Ticker

6/recent/ticker-posts

SABABU AMBAZO ZINAWEZA KUWA CHANZO CHA KICHEFUCHEFU NA KUTAPIKA



 SABABU AMBAZO ZINAWEZA KUWA CHANZO CHA KICHEFUCHEFU NA KUTAPIKA.

✓ Dalili za mimba

✓ Magonjwa kama Malaria,UTI

✓Matumizi ya baadhi ya Dawa

✓Matumizi ya baadhi ya vyakula

✓ Allergy inayotokana na vyakula flani kama nyama n.k
✓ Matumiz ya baadhi ya Njia za Uzazi wa Mpango n.k

✓ Mabadiliko ya Gafla ya vichocheo vya mwili

✓ Harufu ya Baadhi ya Vitu kama pafume n.k

JE USHAWAHI KUPATWA NA HALI HII? COMMENT NDYO AU HAPANA KWENYE COMMENT HAPO 👇

KUMBUKA: KWA USHAURI,ELIMU AU MSAADA WA KIAFYA NAMBA NI 0758286584 ,TUMA MESEGI UTAJIBIWA KWA HARAKA ZAIDI.

Karibu Sana..!!!






Post a Comment

0 Comments