Tatizo la Kifafa cha mimba, kitaalamu hujulikana kama eclampsia, ni hali hatari inayoweza kumpata mwanamke wakati wa ujauzito, wakati wa...
Magoti Kuvimba: Sababu, Dalili, Matibabu na Wakati wa Kumwona Daktari Magoti kuvimba ni hali inayotokea pale ambapo maji au majimaji...
Kutokwa na Hedhi nyingi si Jambo la Kawaida: Wataalamu Wasema Hali Hii Imekuwa Ikipuuzwa kwa Miaka Mingi Kutokwa na damu...
Jorge Messi, Baba wa Lionel Messi, Afariki Dunia Akiwa na Miaka 68 Taarifa za kusikitisha kutoka Argentina zimeeleza kifo cha...
Furaha Chilambo wa Mtwara Mikindani, ajifungua watoto watano kwa wakati mmoja Furaha Chilambo, mwenye umri wa miaka 32 na mkazi...
Mwitikio Dhidi Ya Tahadhari Kujikinga na Ugonjwa Wa Ebola waendelea kuimarishwa nchini Na Cletus Sanga, WAF – Arusha Wizara ya...
WHO na Africa CDC zatoa wito wa hatua za haraka kukabili Ebola nchini DRC Kinshasa, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo...
Mkenya wa kwanza kuchaguliwa kuwa Rais wa International AIDS Society (IAS),Profesa Kenneth Ngure Profesa Kenneth Ngure ni mwanasayansi wa Kenya...
Sindano ya kila mwezi ya VVU kupunguza kushindwa kwa matibabu kwa Watu karibu 126,000 Makala ya Nation Media Group inaeleza...
Mloganzila kuja na Dawa Mpya kabsa ya Kupunguza Uzito Hospitali ya Taifa Muhimbili–Mloganzila imeendelea kuimarisha huduma za kibingwa baada ya...
Dkt. Erica Schwartz Athibitishwa Kuwa Mkurugenzi Mpya wa CDC Baada ya Mwaka Mmoja wa Nafasi hiyo Kubaki Wazi Seneti ya...
Idara ya Uhamiaji ya Gambia (GID) imezindua rasmi sare mpya zilizobuniwa mahsusi kwa Maafisa wajawazito, hatua inayolenga kuboresha ustawi wao...
Kupata mtoto ni ndoto ya wanandoa wengi, lakini si kila wanandoa hupata ujauzito kwa urahisi. Kwa mujibu wa Shirika la...
Akamatwa hospitali kwa kujifanya Mtoa Roho Mwanamume mwenye umri wa miaka 26 nchini Wales amekamatwa baada ya mamlaka kusema alipanda...
Lishe ya Mtoto Mchanga na Mtoto Mdogo (Infant and Young Child Feeding) Lishe bora katika kipindi cha utoto(watoto wachanga) ni...
MRADI WA KUPAMBANA NA ATHARI ZA JOTO KWENYE MICHUANO YA AFCON KUCHOCHEA UCHUMI WA NCHI Na Emmanuel Maleg, WAF –...
Kituo Kikubwa Zaidi cha Matibabu ya Ebola DRC Kufunguliwa Wiki Hii Jimboni Ituri Kituo kikubwa zaidi cha matibabu ya ugonjwa...
Saratani ya utumbo mpana na puru (colorectal cancer) ni saratani inayotokea kwenye utumbo mkubwa (colon) au sehemu ya mwisho ya...
Kwa nini Idadi ya vijana wanaopata saratani Inaongezeka? Utafiti mpya unaonyesha kuwa idadi ya vijana wanaopata saratani imeongezeka katika miaka...
Makala hii inaeleza safari ngumu ya akina mama wanaojifungua watoto njiti na juhudi wanazofanya kuhakikisha watoto wao wanapata maziwa ya...
Kinshasa, DRC – 1 Agosti 2026: Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema mlipuko wa ugonjwa wa Ebola unaosababishwa na virusi...
Serikali ya Kenya imeanza mchakato wa kuimarisha sheria zinazodhibiti matumizi ya mafuta hatari yanayojulikana kama industrial trans fats, ikiwa ni...
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) inaendelea kukabiliwa na mlipuko mkubwa wa ugonjwa wa Ebola, huku Shirika la Afya Duniani...
Dalili za Fangasi Mdomoni: Zifahamu Ishara, Sababu na Tiba Fangasi mdomoni ni maambukizi yanayosababishwa na kuongezeka kwa fangasi aina ya...
Msanii wa Tanzania, Diamond Platnumz na Mkewe Zuchu wamethibitisha ujio wa Mtoto wao baada ya Diamond kuchapisha picha ya kuwa...
Mwaka 1985, wakati dunia ilikuwa inaanza kuelewa tishio la Virusi vya Ukimwi (VVU), mataifa mengi yalikuwa yakihaha kutafuta njia za...
Kenya imeendelea kuimarisha huduma za afya ya akili kwa kuzijumuisha katika sera na mipango yake ya afya, hatua inayolenga kuboresha...
Mtoto Anatakiwa Kupata Choo Mara Ngapi kwa Siku? Na Kipi Sio Kawaida? Wazazi wengi hupata wasiwasi wanapoona mtoto wao anapata...