Watumiaji wa WhatsApp Wazua Hofu Kuhusu Faragha ya Status Baada ya Kuonekana kwa Namba Zisizohifadhiwa

Watumiaji wa WhatsApp Wazua Hofu Kuhusu Faragha ya Status Baada ya Kuonekana kwa Namba Zisizohifadhiwa(Unsaved number) Watumiaji wa WhatsApp wameendelea kueleza wasiwasi wao kwenye mitandao ya …

Trump Aionya Iran: “Muda Unakwisha” Wakati Mazungumzo ya Amani Yakikwama

Trump Aionya Iran: “Muda Unakwisha” Wakati Mazungumzo ya Amani Yakikwama Rais wa Marekani Donald Trump ametoa onyo jipya kali kwa Iran akisema kuwa “muda unakwisha” huku mazungumzo ya amani kat…

Wanaume Wachangia Zaidi Matatizo ya Ugumba Tanzania – MNH

Wanaume Wachangia Zaidi Matatizo ya Ugumba Tanzania – MNH Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) imesema kuwa wanaume sasa wanachangia kwa kiwango kikubwa matatizo ya ugumba miongoni mwa wanando…

Matumizi sahihi ya dawa ni yapi?

Matumizi sahihi ya dawa ni yapi? Hili ni Swali ambalo wafwatiliaji wengi wa afyaclass wamekuwa wakituuliza,na wengine huchanganyikiwa zaidi pale ambapo wanaambiwa; Tumia Dawa,asubuh,mchana na Ji…

FIFA Yafanya Mazungumzo na Iran Kuhusu Ushiriki wa Kombe la Dunia 2026 Marekani

FIFA Yafanya Mazungumzo na Iran Kuhusu Ushiriki wa Kombe la Dunia 2026 Marekani Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu duniani, FIFA limeeleza kuwa lina matumaini makubwa kwamba timu ya taif…

Ugonjwa wa Ebola ni ugonjwa hatari unaosababishwa na virusi vya Ebola

Ugonjwa wa Ebola ni ugonjwa hatari unaosababishwa na virusi vya Ebola. Ugonjwa wa Ebola husababishwa na Virusi ambao wanapatikana kwenye genus ya Orthoebolavirus ndani ya famili ya filoviridae. …

Ebola Yatangazwa Dharura ya Afya Duniani Baada ya Maambukizi Congo na Uganda

Ebola Yatangazwa Dharura ya Afya Duniani Baada ya Maambukizi Congo na Uganda Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuwa mlipuko wa ugonjwa wa Ebola unaosababishwa na virusi vya Bundibugyo k…

Hivi Ukiambiwa Dawa hii kunywa Asubuh na jion maana yake,ni muda gani wa kutumia?

Hivi Ukiambiwa Dawa hii kunywa Asubuh na jion maana yake,ni muda gani wa kutumia? Swali kutoka kwa Mdau wa Afyaclass anasema anahitaji Ufafanuzi..

Jinsi ya kupika tambi,Fahamu hapa kwenye Mapishi ya Tambi

Jinsi ya kupika tambi,Fahamu hapa kwenye Mapishi ya Tambi Tambi ni moja ya vyakula vinavyopendwa sana kutokana na urahisi wake wa kuandaa, gharama nafuu na uwezo wa kushibisha kwa haraka. Watu …

Maelfu ya Nyuki Wazua Taharuki White House Marekani

Maelfu ya Nyuki Wazua Taharuki White House Marekani Maelfu ya nyuki wamezua taharuki katika makazi rasmi ya Rais wa Marekani, White House baada ya kuvamia ghafla eneo la North Lawn karibu na se…

Michael Carrick Karibu Kutangazwa Kocha Mkuu wa Kudumu Manchester United

Michael Carrick Karibu Kutangazwa Kocha Mkuu wa Kudumu Manchester United Klabu ya Manchester United ipo hatua za mwisho za kumthibitisha Michael Carrick kuwa kocha mkuu wa kudumu baada ya kufik…

Jinsi gani ya kupata pesa mtandaoni?

Wananiita jina Maarufu Black Mamba kutoka Geita,Nauliza hivi ni Jinsi gani ya kupata pesa mtandaoni?

Dangote Aja Dar azungumza na Rais Samia Suluhu Hassan Ikulu ya Dar es Salaam

Dangote Aja Dar azungumza na Rais Samia Suluhu Hassan Ikulu ya Dar es Salaam Rais wa Samia Suluhu Hassan amekutana na kufanya mazungumzo na bilionea maarufu kutoka Nigeria, Aliko Dangote, katika…

Ongezeko kubwa la bei ya mafuta Kenya na Mgomo wa Wahudumu wa Matatu

Ongezeko kubwa la bei ya mafuta Kenya na Mgomo wa Wahudumu wa Matatu Sekta ya uchukuzi nchini Kenya imeingia katika hali ya sintofahamu baada ya wahudumu wa magari ya uchukuzi maarufu kama mata…

Kuna Tofauti Gani kati ya HantaVirus na Corona Virus?

Naitwa John Temba kutoka Iringa,Naona Saivi kuna habari zinasambaa kuhusu kitu kinaitwa HantaVirus, ni nini hiki? na pia napenda kujua; Kuna Tofauti Gani kati ya HantaVirus na Corona Virus?

Kuziba Mishipa ya Damu ni Kitu gani? Naomba Kueleweshwa!

Naitwa Merina kutoka Dodoma,asante sana kwa Jukwaa hili,Mimi nina Swali, Naomba Ufafanuzi juu ya hili, Kuziba Mishipa ya Damu ni Kitu gani? Naomba Kueleweshwa

Nicki Minaj Afunguka Kumkubali Trump, Asema Mastaa Wengi Wanaogopa Kusema Ukweli

Nicki Minaj Afunguka Kumkubali Trump, Asema Mastaa Wengi Wanaogopa Kusema Ukweli Msanii maarufu wa Hip Hop Nicki Minaj amezua mjadala mkubwa duniani baada ya kuweka wazi msimamo wake wa kumuung…

Nyama za Pua kwa Watoto ni Nini? Dalili, Sababu na Tiba Zake

Nyama za Pua kwa Watoto ni Nini? Dalili, Sababu na Tiba Zake Wazazi wengi hujiuliza, “Kwa nini mtoto wangu anapumua kwa shida usiku, anakoroma au ana mafua ya mara kwa mara?” Mara nyingi hali hi…

Mkurugenzi Mtendaji wa Apple Tim Cook, Mkurugenzi wa Tesla Elon Musk, mkuu wa Nvidia Jensen Huang waongozana na Trump CHINA

Mkurugenzi Mtendaji wa Apple Tim Cook, Mkurugenzi wa Tesla Elon Musk, mkuu wa Nvidia Jensen Huang waongozana na Trump CHINA Ziara ya Rais wa Marekani Donald Trump nchini China imegeuka kuwa gum…

Ndege yaangukia nyumba Watu wawili wamepoteza maisha

Ndege yaangukia nyumba Watu wawili wamepoteza maisha Watu wawili wamepoteza maisha baada ya ndege ndogo aina ya Piper PA-28 kuanguka kwenye nyumba katika mji wa Akron, Jimbo la Ohio nchini Marek…

Aliyekuwa Malkia wa Denmark Akimbizwa Hospitalini Baada ya Kupata Mshtuko wa Moyo

Aliyekuwa Malkia wa Denmark Akimbizwa Hospitalini Baada ya Kupata Mshtuko wa Moyo Aliyekuwa Malkia wa Denmark, Queen Margrethe II, amelazwa hospitalini baada ya kupata mshtuko wa moyo, jambo li…

Taharuki Nakuru: Treni Yagonga Basi la Wanafunzi Wakiwa Wanaelekea Shuleni

Taharuki Nakuru: Treni Yagonga Basi la Wanafunzi Wakiwa Wanaelekea Shuleni Hali ya taharuki ilitanda katika eneo la Gilgil, Kaunti ya Nakuru nchini Kenya, baada ya treni kugonga basi la shule l…

Kutokwa na Damu Wakati wa Haja Kubwa; Sababu, Dalili na Wakati wa Kuwahi Hospitali

Kutokwa na Damu Wakati wa Haja Kubwa; Sababu, Dalili na Wakati wa Kuwahi Hospitali Watu wengi hupata hofu wanapoona damu wakati wa kwenda haja kubwa. Wengine hudhani ni jambo la kawaida, huku w…

Kifo cha Mfanyabiashara Arusha Chazua Simanzi na Maswali Mengi

Kifo cha Mfanyabiashara Arusha Chazua Simanzi na Maswali Mengi Simanzi kubwa imetanda katika familia na jamii ya jijini Arusha baada ya mfanyabiashara maarufu, Sifaeli Mollel, kupatikana akiwa …

Mchezaji wa zamani wa klabu ya Arsenal, Lucas Torreira, ameripotiwa kushambuliwa chanzo wivu wa kimapenzi

Mchezaji wa zamani wa klabu ya Arsenal, Lucas Torreira, ameripotiwa kushambuliwa chanzo wivu wa kimapenzi. Mchezaji wa zamani wa klabu ya Arsenal, Lucas Torreira, ameripotiwa kushambuliwa akiwa …

Jinsi ya Kupika Keki Tamu Nyumbani Hatua kwa Hatua

Jinsi ya Kupika Keki Tamu Nyumbani Hatua kwa Hatua Keki ni moja ya vyakula vinavyopendwa sana katika sherehe, familia na hata biashara ndogo ndogo za nyumbani. Wapishi wengi maarufu Tanzania hus…

Hiki sio Cheti Chetu,Picha hii imehaririwa kidijitali na si cheti halisi kilichotolewa-UDSM

Hiki sio Cheti Chetu,Picha hii imehaririwa kidijitali na si cheti halisi kilichotolewa-UDSM Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kimejitokeza hadharani kukanusha picha inayosambazwa kwenye mitand…

Kichwa cha marehemu James Temba, mwanafunzi wa Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM), kimepatikana

Kichwa cha marehemu James Temba, mwanafunzi wa Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM), kimepatikana Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limethibitisha kupatikana kwa kichwa cha marehemu Jam…

Daktari mmoja kutoka Marekani aliyekuwa abiria wa meli ya kitalii ya MV Hondius, ametoka katika kitengo maalum cha uangalizi wa magonjwa hatari

Daktari mmoja kutoka Marekani aliyekuwa abiria wa meli ya kitalii ya MV Hondius, ametoka katika kitengo maalum cha uangalizi wa magonjwa hatari Daktari mmoja kutoka Marekani aliyekuwa abiria wa …

Rais wa Marekani, Donald Trump, amewasili rasmi mjini Beijing nchini China kwa ziara Maalum

Rais wa Marekani, Donald Trump, amewasili rasmi mjini Beijing nchini China kwa ziara Maalum Rais wa Marekani, Donald Trump, amewasili rasmi mjini Beijing nchini China kwa ziara yenye uzito mkubw…

Load More Posts That is All