandoa wengi, lakini si kila wanandoa hupata ujauzito kwa urahisi. Kwa mujibu wa Shirika la...

Hospital2 days ago

Akamatwa hospitali kwa kujifanya Mtoa Roho

Akamatwa hospitali kwa kujifanya Mtoa Roho Mwanamume mwenye umri wa miaka 26 nchini Wales amekamatwa baada ya mamlaka kusema alipanda...

Afya News2 days ago

Mradi Wa Kupambana Na ATHARI ZA JOTO kwenye MICHUANO YA AFCON

MRADI WA KUPAMBANA NA ATHARI ZA JOTO KWENYE MICHUANO YA AFCON KUCHOCHEA UCHUMI WA NCHI Na Emmanuel Maleg, WAF –...

Ebola3 days ago

Kituo Kikubwa Zaidi cha Matibabu ya Ebola DRC Kufunguliwa Wiki Hii Jimboni Ituri

Kituo Kikubwa Zaidi cha Matibabu ya Ebola DRC Kufunguliwa Wiki Hii Jimboni Ituri Kituo kikubwa zaidi cha matibabu ya ugonjwa...

Saratani3 days ago

Saratani ya Utumbo Mpana na puru(Colorectal Cancer): Dalili, Sababu, Tiba na Jinsi ya Kujikinga

Saratani ya utumbo mpana na puru (colorectal cancer) ni saratani inayotokea kwenye utumbo mkubwa (colon) au sehemu ya mwisho ya...

Saratani3 days ago

Kwa nini Idadi ya vijana wanaopata saratani Inaongezeka?

Kwa nini Idadi ya vijana wanaopata saratani Inaongezeka? Utafiti mpya unaonyesha kuwa idadi ya vijana wanaopata saratani imeongezeka katika miaka...

Story4 days ago

Safari ngumu ya akina mama wanaojifungua watoto njiti

Makala hii inaeleza safari ngumu ya akina mama wanaojifungua watoto njiti na juhudi wanazofanya kuhakikisha watoto wao wanapata maziwa ya...

Ebola4 days ago

Mlipuko wa Ebola DRC wazidi kushika kasi, WHO yataka hatua za haraka kuzuia maambukizi

Kinshasa, DRC – 1 Agosti 2026: Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema mlipuko wa ugonjwa wa Ebola unaosababishwa na virusi...

Afya News5 days ago

Kenya yaimarisha sheria dhidi ya mafuta hatari ya trans fat kwenye vyakula

Serikali ya Kenya imeanza mchakato wa kuimarisha sheria zinazodhibiti matumizi ya mafuta hatari yanayojulikana kama industrial trans fats, ikiwa ni...

WHO5 days ago

WHO: Mlipuko wa Ebola DRC wazidi kuwa mbaya, visa na vifo vyaongezeka

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) inaendelea kukabiliwa na mlipuko mkubwa wa ugonjwa wa Ebola, huku Shirika la Afya Duniani...

Stars Health5 days ago

Zuchu na Diamond Platnumz Wapata Mtoto

Msanii wa Tanzania, Diamond Platnumz na Mkewe Zuchu wamethibitisha ujio wa Mtoto wao baada ya Diamond kuchapisha picha ya kuwa...

History5 days ago

Mwanasayansi Aliyehatarisha Kazi Yake kwa Kusafirisha Sampuli za VVU Ili Kuokoa Maelfu ya Maisha

Mwaka 1985, wakati dunia ilikuwa inaanza kuelewa tishio la Virusi vya Ukimwi (VVU), mataifa mengi yalikuwa yakihaha kutafuta njia za...

Afya News5 days ago

Kenya yaimarisha huduma za afya ya akili kwa wanawake na watoto

Kenya imeendelea kuimarisha huduma za afya ya akili kwa kuzijumuisha katika sera na mipango yake ya afya, hatua inayolenga kuboresha...

Stars Health6 days ago

Zuchu ni mjamzito,Zuchu apost picha za ujauzito wake

Zuchu ni mjamzito,Zuchu apost picha za ujauzito wake Baba Levo ametoa ujumbe wake baada ya Zuchu kupost picha za ujauzito...

Patient Stories6 days ago

Alikaa siku 42 bila fahamu(Coma) baada ya kuumwa na Kupe

Mwanamke alikaa kwenye koma kwa siku 42 baada ya kuumwa na kupe akiwa likizo Ugiriki Mwanamke mmoja kutoka Anglesey, Wales,...

Afya News7 days ago

KEMSA Yapunguza Hasara za Dawa Zinazoisha Muda, Lakini Changamoto Bado Zipo

KEMSA Yapunguza Hasara za Dawa Zinazoisha Muda, Lakini Changamoto Bado Zipo:Nairobi, Kenya – Agosti 2026 Mamlaka ya Ugavi wa Vifaa...

magonjwa yasioyakuambukiza7 days ago

Tatizo la Overactive Bladder,Dalili na Sababu zake

Overactive Bladder – (OAB) ni hali ya kiafya inayomfanya mtu ahisi hamu ya kukojoa ghafla na kwa nguvu, kiasi kwamba...

vipimo7 days ago

Vipimo Muhimu vya Afya Usivyopaswa Kuvikosa

Kufanya uchunguzi wa afya mara kwa mara kunaweza kusaidia kugundua magonjwa mapema, kabla hayajaleta madhara makubwa. Ingawa si kila mtu...

EVENTS1 week ago

Wiki ya Unyonyeshaji Duniani 2026 (1–7 Agosti)

Unyonyeshaji kwa Mwanzo Endelevu wa Maisha: Tuimarishe Yanayofanya Kazi Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kaulimbiu ya Wiki ya Unyonyeshaji...