Connect with us

Magonjwa

FAHAMU KUHUSIANA NA TATIZO LA MTINDIO WA UBONGO, SABABU, DALILI MATIBABU NA NJIA ZA KUZUIA(KUMKINGA MWANAO).

Avatar photo

Published

on

MTINDIO WA UBONGO

• • • • • •

FAHAMU KUHUSIANA NA TATIZO LA MTINDIO WA UBONGO, SABABU, DALILI MATIBABU NA NJIA ZA KUZUIA(KUMKINGA MWANAO).

Baadhi ya familia zimekuwa na imani potofu juu ya watoto wenye mtindio wa ubongo. Wengi wanaamini kuwa ni laana au mkosi  kupata mtoto huyo. Hii inasababishwa na kukosekana kwa elimu katika jamii. Imani/dhana hii ni potofu.


Mtindio wa ubongo( cerebral palsy) nj tatizo linalokumba ubongo wa (mtoto mchanga) linaloathiri ukuaji au maendeleo ya misuli na hivyo kupelekea shida katika kutembea, uratibu au mkao wa mtu huyo. Tukio hili huukumba ubongo ambao bado haujakomaa. 

Inasadikika kuwa tatizo hili linatokea kwa watoto 2 kati ya 1000 wanaozaliwa.

Shida katika misuli huambatana na matatizo katika tabia, utambuzi, mawasiliano, mitazamo na kifafa.


VISABABISHI VYA MTINDIO WA UBONGO

Sababu zinazopelekea mtu kupata mtindio wa ubongo zinaweza kuwepo wakati mtoto yuko tumboni, wakati wa kuzaliwa au baada ya kuzaliwa. Zifuatazo ni baadhi tu ya sababu.

1. Kurithi

2. Mama kuwa na magonjwa wakati wa ujauzito( kwamfano homa na UTI)

3. Kupigwa na mionzi mikali kwa muda mrefu au kiwango kikubwa cha mionzi

4. Mtoto Kukosa hewa(oksijeni) akiwa tumboni au mara baada ya kuzaliwa


SABABU BAADA YA KUZALIWA KWA MTOTO

5. Magonjwa ya mfumo wa ufahamu wa mtoto

6. mtoto kuwa na kiwango kidogo cha sukari mwilini

7. Manjano

8. Ajari zinazopelekea kuvilia kwa damu kwenye ubongo

9. Kuzaliwa mtoto njiti humweka mtoto katika hatari ya kupata tatizo hili.


DALILI

Watoto wengi huonesha dalili kati ya miezi 4-12

1. Kutambaa kwa mguu mmoja

2. Kutumia upande mmoja wa mwili zaid ya upande mwingine.

3. Kutoka mate mdomon

4. Akisimama au kutembea huvuta mguu mmoja n.k


MATIBABU MUONE DAKTARI

(Matibabu ya mtindio wa ubongo huusisha  vitengo mbalimbali kama daktari wa watoto, mtaalamu wa lishe, mama cheza, madaktari wa upasuaji n.k)


NJIA ZA KUMKINGA MWANAO ASIPATWE NA TATIZO HILI.

1. Chanjo kwa watoto wa kike

2. Kuwa na mahudhurio ya mara kwa mara mwanamke ushikapo mimba

3. Kupimwa kwa ufanyaji kazi wa tezi ya thyroid 

4. Kumwekea mazingira mazuri mtoto awapo nyumbani ili kuzuia ajari zinazoweza athiri kichwa

5. Kutibu ugonjwa wa manjano kikamilifu. 

Tukiwapenda wataishi miaka mingi #kuzeeka

.

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

Karibu Sana..!!!



YOU MUST READ(IMPORTANT)

Magonjwa2 months ago

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani. Watu wengi huweza kupata maumivu chini ya kitovu, lakini umewahi kujiuliza...

Magonjwa3 months ago

Kaswende ni ugonjwa gani, soma hapa kufahamu

Kaswende ni ugonjwa gani, Kaswende ni maambukizi yanayosababishwa na bakteria. Mara nyingi, huenea kupitia mawasiliano ya kingono au kwa kujamiiana....

Magonjwa3 months ago

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani Koo kukauka kunaweza kusababishwa na sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na: Upungufu wa...

Magonjwa3 months ago

Amiba ni ugonjwa gani,Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Amebiasis

Amiba ni ugonjwa gani Wengi wamezoea kusema hivo ila Amiba(amoeba) ni vimelea vyinavyosababisha ugonjwa, na Ugonjwa huo kitaalam ndyo hujulikana...

Magonjwa5 months ago

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba kuwashwa nyayo za miguu; zipo sababu nyingi ambazo huchangia shida...

magonjwa ya wanawake5 months ago

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease)

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease) Pid ni ugonjwa gani? PID ni Maambukizi ya bacteria Kwenye Via vya Uzazi...

Magonjwa2 years ago

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE)

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE) Mabadiliko ya Watoto wengi huanza kwenye miezi mitatu ya Mwanzo wakati ambapo Shingo ya mtoto...

Magonjwa3 years ago

MAUMIVU MAKALI SEHEMU YA HAJA KUBWA

Baadhi ya watu wanachanganya tatizo la maumivu makali sehemu ya haja kubwa pamoja na tatizo la Bawasiri,japo mojawapo ya chanzo...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus)

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus) tatizo la masikio kupiga kelele Tinnitus, ni Tatizo la masikio kupiga kelele,...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO)

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?)

Tatizo la Uke Kujamba TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?) Moja ya vitu...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

 FANGASI • • • • • DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE Mashambulizi ya Fangasi sehemu za siri...

Magonjwa3 years ago

CHANZO CHA TATIZO LA KUOTA NYAMA PUANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 years ago

SABABU ZA KUVIMBA KWA MASHAVU YA UKE(TEZI LA BARTHOLIN)

KUVIMBA MASHAVU YA UKE • • • • • • Katika Makala hii tumechambua zaidi kuhusu sababu za kuvimba mashavu...

Magonjwa4 years ago

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia)

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia) Tatizo hili linatokea kwa Baadhi ya wanaume,na hata kupelekea Wanaume hao kuwa na Matiti kama...

MAGONJWA MBALI MBALI

Magonjwa2 days ago

kuharisha na kutapika ni dalili za ugonjwa gani

kuharisha na kutapika ni dalili za ugonjwa gani Unapopata tatizo la kuharisha na kutapika kwa wakati mmoja unaweza kuwaza sana,...

Magonjwa4 days ago

Dalili za infection kwenye damu,mchafuko wa damu

Dalili za infection kwenye damu Mchafuko wa damu,chanzo,dalili na Tiba Mchafuko wa damu; hiki ni kiswahili ambacho watu wamezoea kukitumia...

Magonjwa7 days ago

Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri

Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri Yapo magonjwa mbali mbali ya ngozi ambayo huweza kuathiri Sehemu za Siri za Mwanaume...

Magonjwa2 weeks ago

Dalili za acid reflux,Soma hapa Kufahamu

Dalili za acid reflux: Tatizo la Gastroesophageal reflux disease (GERD), ni tatizo ambalo huwapata Watu wengi,Tatizo hili hujulikana kwa jina...

Magonjwa4 weeks ago

Ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe,VITILIGO

Ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe,VITILIGO Vitiligo ni ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe au ni ugonjwa ambao huhusisha ngozi kupoteza rangi...

Magonjwa4 weeks ago

Mlipuko wa ugonjwa wa macho,Macho Mekundu

Mlipuko wa ugonjwa wa macho,Macho Mekundu Baada ya Ugonjwa huu wa macho kusumbua watu wengi kwa kipindi cha Hivi Karibuni,...

Magonjwa1 month ago

Scabies ni ugonjwa gani? Soma hapa kufahamu

Scabies ni ugonjwa gani? Soma hapa kufahamu Utangulizi: Scabies huhusisha mtu kuwa na vipele na muwasho kwenye ngozi yake ambapo...

Magonjwa1 month ago

Dalili za ugonjwa wa gono kwa mwanaume

Dalili za ugonjwa wa gono kwa mwanaume Gono ni neno maarufu ambalo kirefu chake ni Gonorrhea na kiswahili chake ni...

Magonjwa1 month ago

Dalili Mpya za ukimwi kwenye ngozi

Zipi ni Dalili za ukimwi kwenye ngozi Zipi ni dalili za Ukimwi kwenye ngozi ya mtu? Fahamu hapa kupitia makala...

Magonjwa1 month ago

Madhara ya COVID-19: Athari za Ugonjwa, Asili na Matibabu

Madhara ya COVID-19: Athari za Ugonjwa, Asili na Matibabu Huu ni ugonjwa wa kuambukiza uliosababishwa na kirusi cha corona, ambao...

Trending