Ticker

6/recent/ticker-posts

FAHAMU YAFUATAYO KUHUSU UNYONYESHAJI



UNYONYESHAJI

• • • • • •

Ni muhimu kufahamu, Unyonyeshaji hauchangii maziwa kulala wala kuharibu umbo la maziwa


Sababu kuu za maziwa kulala ni

1️⃣Umri

2️⃣Vinasaba vya urithi

3️⃣Unene wako wa mwili

4️⃣Utapiamlo hasa upungufu wa vitamin C

5️⃣Kuvuta sigara

6️⃣Kujifungua mara nyingi


Kuhusu kubeba ujauzito mara nyingi, Mama anapokuwa mjamzito maziwa hupitia mabadiliko kama kuongezeka ukubwa na umbo, 


Baada ya kujifungua umbo hurudi lilivyokuwa kabla lakini huwa tofauti kidogo. Mabadiliko haya hutokea kila ujauzito, mwisho maziwa hulala na sio sababu ya kunyonyesha


Vitamin C hutengeneza Collagen malighafi muhimu kwenye ngozi na kiwambo kinachoshika maziwa.


Iwapo mwanamke hapati Vitamin C ya kutosha ngozi na kiwambo cha maziwa huwa dhaifu na maziwa hulala.


Vitamin C hupatikana Kwa wingi kwenye machugwa, chenza, viazi lishe nk 


(📝Twitter: NormanJonasMD)

.

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

Karibu Sana..!!!






Post a Comment

0 Comments