Magonjwa
MATOKEO YA MVURUGIKO WA VICHOCHEO VINGI MWILINI KWA MWANAMKE
MATOKEO YA MVURUGIKO WA VICHOCHEO VINGI MWILINI KWA MWANAMKE
➡️ Ombeni Mkumbwa
Zipo dalili mbalimbali ambazo huonyesha vichocheo vingi katika mwili wa MWANAMKE havipo sawa,ikiwemo vile vichocheo vinavyohusiana na ukuaji wa mwili kwa Mwanamke.
DALILI HIZO NI KAMA IFUATAVYO;
(1) MWANAMKE KUOTA NYWELE NYINGI KATIKA MAENEO MBALI MBALI YA MWILI WAKE,IKIWEMO NDEVU KAMA MWANAUME
(2)MWANAMKE KUWA NA KIPARA
(3)MWANAMKE KUPATWA NA HALI YA KUWA NA CHUNUSI NYINGI USONI AMBAZO HAZIISHI
(4) MWANAMKE KUWA NA MZUNGUKO WA HEDHI USIYOELEWEKA
(5) MWANAMKE KUSHINDWA KUSHIKA MIMBA(INFERTILITY) AU MIMBA KUTOKA KILA AKISHIKA UJAUZITO N.K
KUMBUKA; JUKUMU LANGU NI KUKUSHAURI,KUKUELIMISHA NA KUKUPA MSAADA WA KIAFYA PALE INAPOHITAJIKA..+255758286584(PHONE NUMBER)
-
Uzazi/Ujauzito5 days ago
Dalili za hatari baada ya kujifungua kwa upasuaji
-
Magonjwa4 days ago
Dalili za infection kwenye damu,mchafuko wa damu
-
Uzazi/Ujauzito3 days ago
Dalili za mimba hutokea baada ya siku ngapi
-
Magonjwa7 days ago
Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri
-
Magonjwa2 days ago
kuharisha na kutapika ni dalili za ugonjwa gani
-
Events6 days ago
Chad yafanikiwa kuondoa Ugonjwa wa trypanosomiasis,WHO yatangaza
-
News4 days ago
TANZIA:Yusuf Manji afariki dunia akipatiwa Matibabu Marekani
-
Utafiti21 hours ago
Zaidi ya vifo milioni 3 kila mwaka hutokana na matumizi ya pombe na madawa ya kulevya-WHO