Connect with us

Magonjwa

TATIZO LA MAMA MJAMZITO KUPITISHA MDA WA KUJIFUNGUA(POSTTERM PREGNANCY),CHANZO CHAKE,DALILI NA TIBA YAKE PIA

Avatar photo

Published

on

 TATIZO LA MAMA MJAMZITO KUPITISHA MDA WA KUJIFUNGUA(POSTTERM PREGNANCY),CHANZO CHAKE,DALILI NA TIBA YAKE PIA

➡️ Ombeni Mkumbwa

Tatizo la mama kupitisha mda wa Kujifungua yaani Postterm Pregnancy linatokea pale ambapo Mimba imekaa baada ya wiki 42 za ujauzito, ambapo umevuka muda wa kawaida wa mama Kujifungua (wiki 37-40-42). Hali ya ujauzito kupitisha Mda wake huweza kuleta hatari kwa mama na mtoto, kama vile;

  •  Utapiamlo kwa mtoto(fetus)
  • Mama kupoteza maisha
  • Magonjwa yanayotokana na mtoto kunywa meconium
  • Na kuzaliwa kwa mtoto aliyekufa. Kumbuka Baada ya wiki ya 42 ya ujauzito, kondo la nyuma, ambalo humpa mtoto virutubisho na oksijeni kutoka kwa mama, huanza kuzeeka na mwisho kushindwa kufanya Kazi hiyo.


? CHANZO CHA TATIZO HILI LA MAMA KUCHELEWA KUJIFUNGUA(POST TERM PREGNANCY)

Sababu za moja kwa moja zinazosababisha mwanamke kupitisha mda sahihi wa Kujifungua hazijulikani. Lakini sababu zinazochangia hali hii ni pamoja na;

– Mama kuwa na Historia ya Kuchelewa au kupitisha Mda wa Kujifungua katika Ujauzito Uliopita(History of postterm delivery from Previously Pregnancies)

– Mama kuwa na tatizo la Uzito kupita kiasi au Unene(Maternal Obesity)

– Matatizo katika Mfumo mzima wa fahamu

– Upungufu wa kiwango cha Sulphur kwenye placenta au kondo la Nyuma

– Tatizo linalohusu mtoto kuwa na shida kwenye kichwa kama vile Anecephaly

-Tarehe za matarajio(Expected date of Delivery- EDD) kwa mama Kujifungua kukosewa wakati mama akiwa hakumbuki vizuri kuhusu hedhi yake ya mwisho.  Hii huweza kusababisha mtoto kuzaliwa kabla ya Mda uliotarajiwa au kupitisha mda uliotarajiwa mama Kujifungua  

Kwahyo ni Muhimu sana mwanamke kufanyiwa Ultrasound ili kupata Majibu sahihi juu ya Tarehe hizi.

– Tafiti zinaonyesha pia mwanamke mwenye matizo katika Mzunguko wake wa hedhi kabla ya kupata mimba pamoja na Matatizo ya hormones huweza kupatwa na tatizo hili

?DALILI ZA MWANAMKE KUPATA TATIZO LA KUPITISHA MDA WA KUJIFUNGUA(POST TERM DELIVERY)

 ➖ Kwa sababu tatizo hili la mwanamke kupitisha mda sahihi wa kujifungua linategemea tu umri wa ujauzito, hakuna dalili za mwili zinazothibitisha uwepo wa tatizo hili.  Dalili za kawaida zinazoweza kuashiria uwepo wa hali hii ni pamoja na;

  1.  ngozi ya mwili kuwa kavu
  2. Uwepo wa mikunjo kwenye mitende ya mtoto na nyayo za miguu yao baada ya kuzaliwa
  3. Mtoto kuzaliwa na nywele nyingi kichwani, na ngozi ya kahawia, kijani kibichi, au manjano. N.k


MATIBABU

-Yapo matibabu mbali mbali kama Vile,Mama kupewa dawa ya Kuanzisha uchangu pamoja na Kuongeza uchungu ili Ajifungue kwa haraka.

– Au pia mama Kufanyiwa Upasuaji na mtoto kutolewa  Nje.

Kumbuka; Mahudhurio ya Kliniki kwa Mama Mjamzito ni muhimu sana kwani ndyo huchangia kuleta uzazi salama kwa asilimia 99% Hasa kwa mwanamke au mama ambaye hupata matatizo kipindi cha Ujauzito

KWA USHAURI ZAIDI/ELIMU/TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584

Karibu Sana..!!


Ushauri|Tiba|CheckIn 🩺🌡️ContactUs; +255758286584 or INBOX📩. For More Healthtips everyday Link In https://afyaclass.com Also Follow us on Instagram @afyaclass

YOU MUST READ(IMPORTANT)

Magonjwa4 weeks ago

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani. Watu wengi huweza kupata maumivu chini ya kitovu, lakini umewahi kujiuliza...

Magonjwa1 month ago

Kaswende ni ugonjwa gani, soma hapa kufahamu

Kaswende ni ugonjwa gani, Kaswende ni maambukizi yanayosababishwa na bakteria. Mara nyingi, huenea kupitia mawasiliano ya kingono au kwa kujamiiana....

Magonjwa2 months ago

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani Koo kukauka kunaweza kusababishwa na sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na: Upungufu wa...

Magonjwa2 months ago

Amiba ni ugonjwa gani,Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Amebiasis

Amiba ni ugonjwa gani Wengi wamezoea kusema hivo ila Amiba(amoeba) ni vimelea vyinavyosababisha ugonjwa, na Ugonjwa huo kitaalam ndyo hujulikana...

Magonjwa3 months ago

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba kuwashwa nyayo za miguu; zipo sababu nyingi ambazo huchangia shida...

magonjwa ya wanawake4 months ago

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease)

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease) Pid ni ugonjwa gani? PID ni Maambukizi ya bacteria Kwenye Via vya Uzazi...

Magonjwa2 years ago

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE)

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE) Mabadiliko ya Watoto wengi huanza kwenye miezi mitatu ya Mwanzo wakati ambapo Shingo ya mtoto...

Magonjwa3 years ago

MAUMIVU MAKALI SEHEMU YA HAJA KUBWA

Baadhi ya watu wanachanganya tatizo la maumivu makali sehemu ya haja kubwa pamoja na tatizo la Bawasiri,japo mojawapo ya chanzo...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus)

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus) tatizo la masikio kupiga kelele Tinnitus, ni Tatizo la masikio kupiga kelele,...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO)

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?)

Tatizo la Uke Kujamba TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?) Moja ya vitu...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

 FANGASI • • • • • DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE Mashambulizi ya Fangasi sehemu za siri...

Magonjwa3 years ago

CHANZO CHA TATIZO LA KUOTA NYAMA PUANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 years ago

SABABU ZA KUVIMBA KWA MASHAVU YA UKE(TEZI LA BARTHOLIN)

KUVIMBA MASHAVU YA UKE • • • • • • Katika Makala hii tumechambua zaidi kuhusu sababu za kuvimba mashavu...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia)

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia) Tatizo hili linatokea kwa Baadhi ya wanaume,na hata kupelekea Wanaume hao kuwa na Matiti kama...

MAGONJWA MBALI MBALI

Magonjwa1 day ago

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 days ago

Ugonjwa unaosababishwa na kula nyama mbichi

Ugonjwa unaosababishwa na kula nyama mbichi Madhara ya kula nyama ya ng’ombe mbichi Ni desturi ya baadhi ya watu kula...

Magonjwa1 week ago

Mkojo kuuma ni dalili ya ugonjwa gani

Mkojo kuuma ni dalili ya ugonjwa gani Mkojo kuuma au kupata maumivu wakati wa kukojoa ni hali ambayo kwa kitaalam...

Magonjwa2 weeks ago

Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono dalili Zake

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa2 weeks ago

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu Haya ni maneno ambayo umekuwa ukiyasikia sana linapokuja swala la vipimo cha UKIMWI, je...

Magonjwa3 weeks ago

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia. Kutana na Ilene Raymond Rush ambaye aligunduliwa Kisukari aina ya Pili(Type 2...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa unaosababishwa na konokono

Ugonjwa unaosababishwa na konokono Ugonjwa unaosababishwa na konokono unaitwa schistosomiasis, au bilharzia. Ni ugonjwa wa maambukizi unaosababishwa na minyoo wanaoitwa...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake. Wengi tumesikia kuhusu Red Eyes(Macho mekundu) Lakini je umewahi kusikia kuhusu Pink Eyes,?...

Magonjwa3 weeks ago

Omeprazole inatibu ugonjwa gani,Fahamu hapa

Omeprazole inatibu ugonjwa gani Omeprazole inatibu ni nini?, Hili ni swali ambalo limekuwa likiulizwa mara kwa mara na wafwatiliaji wengi...

Magonjwa4 weeks ago

Mate kujaa mdomoni ni dalili ya ugonjwa gani

Mate kujaa mdomoni ni dalili ya ugonjwa gani Mate kujaa Mdomoni,ni tatizo ambalo hutokea kwa baadhi ya watu, na zipo...