Ticker

6/recent/ticker-posts

IJUE ORODHA YA MAGONJWA YA KUAMBUKIZA NA YALE YASIOYA KUAMBUKIZA



 IJUE ORODHA YA MAGONJWA YA KUAMBUKIZA NA YALE YASIOYA KUAMBUKIZA

➡️ Magonjwa


(A) MAGONJWA YA KUAMBIKIZA

Haya hapa ni Baadhi ya Magonjwa ambayo huweza kutoka kwa Mtu mmoja kwenda kwa Mwingine;

  1. Ugonjwa wa Corona
  2. Ugonjwa wa Ukimwi
  3. Ugonjwa wa Homa ya Ini
  4. Ugonjwa wa Fangasi
  5. Ugonjwa wa UTI
  6. Ugonjwa wa kifua kikuu au TB
  7. Ugonjwa wa Ebola
  8. Magonjwa Yote ya Zinaa kama vile; Kisonono,kaswende n.k
  9. Ugonjwa wa mafua
  10. Ugonjwa wa Zika
  11. Ugonjwa Wa Measles au Surua
  12. Ugonjwa wa Kipindupindu
  13. Na Mengine......


(B) MAGONJWA YASIO YA KUAMBUKIZA

  • Ugonjwa wa Kisukari
  • Ugonjwa wa Presha au Shinikizo la Damu
  • Ugonjwa wa Vidonda vya Tumbo
  • Ugonjwa wa sickle cell
  • Ugonjwa wa Asthma
  • Magonjwa ya Moyo
  • Magonjwa ya akili
  • Kansa au Saratani zote,Mfano; Saratani ya Ngozi,Damu,matiti,kizazi,shingo ya Kizazi,Koo n.k
  • Ugonjwa wa Kifafa
  • Ugonjwa wa Malaria
  • Ugonjwa wa Typhoid
  • Tatizo la Stroke
  • Magonjwa yote ya Mifupa
  • Ugonjwa wa Kuziba Mirija ya Uzazi
  • Uvimbe kwenye Kizazi na maeneo mengine ya Mwili
  • Uzito uliopitiliza au Obesity
  • Presha Ya Macho na magonjwa mengine ya Macho
  • Na mengine mengi.........

.

.

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

Karibu Sana..!!!






Post a Comment

0 Comments