Connect with us

Magonjwa

UMUHIMU WA KUFANYA MAZOEZI MWILINI

Avatar photo

Published

on

UMUHIMU WA KUFANYA MAZOEZI KILA SIKU

➡️ Ombeni Mkumbwa

Watu wengi hawajui kwamba kufanya mazoezi sio Fashion bali ni afya, Kuna Umuhimu mkubwa sana wa Mtu kufanya Mazoezi Kila siku.. Je wewe unafanya Mazoezi kila siku? Na kama Unafanya Je ni mazoezi Gani unafanya kila siku?

Hii hapa ni List ya Baadhi ya Mazoezi ambayo watu wengi duniani hufanya

  1. Mazoezi ya kucheza Mpira wa Miguu kila siku
  2. Mazoezi ya kucheza aina yoyote nyingine  ya Mpira duniani kote kama Vile Mpira wa Kikapu maarufu kama Basketball,Volleyball n.k
  3. Mazoezi ya mwili na Viungo ambapo hapa kuna aina kibao za mazoezi,kama vile kareti,Jim, n.k
  4. Mazoezi ya kukimbia maarufu kama mazoezi ya Riadha
  5. Mazoezi ya kuruka kamba,ambapo pia Wanawake wengi hupendelea aina hii ya Mazoezi

Umuhimu wa Mtu Kufanya Mazoezi kila siku

Faida za Mazoezi ni nyingi sana kwa mtu ambaye anazingatia mazoezi,Hizi hapa ni baadhi tu ya Faida hizo;
 
➖ Kuzuia magonjwa yote ambayo hayaambukizi kama vile,Shinikizo la Damu(Presha),Kisukari,Magonjwa ya Moyo,Saratani n.k
➖ Kusaidia kupunguza Tatizo la Uzito uliopitiliza, na kusaidia mfumo wako wa Upumuaji kufanya kazi Vizuri
➖ Mazoezi ya Mwili husaidia kudhibiti kiwango cha CHOLESTROL mwilini mwa Mtu
➖ Mazoezi huimarisha Kinga ya mwili na kufanya Pia misuli ya mwili kuwa Imara
➖ Mazoezi hufanya kuwe na Mzunguko mzuri wa Damu kwenye mishipa,hivo kuzipa seli hai za mwili Nguvu ya kuishi,lakini pia kusaidia hata Vidonda kupona haraka,mfano kwa Mama aliyejifungua kwa Upasuaji(operation) ambapo kitaalam tunaita Cesserian-Section,akifanya mazoezi Kidonda Hupona haraka sana.
➖ Mazoezi huleta afya ya akili,pamoja na mtu kupata Usingizi Tulivu wakati akilala
➖ Mazoezi huleta afya ya Viungo pamoja na Mifupa ya mwili
➖ Lakini pia tafiti zinaonyesha watu wanaofanya mazoezi kila siku,kwa asilimia kubwa hujieupusha na Tabia ovu kama vile Ulevi,Kuvuta sigara,Ngono n.k
➖ Mazoezi husaidia kuondoa sumu mwilini kwa Njia mbali mbali kama vile kupitia kutoa Jasho n.k,
➖ Mazoezi huimarisha afya ya Ngozi kwa Ujumla wake
➖ Kufanya mazoezi pia kunachangia kwa kiasi kikubwa Wajawazito kuwa na Uzazi salama
➖ Mazoezi huimarisha Mahusiano,huleta Furaha,Hupunguza na kuondoa Msongo wa Mawazo maarufu kama STRESS
➖ Mazoezi huleta kiu na kumfanya Mtu anayefanya Mazoezi kunywa maji mengi,hivo kuleta afya bora ya mwili,ikiwemo mfumo wa Mkojo
➖ Kufanya mazoezi kila siku humfanya binadamu kuishi maisha Marefu duniani
 

SUMMARY;

Katika Makala hii tumezungumza mambo mengi, Japo Mada kubwa ya Makala hii,ni Umuhimu wa Mtu kufanya Mazoezi kila siku.Hivo basi tumejaribu kukuonyesha baadhi ya Faida za kufanya mazoezi kila siku. Karibu tuendelee Kujifunza na kuelimishana ili kujenga Msingi bora wa afya zetu.,, Kwa Pamoja tunaweza…….!!!!!!!

 

@Kwa Ushauri zaidi,Elimu au Tiba tuwasiliane kwa namba +255758286584 Tuma Ujumbe au Piga simu,utasikilizwa na kuhudumiwa popote ulipo.

Karibu Sana..!!

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In https://afyaclass.com Also Follow us on Instagram @afyaclass

YOU MUST READ(IMPORTANT)

Magonjwa2 months ago

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani. Watu wengi huweza kupata maumivu chini ya kitovu, lakini umewahi kujiuliza...

Magonjwa3 months ago

Kaswende ni ugonjwa gani, soma hapa kufahamu

Kaswende ni ugonjwa gani, Kaswende ni maambukizi yanayosababishwa na bakteria. Mara nyingi, huenea kupitia mawasiliano ya kingono au kwa kujamiiana....

Magonjwa3 months ago

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani Koo kukauka kunaweza kusababishwa na sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na: Upungufu wa...

Magonjwa3 months ago

Amiba ni ugonjwa gani,Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Amebiasis

Amiba ni ugonjwa gani Wengi wamezoea kusema hivo ila Amiba(amoeba) ni vimelea vyinavyosababisha ugonjwa, na Ugonjwa huo kitaalam ndyo hujulikana...

Magonjwa5 months ago

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba kuwashwa nyayo za miguu; zipo sababu nyingi ambazo huchangia shida...

magonjwa ya wanawake5 months ago

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease)

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease) Pid ni ugonjwa gani? PID ni Maambukizi ya bacteria Kwenye Via vya Uzazi...

Magonjwa2 years ago

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE)

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE) Mabadiliko ya Watoto wengi huanza kwenye miezi mitatu ya Mwanzo wakati ambapo Shingo ya mtoto...

Magonjwa3 years ago

MAUMIVU MAKALI SEHEMU YA HAJA KUBWA

Baadhi ya watu wanachanganya tatizo la maumivu makali sehemu ya haja kubwa pamoja na tatizo la Bawasiri,japo mojawapo ya chanzo...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus)

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus) tatizo la masikio kupiga kelele Tinnitus, ni Tatizo la masikio kupiga kelele,...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO)

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?)

Tatizo la Uke Kujamba TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?) Moja ya vitu...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

 FANGASI • • • • • DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE Mashambulizi ya Fangasi sehemu za siri...

Magonjwa3 years ago

CHANZO CHA TATIZO LA KUOTA NYAMA PUANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 years ago

SABABU ZA KUVIMBA KWA MASHAVU YA UKE(TEZI LA BARTHOLIN)

KUVIMBA MASHAVU YA UKE • • • • • • Katika Makala hii tumechambua zaidi kuhusu sababu za kuvimba mashavu...

Magonjwa4 years ago

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia)

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia) Tatizo hili linatokea kwa Baadhi ya wanaume,na hata kupelekea Wanaume hao kuwa na Matiti kama...

MAGONJWA MBALI MBALI

Magonjwa2 days ago

Dalili za infection kwenye damu,mchafuko wa damu

Dalili za infection kwenye damu Mchafuko wa damu,chanzo,dalili na Tiba Mchafuko wa damu; hiki ni kiswahili ambacho watu wamezoea kukitumia...

Magonjwa5 days ago

Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri

Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri Yapo magonjwa mbali mbali ya ngozi ambayo huweza kuathiri Sehemu za Siri za Mwanaume...

Magonjwa1 week ago

Dalili za acid reflux,Soma hapa Kufahamu

Dalili za acid reflux: Tatizo la Gastroesophageal reflux disease (GERD), ni tatizo ambalo huwapata Watu wengi,Tatizo hili hujulikana kwa jina...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe,VITILIGO

Ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe,VITILIGO Vitiligo ni ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe au ni ugonjwa ambao huhusisha ngozi kupoteza rangi...

Magonjwa4 weeks ago

Mlipuko wa ugonjwa wa macho,Macho Mekundu

Mlipuko wa ugonjwa wa macho,Macho Mekundu Baada ya Ugonjwa huu wa macho kusumbua watu wengi kwa kipindi cha Hivi Karibuni,...

Magonjwa4 weeks ago

Scabies ni ugonjwa gani? Soma hapa kufahamu

Scabies ni ugonjwa gani? Soma hapa kufahamu Utangulizi: Scabies huhusisha mtu kuwa na vipele na muwasho kwenye ngozi yake ambapo...

Magonjwa1 month ago

Dalili za ugonjwa wa gono kwa mwanaume

Dalili za ugonjwa wa gono kwa mwanaume Gono ni neno maarufu ambalo kirefu chake ni Gonorrhea na kiswahili chake ni...

Magonjwa1 month ago

Dalili Mpya za ukimwi kwenye ngozi

Zipi ni Dalili za ukimwi kwenye ngozi Zipi ni dalili za Ukimwi kwenye ngozi ya mtu? Fahamu hapa kupitia makala...

Magonjwa1 month ago

Madhara ya COVID-19: Athari za Ugonjwa, Asili na Matibabu

Madhara ya COVID-19: Athari za Ugonjwa, Asili na Matibabu Huu ni ugonjwa wa kuambukiza uliosababishwa na kirusi cha corona, ambao...

Magonjwa1 month ago

Ishara za Maambukizi ya Njia ya Mkojo (UTI) kwa Wanaume na Wanawake

Ishara za Maambukizi ya Njia ya Mkojo (UTI) kwa Wanaume na Wanawake Karibu! Hapa kwa makala yenye taarifa muhimu kuhusu...

Trending