Connect with us

Magonjwa

Tatizo La Mimba Kuharibika,chanzo,dalili na Tiba

Avatar photo

Published

on

Tatizo La Mimba Kuharibika

Tatizo La Mimba Kuharibika,chanzo,dalili na Tiba yake,

Katika makala hii tumechambua Zaidi kuhusu Chanzo cha Tatizo La Mimba Kuharibika,dalili za mimba kuharibika pamoja na Tiba yake.

Tatizo La Mimba Kuharibika limekuwa kubwa hasa katika siku za Hivi karibu,na mimba nyingi zinaharibika au kutoka hata kabla ya Kumaliza Miezi mitatu(3) ya mwanzoni,

na asilimia kubwa ya wanawake hawa wenye Tatizo La Mimba Kuharibika wamekuwa wakipata shida ya Ujauzito wa Kwanza kutoka wenyewe,

Zipo sababu Nyingi ambazo husababisha Wanawake wengi kupata tatizo la Mimba Kuharibika Zenyewe kwenye vipindi tofauti tofauti vya Ujauzito

SABABU ZA TATIZO LA MIMBA KUHARIBIKA

Zifuatazo ni Baadhi ya Sababu Zinazochangia Kutokea kwa Tatizo la Mimba kuharibika au kutoka Zenyewe kwenye vipindi tofauti tofauti kwa ujumla wake;

1. Matatizo yanayotokana na Mfumo mzima wa Kijenetiki ambapo kitaalam hujulikana kama-Genetics Abnormalities,

tatizo hili huchangia mimba kuharibika hasa hasa katika kipindi cha Miezi mitatu(3) ya Mwanzoni.

2. Matatizo katika Via vya Uzazi vya Mwanamke kama Vile;

Kulegea kwa shingo ya kizazi hivo kushindwa kuhimili kushikilia ujauzito hatimaye ujauzito kutoka wenyewe n.k

3. Matizo kama Vile Uvimbe kwenye kizazi pia huweza kusababisha Tatizo La Mimba Kuharibika

4. Tatizo la Mvurugiko wa Vichocheo vyako vya Mwili ambapo kitaalam hujulikana kama Hormone Imbalance

5. Uwepo wa Magonjwa mbali mbali kipindi cha Ujauzito kama vile;

  • Ugonjwa wa kisukari,
  • Kifafa cha Mimba,
  • Shinikizo la Damu,
  • Ugonjwa wa Goita
  • Pamoja na maambukizi mengine kama vile ya Rubella n.k.

6. Matumizi ya baadhi ya dawa ambazo ni hatari kipindi cha Ujauzito kama vile,

matumizi ya dawa za Msongo wa mawazo mfano;

  • paroxetine
  • au venlafaxine n.k

7. Kupata ajali, kuanguka,kupigwa eneo la tumboni n.k

Vitu vinavyoongeza hatari ya kupata Tatizo La Mimba Kuharibika

TABIA HATARISHI ZINAZOWEZA KUPELEKEA MWANAMKE KUPATA TATIZO LA MIMBA KUHARIBIKA ZENYEWE NI PAMOJA NA;

– Matumizi ya vilevi kama vile Pombe

– Uvutaji wa Sigara

– Matumizi ya vinywaji venywe Caffeine Nyingi

– Matumizi ya Dawa kiholela au Ovio bila kupewa maelekezo na wataalam wa afya n.k

Dalili za Mimba Kuharibika

Dalili za mimba kuharibika ni pamoja na;

– Kupatwa na Maumivu makali sana ya Tumbo

– Kuanza kublid au kuvuja damu wakati wa Ujauzito

– Damu nyingi kutoka ikiambatana na vipande kama maini au mabonge mabonge n.k

VIPIMO vya Tatizo La Mimba Kuharibika

Ukiwa na tatizo la mimba kuharibika mara kwa mara au ukiwa unapata Dalili hizo za mimba kuharibika ni muhimu zaidi kwenda Hospital ili kupata vipimo mbali mbali kama Vile;

  • ULTRASOUND,
  • vipimo vya Mkojo,
  • Vipimo vya Damu n.k

Hii itasaidia kugundua chanzo cha tatizo lako na kuanza Matibabu mara moja.

MATIBABU ya Tatizo La Mimba Kuharibika

Yapo matibabu mbali mbali kwa Mtu mwenye tatizo hili la mimba kuharibika kama Vile kupewa dawa za kusaidia kutunza Ujauzito,

Kutokufanya kazi zozote nzito na kupata Mapumziko ya Kutosha ambapo kitaalam tunaita BED-REST.

Lakini kama Ujauzito umeshatoka Kuna huduma kama vile kusafishwa hospitalini,kupewa antibiotics kwa Ajili ya kuzuia mgonjwa asipate maambukizi n.k

FAQs: Maswali ambayo huulizwa mara kwa mara

Je, Zipi ni dalili za Tatizo La Mimba Kuharibika?

Dalili za mimba kuharibika ni pamoja na;

– Kupatwa na Maumivu makali sana ya Tumbo

– Kuanza kublid au kuvuja damu wakati wa Ujauzito

– Damu nyingi kutoka ikiambatana na vipande kama maini au mabonge mabonge n.k

Hitimisho

Tatizo La Mimba Kuharibika huweza kusababishwa na Sababu mbali mbali ikiwemo; Matatizo yanayotokana na Mfumo mzima wa Kijenetiki ambapo kitaalam hujulikana kama-Genetics Abnormalities, matatizo ya kizazi kama vile Kulegea kwa shingo ya kizazi n.k

Tatizo la Mvurugiko wa Vichocheo vyako vya Mwili ambapo kitaalam hujulikana kama Hormone Imbalance,matumizi ya baadhi ya dawa,maambukizi ya magonjwa mbali mbali kama vile; Rubella n.k.

Ni muhumu sana kufahamu kuhusu Dalili za mimba kuharibika ili kupata msaada wa haraka, Dalili za mimba kuharibika ni pamoja na;

Kupata Maumivu makali sana ya Tumbo,Kuanza kublid au kuvuja damu wakati wa Ujauzito,Damu nyingi kutoka ikiambatana na vipande kama maini au mabonge mabonge n.k

KWA USHAURI ZAIDI/ELIMU/TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In https://afyaclass.com Also Follow us on Instagram @afyaclass

YOU MUST READ(IMPORTANT)

Magonjwa3 months ago

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani. Watu wengi huweza kupata maumivu chini ya kitovu, lakini umewahi kujiuliza...

Magonjwa3 months ago

Kaswende ni ugonjwa gani, soma hapa kufahamu

Kaswende ni ugonjwa gani, Kaswende ni maambukizi yanayosababishwa na bakteria. Mara nyingi, huenea kupitia mawasiliano ya kingono au kwa kujamiiana....

Magonjwa3 months ago

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani Koo kukauka kunaweza kusababishwa na sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na: Upungufu wa...

Magonjwa3 months ago

Amiba ni ugonjwa gani,Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Amebiasis

Amiba ni ugonjwa gani Wengi wamezoea kusema hivo ila Amiba(amoeba) ni vimelea vyinavyosababisha ugonjwa, na Ugonjwa huo kitaalam ndyo hujulikana...

Magonjwa5 months ago

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba kuwashwa nyayo za miguu; zipo sababu nyingi ambazo huchangia shida...

magonjwa ya wanawake5 months ago

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease)

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease) Pid ni ugonjwa gani? PID ni Maambukizi ya bacteria Kwenye Via vya Uzazi...

Magonjwa2 years ago

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE)

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE) Mabadiliko ya Watoto wengi huanza kwenye miezi mitatu ya Mwanzo wakati ambapo Shingo ya mtoto...

Magonjwa3 years ago

MAUMIVU MAKALI SEHEMU YA HAJA KUBWA

Baadhi ya watu wanachanganya tatizo la maumivu makali sehemu ya haja kubwa pamoja na tatizo la Bawasiri,japo mojawapo ya chanzo...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus)

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus) tatizo la masikio kupiga kelele Tinnitus, ni Tatizo la masikio kupiga kelele,...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO)

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?)

Tatizo la Uke Kujamba TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?) Moja ya vitu...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

 FANGASI • • • • • DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE Mashambulizi ya Fangasi sehemu za siri...

Magonjwa3 years ago

CHANZO CHA TATIZO LA KUOTA NYAMA PUANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 years ago

SABABU ZA KUVIMBA KWA MASHAVU YA UKE(TEZI LA BARTHOLIN)

KUVIMBA MASHAVU YA UKE • • • • • • Katika Makala hii tumechambua zaidi kuhusu sababu za kuvimba mashavu...

Magonjwa4 years ago

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia)

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia) Tatizo hili linatokea kwa Baadhi ya wanaume,na hata kupelekea Wanaume hao kuwa na Matiti kama...

MAGONJWA MBALI MBALI

Magonjwa2 days ago

kuharisha na kutapika ni dalili za ugonjwa gani

kuharisha na kutapika ni dalili za ugonjwa gani Unapopata tatizo la kuharisha na kutapika kwa wakati mmoja unaweza kuwaza sana,...

Magonjwa4 days ago

Dalili za infection kwenye damu,mchafuko wa damu

Dalili za infection kwenye damu Mchafuko wa damu,chanzo,dalili na Tiba Mchafuko wa damu; hiki ni kiswahili ambacho watu wamezoea kukitumia...

Magonjwa7 days ago

Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri

Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri Yapo magonjwa mbali mbali ya ngozi ambayo huweza kuathiri Sehemu za Siri za Mwanaume...

Magonjwa2 weeks ago

Dalili za acid reflux,Soma hapa Kufahamu

Dalili za acid reflux: Tatizo la Gastroesophageal reflux disease (GERD), ni tatizo ambalo huwapata Watu wengi,Tatizo hili hujulikana kwa jina...

Magonjwa4 weeks ago

Ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe,VITILIGO

Ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe,VITILIGO Vitiligo ni ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe au ni ugonjwa ambao huhusisha ngozi kupoteza rangi...

Magonjwa4 weeks ago

Mlipuko wa ugonjwa wa macho,Macho Mekundu

Mlipuko wa ugonjwa wa macho,Macho Mekundu Baada ya Ugonjwa huu wa macho kusumbua watu wengi kwa kipindi cha Hivi Karibuni,...

Magonjwa1 month ago

Scabies ni ugonjwa gani? Soma hapa kufahamu

Scabies ni ugonjwa gani? Soma hapa kufahamu Utangulizi: Scabies huhusisha mtu kuwa na vipele na muwasho kwenye ngozi yake ambapo...

Magonjwa1 month ago

Dalili za ugonjwa wa gono kwa mwanaume

Dalili za ugonjwa wa gono kwa mwanaume Gono ni neno maarufu ambalo kirefu chake ni Gonorrhea na kiswahili chake ni...

Magonjwa1 month ago

Dalili Mpya za ukimwi kwenye ngozi

Zipi ni Dalili za ukimwi kwenye ngozi Zipi ni dalili za Ukimwi kwenye ngozi ya mtu? Fahamu hapa kupitia makala...

Magonjwa1 month ago

Madhara ya COVID-19: Athari za Ugonjwa, Asili na Matibabu

Madhara ya COVID-19: Athari za Ugonjwa, Asili na Matibabu Huu ni ugonjwa wa kuambukiza uliosababishwa na kirusi cha corona, ambao...

Trending