Connect with us

Magonjwa

SABABU ZA MTOTO KULIA SANA WAKATI WOTE HASA HASA WAKATI WA USIKU

Avatar photo

Published

on

  SABABU ZA MTOTO KULIA SANA WAKATI WOTE HASA HASA WAKATI WA USIKU

➡️ Ombeni Mkumbwa

 Kwa nini watoto wanalia?

 Unaweza kuwa na wasiwasi mkubwa na ikawa vigumu kutambua kwanini mtoto wako analia kila Mara. Mtoto mdogo hawezi kusema chochote,kwahyo basi,kupeleka ujumbe au mesegi yoyote kwa Mzazi kwa chochote kile,ni kupitia Kulia.

Watoto hulia kwa sababu nyingi, na kulia ndio njia kuu ya watoto kuwasiliana.  Hii ndyo njia pekee ya kukuvuta wewe na kukufikirisha mawazo yako huku wakielezea mahitaji yao.  Mara ya kwanza, inaweza kuwa ngumu kutafsiri kilio tofauti cha mtoto wako, lakini unapotumia muda mwingi kusikiliza, utakuwa bora kutambua na kukidhi mahitaji maalum ya mtoto wako.


 

 Je wajua ukielewa aina tofauti za vilio kwa mtoto wako,unaweza kugundua mahitaji yake tofauti,Mfano akiwa na Njaa utagundua kilio cha Njaa,akiumwa pia utagundua kilio cha kuumwa.

? HIZI HAPA NI BAADHI YA SABABU ZA MTOTO KULIA

  1.  Kulia kutokana na kuhitaji Kulala au uchovu
  2. Tumbo likiwa linauma au kujaa gesi
  3. Mtoto akiwa na Njaa 
  4. Kelele za Mazingira aliyopo mtoto huweza kumsababisha alie
  5. Shuhuli mbali mbali kama vile; wakati unambadilisha Nguo,unamsafisha n.k
  6. Mtoto akigundua kwamba kaachwa mwenyewe anaweza kulia sana 
  7. Matatizo kama Colic, reflux n.k
  8. Mtoto akiwa na maumivu yoyote au akiwa mgonjwa lazima alie kupeleka Ujumbe kwamba kuna tatizo
  9. Mtoto kushituliwa kwa gafla,either na makelele ya mtu,au vitu kama mziki mkubwa n.k 
  10. Mtoto kuingiwa na wasiwasi au hofu either kutokana na mazingira ya kigeni aliyowekwa,au baada ya kuhisi utofauti.


?Kumbuka;

 Kuzuia mtoto wako asilie ni pale tu umegundua hitaji lake na kulitimiza.  Kwahyo basi;

➖ Mpe chakula anachostahili kama akihitaji Chakula,Hapa nazungumzia vitu kama Maziwa n.k ili kutimiza haja yake

➖ Tibu magonjwa au maumivu yake,kama umegundua ana shida hyo

➖ Hakikisha hakuna vitu vinavyomletea kujaa Gesi tumboni kama Unyonyeshaji Usio sahihi ambao unahusisha mtoto kunyonya huku sehemu kubwa ya mdomo ipo wazi na haijazibwa vizuri na chuchu hivo mtoto kunyonya maziwa pamoja na Hewa

➖ Epuka kumstua mtoto kwa kelele zozote,ziwe zako,za mtu mwingine au mziki Mkubwa

➖ Hakikisha mtoto anapata mazingira rafiki ya yeye kulala,kila anapohitaji kulala


KWA USHAURI ZAIDI/ELIMU/TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584

Karibu Sana..!!


YOU MUST READ(IMPORTANT)

Magonjwa4 weeks ago

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani. Watu wengi huweza kupata maumivu chini ya kitovu, lakini umewahi kujiuliza...

Magonjwa1 month ago

Kaswende ni ugonjwa gani, soma hapa kufahamu

Kaswende ni ugonjwa gani, Kaswende ni maambukizi yanayosababishwa na bakteria. Mara nyingi, huenea kupitia mawasiliano ya kingono au kwa kujamiiana....

Magonjwa2 months ago

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani Koo kukauka kunaweza kusababishwa na sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na: Upungufu wa...

Magonjwa2 months ago

Amiba ni ugonjwa gani,Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Amebiasis

Amiba ni ugonjwa gani Wengi wamezoea kusema hivo ila Amiba(amoeba) ni vimelea vyinavyosababisha ugonjwa, na Ugonjwa huo kitaalam ndyo hujulikana...

Magonjwa3 months ago

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba kuwashwa nyayo za miguu; zipo sababu nyingi ambazo huchangia shida...

magonjwa ya wanawake4 months ago

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease)

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease) Pid ni ugonjwa gani? PID ni Maambukizi ya bacteria Kwenye Via vya Uzazi...

Magonjwa2 years ago

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE)

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE) Mabadiliko ya Watoto wengi huanza kwenye miezi mitatu ya Mwanzo wakati ambapo Shingo ya mtoto...

Magonjwa3 years ago

MAUMIVU MAKALI SEHEMU YA HAJA KUBWA

Baadhi ya watu wanachanganya tatizo la maumivu makali sehemu ya haja kubwa pamoja na tatizo la Bawasiri,japo mojawapo ya chanzo...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus)

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus) tatizo la masikio kupiga kelele Tinnitus, ni Tatizo la masikio kupiga kelele,...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO)

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?)

Tatizo la Uke Kujamba TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?) Moja ya vitu...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

 FANGASI • • • • • DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE Mashambulizi ya Fangasi sehemu za siri...

Magonjwa3 years ago

CHANZO CHA TATIZO LA KUOTA NYAMA PUANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 years ago

SABABU ZA KUVIMBA KWA MASHAVU YA UKE(TEZI LA BARTHOLIN)

KUVIMBA MASHAVU YA UKE • • • • • • Katika Makala hii tumechambua zaidi kuhusu sababu za kuvimba mashavu...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia)

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia) Tatizo hili linatokea kwa Baadhi ya wanaume,na hata kupelekea Wanaume hao kuwa na Matiti kama...

MAGONJWA MBALI MBALI

Magonjwa1 day ago

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 days ago

Ugonjwa unaosababishwa na kula nyama mbichi

Ugonjwa unaosababishwa na kula nyama mbichi Madhara ya kula nyama ya ng’ombe mbichi Ni desturi ya baadhi ya watu kula...

Magonjwa1 week ago

Mkojo kuuma ni dalili ya ugonjwa gani

Mkojo kuuma ni dalili ya ugonjwa gani Mkojo kuuma au kupata maumivu wakati wa kukojoa ni hali ambayo kwa kitaalam...

Magonjwa2 weeks ago

Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono dalili Zake

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa2 weeks ago

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu Haya ni maneno ambayo umekuwa ukiyasikia sana linapokuja swala la vipimo cha UKIMWI, je...

Magonjwa3 weeks ago

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia. Kutana na Ilene Raymond Rush ambaye aligunduliwa Kisukari aina ya Pili(Type 2...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa unaosababishwa na konokono

Ugonjwa unaosababishwa na konokono Ugonjwa unaosababishwa na konokono unaitwa schistosomiasis, au bilharzia. Ni ugonjwa wa maambukizi unaosababishwa na minyoo wanaoitwa...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake. Wengi tumesikia kuhusu Red Eyes(Macho mekundu) Lakini je umewahi kusikia kuhusu Pink Eyes,?...

Magonjwa3 weeks ago

Omeprazole inatibu ugonjwa gani,Fahamu hapa

Omeprazole inatibu ugonjwa gani Omeprazole inatibu ni nini?, Hili ni swali ambalo limekuwa likiulizwa mara kwa mara na wafwatiliaji wengi...

Magonjwa4 weeks ago

Mate kujaa mdomoni ni dalili ya ugonjwa gani

Mate kujaa mdomoni ni dalili ya ugonjwa gani Mate kujaa Mdomoni,ni tatizo ambalo hutokea kwa baadhi ya watu, na zipo...