Ticker

6/recent/ticker-posts

TATIZO LA KUNUKA MIGUU



 JE UNAFAHAMU KWAMBA KUNUKA MIGUU NI TATIZO?

➡️ Tweet

Watu wengi huwacheka watu wanaonuka miguu huku wakidhani kila mtu anayenuka Miguu ni Mchafu.

FAHAMU;  Zipo sababu mbali mbali ambazo huweza Kuchangia Mtu kunuka Miguu,kama Vile;

- Ugonjwa wa Fangasi za Miguuni ambazo hushambulia maeneo mbali mbali ya mguu ikiwemo katikati ya Vidole vya Mguuni.

- Kuvaa Soksi Mbichi au Viatu ambavyo havijakauka Vizuri huleta hali ya Kunuka Miguu

- Kuvaa viatu huku miguu ikiwa michafu,mfano miguu imeshika vumbi,tope n.k

TIBA;

Tatizo la Kunuka Miguu lina tiba,kutokana na chanzo cha tatizo lako.Mfano kama tatizo ni Fangasi za Miguuni,basi utapewa dawa za kutibu Fangasi hao n.k

MAMBO YA KUEPUKA ILI USINUKE MIGUU

* Epuka Kuvaaa soksi Mbichi

* Epuka kuvaa viatu ambavyo havijakauka vizuri

* Epuka kuvaa viatu huku miguu ikiwa michafu

* Kama tatizo ni Fangasi wasiliana na wataalam wa afya kupata dawa za Fangasi

* Matumizi ya poda huweza kusaidia pia Kupunguza harufu inayotoka kwenye miguu

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

Karibu Sana..!!!








Post a Comment

0 Comments