Serikali imeongeza kasi ya mapambano dhidi ya VVU na UKIMWI

Serikali imeongeza kasi ya mapambano dhidi ya VVU na UKIMWI kwa kuimarisha ushirikiano wa kimkakati na Taasisi ya EGPAF, hatua inayolenga kutokomeza kabisa maambukizi kutoka kwa mama kwenda kwa …

Ujio wa Didier Drogba nchini Tanzania,Ukumbi wa Bunge warindimba

Ujio wa Didier Drogba nchini Tanzania,Ukumbi wa Bunge warindimba Shangwe na furaha vimetawala Ukumbi wa Bunge jijini Dodoma Mei 4, 2026 kufuatia ujio wa gwiji wa soka duniani Didier Drogba ambay…

Watengeneza Kondomu inayobadilika rangi ili kugundua Magonjwa ya Zinaa

Watengeneza Kondomu inayobadilika rangi ili kugundua Magonjwa ya Zinaa Fahamu kondomu ambayo inaweza kugundua magonjwa fulani ya zinaa kwa kubadilisha rangi, Kundi la wanafunzi vijana kutoka Isa…

Wapenzi maarufu duniani Rihanna na A$AP Rocky wakiwa kwenye Mavazi Maalumu

Wapenzi maarufu duniani Rihanna na A$AP Rocky wakiwa kwenye Mavazi Maalumu Wapenzi maarufu duniani Rihanna na A$AP Rocky wamevutia wengi baada ya kuonekana wakiwa na mapenzi makubwa walipowasili…

Makombora 15 kutoka Iran yapiga Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE)

Makombora 15 kutoka Iran yapiga Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE), imesema imekumbwa na shambulio jipya kutoka Iran lililohusisha makombora 15 pamoja na ndege zisiz…

Je,Unaogopa Kula Nyanya? unajua una hali gani ya kiafya? Food phobia

Je,Unaogopa Kula Nyanya? unajua una hali gani ya kiafya? Food phobia Dunia ina mambo… kuna watu wanaogopa kula kama vile ni sumu! Hii si utani—kuna hali ya kisaikolojia inaitwa food phobia , …

Mvutano wa Marekani na Iran, Jeshi la Marekani limetangaza meli zake mbili kupita Salama Mlango wa Hormuz

Mvutano wa Marekani na Iran,  Jeshi la Marekani limetangaza meli zake mbili kupita  Salama Mlango wa Hormuz Jeshi la Marekani limetangaza kuwa meli mbili za kibiashara zenye bendera ya Marekani…

Rais Samia Suluhu Hassan, akimpokea mgeni wake rasmi, Rais wa Kenya, William Ruto

Rais Samia Suluhu Hassan, akimpokea mgeni wake rasmi, Rais wa Kenya, William Ruto Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amempokea mgeni wake rasmi, Rais wa Jamhuri ya Ken…

James Temba Afariki Dunia,James temba ni nani

James temba ni nani? Kulingana na taarifa za hivi karibuni za Mei 2026, James Rogers Temba (mwenye umri wa miaka 24) alikuwa mwanafunzi wa Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM) nchini Tanzania. Hapa…

Fahamu Mambo Nane(8) ya kuacha ili usipate tatizo la Upungufu wa Nguvu za Kiume

Fahamu Mambo Nane(8) ya kuacha ili usipate tatizo la Upungufu wa Nguvu za Kiume Karibu tena Kwenye Page yetu ya Afyaclass, Leo nmekutajia mambo makuu(8) unayopaswa kuacha kabsa ili usije ukaingi…

Matokeo ya Simba vs Yanga Jana: Dabi Kali Yamalizika kwa Sare ya Mabao 2-2

Matokeo ya Simba vs Yanga Jana: Dabi Kali Yamalizika kwa Sare ya Mabao 2-2 Mchezo mkubwa wa watani wa jadi kati ya Simba SC na Yanga SC umechezwa jana tarehe 3 Mei 2026 katika Ligi Kuu Tanzania…

Kizunguzungu (Vertigo): Tatizo Linaloathiri Maelfu ya Watanzania Kila Mwaka

Kizunguzungu (Vertigo): Tatizo Linaloathiri Maelfu ya Watanzania Kila Mwaka Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) – Mloganzila inapokea wastani wa wagonjwa kati ya 8,000 hadi 10,000 kila mwaka, am…

Milio ya Risasi Yarindima Nje ya Nyumba ya Chris Brown Los Angeles

Milio ya Risasi Yarindima Nje ya Nyumba ya Chris Brown Los Angeles Hali ya taharuki ilitawala eneo la Tarzana, jijini Los Angeles, baada ya milio ya risasi kusikika nje ya nyumba ya msanii maar…

Vita ya Marekani na Iran Yatangazwa Kumalizika, Lakini Tahadhari Bado Ipo

Vita ya Marekani na Iran Yatangazwa Kumalizika, Lakini Tahadhari Bado Ipo Rais wa Marekani, Donald Trump, ametangaza rasmi kuwa mzozo wa kijeshi kati ya taifa lake na Iran umefikia mwisho, akis…

Dabi ya Kariakoo Yawaka Moto: Simba SC vs Yanga SC Kusaka Pointi Muhimu

Dabi ya Kariakoo Yawaka Moto: Simba SC vs Yanga SC Kusaka Pointi Muhimu Mchezo mkubwa wa watani wa jadi, Simba SC dhidi ya Yanga SC, unatarajiwa kuchezwa hivi karibuni katika mwendelezo wa Ligi…

Baba wa Msanii Sir Nature Mzee Kassim Kiroboto Afariki Dunia

Baba wa Msanii Sir Nature Mzee Kassim Kiroboto Afariki Dunia Tasnia ya muziki wa Bongo Fleva imegubikwa na huzuni kufuatia kifo cha Mzee Kassim Kiroboto, baba mzazi wa msanii mkongwe Sir Nature…

Ashley Young Atangaza Kustaafu Soka Rasmi Akiwa na Miaka 40

Ashley Young Atangaza Kustaafu Soka Rasmi Akiwa na Miaka 40 Aliyekuwa nyota wa Manchester United na timu ya taifa ya England, Ashley Young, ametangaza rasmi kustaafu soka la kulipwa akiwa na um…

Ratiba ya Mazishi ya Ashlee Jenae yatangazwa na Familia yake Marekani

Ratiba ya Mazishi ya Ashlee Jenae yatangazwa na Familia yake Marekani Kifo cha influencer maarufu wa mitandaoni, Ashly Robinson aliyefahamika zaidi kwa jina la Ashlee Jenae , kimeendelea kuacha…

Roho Mtakatifu ndiyo Nguvu Zako kama Mkristo

Roho Mtakatifu ni nguvu inayomsaidia Mkristo kufanya yale anayopaswa kufanya katika Imani. Ujumbe huu uweke Shauku Mpya ndani yako ya kutaka Kujazwa Roho Mtakatifu kwa nguvu zote ili akusaidie. …

Muigizaji Maarufu Ving Rhames apata Tatizo la Ghafla Kiafya, Apona na Kuruhusiwa Hospitalini

Muigizaji Maarufu Ving Rhames apata Tatizo la Ghafla Kiafya, Apona na Kuruhusiwa Hospitalini Muigizaji mashuhuri wa filamu za Hollywood, Ving Rhames, ameruhusiwa kutoka hospitalini na kwa sasa …

Tanzania Yapiga Hatua Kidigitali Baada ya Ongezeko Kubwa la Laini za Simu

Tanzania Yapiga Hatua Kidigitali Baada ya Ongezeko Kubwa la Laini za Simu Tanzania inaendelea kuonyesha mafanikio makubwa katika sekta ya teknolojia na mawasiliano baada ya idadi ya laini za si…

Mtoto kujisaidia choo cha kijani Chanzo na tiba

Mtoto kujisaidia choo cha kijani Chanzo na tiba kujisaidia choo cha rangi ya kijani ni hali inayowakumba watoto wadogo mara kwa mara, hasa katika kipindi cha awali cha maisha yao. Hali hii inawe…

Ajali Mbaya Dodoma Yaua Watatu Baada ya Malori Kugongana

Ajali Mbaya Dodoma Yaua Watatu Baada ya Malori Kugongana na Kuwaka Moto Watu watatu wamefariki dunia kufuatia ajali mbaya iliyotokea leo asubuhi katika eneo la Mataa, kwenye barabara inayoeleke…

Kifo cha Padre Andrew Ifele Chasikitisha Waumini Ndani na Nje ya Marekani

Kifo cha Padre Andrew Ifele Chasikitisha Waumini Ndani na Nje ya Marekani Ni Habari za kusikitisha kufuatia kifo cha Padre Mkatoliki kutoka Nigeria, Padre Andrew Ifele , aliyefariki dunia akiwa…

Sababu za Period Kujirudia Mara kwa Mara

Sababu za Period Kujirudia Mara kwa Mara: Fahamu Chanzo na Suluhisho Wanawake wengi hupitia mzunguko wa hedhi kila mwezi , lakini wakati mwingine period inaweza kujirudia mapema kuliko kawaida.…

Historia ya Hashim Kambi: Nyota wa Uigizaji nchini Tanzania

Historia ya Hashim Kambi: Nyota wa Uigizaji nchini Tanzania Tasnia ya filamu Tanzania imewahi kubarikiwa na vipaji vingi vilivyoacha alama kwa mashabiki na kizazi kipya cha wasanii. Miongoni mw…

Msanii Mkongwe wa Filamu Tanzania Hashim Kambi Afariki Dunia

Msanii Mkongwe wa Filamu Tanzania Hashim Kambi Afariki Dunia Tasnia ya filamu nchini Tanzania imepata pigo baada ya taarifa kuthibitisha kifo cha msanii mkongwe Hashim Kambi aliyefariki dunia …

Tukio la Ufyatuaji Risasi Karibu na Chuo Kikuu cha Indiana Lawajeruhi 9

Tukio la Ufyatuaji Risasi Karibu na Chuo Kikuu cha Indiana Lawajeruhi 9 Takriban watu tisa wameripotiwa kujeruhiwa kufuatia tukio la ufyatuaji risasi lililotokea karibu na kampasi ya Indiana Un…

Mzee ahakikisha Usalama wa Binti yake kwa Kumsubiri kila Siku Usiku Stendi

Mzee ahakikisha Usalama wa Binti yake kwa Kumsubiri kila Siku Usiku Stendi Nchini Paragwai, baba mwenye umri wa miaka 72 ameonekana kuwa na utaratibu anaoufuata kila usiku wa kumfuata na Kumsubi…

Simba na Yanga Watinga Fainali ya Kombe la Muungano Zanzibar

Simba na Yanga Watinga Fainali ya Kombe la Muungano Zanzibar Timu kongwe za soka nchini Tanzania, Simba SC na Young Africans SC, zimefanikiwa kufika hatua ya mwisho ya Kombe la Muungano 2026 ba…

Load More Posts That is All